Utapiga kura mwaka huu?

Utapiga kura mwaka huu?

Kama CHADEMA haipo kwenye Ballot paper ujue uchaguzi haupo. Kwa hiyo kwenda kupiga kura ni sawa kabisa na kupoteza muda wako.

Huwezi kwenda kupiga kura kwenye uchaguzi ambao hauna mizani.
Kwenda kupiga kura katika mazingira hayo ni kwenda kuhalalisha UDHALIMU katika Nchi yetu.
 
me ntapiga na ntashawishi watu wangu wa karibu waweze kupiga pia
Tuambizane Binafsi sitapiga kura
1750408976062.png
 
UKIMSIKIA MTU ANASEMA KUWA YRMEYE HATOKUJA KUPIGA KURA JUA HUYO MOJA KWA MOJA NI MPUMBAVU...SISI TUNAPINGA KUPIGA KURA KUTOKANA NA UHUNI ULIOPO...Kwa sasa ni upumbavu na usaliti kwenda kuoiga kura
 
Back
Top Bottom