Nani atazuia? Acha kujidanganya serikali kitu kingine wewe!Hakuna Uchaguzi mwaka huu.
Nani atazuia? Acha kujidanganya serikali kitu kingine wewe!Hakuna Uchaguzi mwaka huu.
Ahahahahaha, mkuu kwa mantiki hyo ata ambao hatutapiga bado zitahesabika zimepigwa kwa CCM au?Kwa maficcm wa Lumumba Street ni sawa. Wewe piga kura yako itahesabiwa ni CCM lakn hata wasio CCM bado kura zao zitahesabiwa ni za CCM..............UCHAFUZI kwenda mbele!!
Hiyo ni demokrasia. Yaani hakuna anayekulazimisha.Tuambizane Binafsi sitapiga kura
Nimpigie kura mbakaji?Tuambizane Binafsi sitapiga kura
Kwako ni sawa, wewe si mtu wa system...me ntapiga na ntashawishi watu wangu wa karibu waweze kupiga pia
Hii ni hakika mkuu?Uchaguzi haupo!
Subiri uone!!Hii ni hakika mkuu?