Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,079
- 12,319
Niliwahi kupiga kura mwaka 2005, kwenye historia ya maisha yangu.
Na nimeapa sintapiga kura tena, sio kwaajili ya CDM haitaki uchaguzi mpaka mabadiliko ya katiba, bali ni msimamo wangu tu, toka moyoni.
Binafs uchaguzi barani Afrika umegubikwa na maigizo tu.
Ifike wakati pesa tunazo poteza kwenye maigizo hayo ni kheri tungezipeleka kwenye miradi ya maendeleo.
Na nimeapa sintapiga kura tena, sio kwaajili ya CDM haitaki uchaguzi mpaka mabadiliko ya katiba, bali ni msimamo wangu tu, toka moyoni.
Binafs uchaguzi barani Afrika umegubikwa na maigizo tu.
Ifike wakati pesa tunazo poteza kwenye maigizo hayo ni kheri tungezipeleka kwenye miradi ya maendeleo.