Utapiga kura mwaka huu?

Utapiga kura mwaka huu?

me ntapiga na ntashawishi watu wangu wa karibu waweze kupiga pia
Kwa maficcm wa Lumumba Street ni sawa. Wewe piga kura yako itahesabiwa ni CCM lakn hata wasio CCM bado kura zao zitahesabiwa ni za CCM..............UCHAFUZI kwenda mbele!!
 
Yan mechi ya yanga unamwambia eng heisi ajitafutie marefa na wasimamizi wa VAR, sasa unadhani hiyo mechi yanga atafungwaa😅
 
kura.jpg
 
Huu uzi ungefaa kuwekewa poll hapo juu watu wapige kura kama watapiga kura.

Au inaweza kuwa issue kwenye zile sheria zetu za kinoko za kufanya opinion poll?
 
Kura ya nini kiongozi ameshabandikwa na wenye bunduki
 
Back
Top Bottom