Utapiga kura mwaka huu?

Utapiga kura mwaka huu?

Siwezi piga kura,huo muda ni Bora kwenda kunywa gongo,na hiyo bajeti ya uchaguzi ni Bora wanunue vifaa vya mahospitalini na shule .. kufanya uchaguzi ni kupoteza fedha za walipa Kodi .

Samia ajitange rais, ikiwezekana rais wa maisha
 
UCHAGUZI ni matumizi mabaya ya kodi,unachagua kivuli badala ya kuchagua mtu
 
Kama ccm hawakupIGA kura kati ya Samia na wengine Mimi ninani nikapige kura ? Mfano wangu ni ccm !
 
Tuambizane Binafsi sitapiga kura
images.png
 
Back
Top Bottom