Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,377
- 3,274
Kwanza sijawahi Toka nizaliwe
😃Bora nikapige Mbwa kuliko kupiga kura
Haya subiria ukapige kuraNani atazuia? Acha kujidanganya serikali kitu kingine wewe!
Au waweke andazi na CCM 😀😀Huu uzi ungefaa kuwekewa poll hapo juu watu wapige kura kama watapiga kura.
Au inaweza kuwa issue kwenye zile sheria zetu za kinoko za kufanya opinion poll?
Kumbafme ntapiga na ntashawishi watu wangu wa karibu waweze kupiga pia
Siwezi kupoteza muda mieTuambizane Binafsi sitapiga kura
Kumbafme ntapiga na ntashawishi watu wangu wa karibu waweze kupiga pia
Bila mabadiliko nipige kura ili iwejeTuambizane Binafsi sitapiga kura
Du hii hatari ,kama tuzitumia vizuri akili zetu ,basi Kuna kitu hakiko sawa.
Washawishi machawa na ndugu zako. I can't waste my time voting while my vote is invariably not appreciated and hounered. Ni ujinga tu...me ntapiga na ntashawishi watu wangu wa karibu waweze kupiga pia