Heaven Sent, brenda18, tununu!! Mdomo wangu umeenda kwa mbele kama alivyosema mshana jr, haiwezekani!!
Taratibu jamanii.... Na ubonde wanguMke wa mjomba wabondei wanamuita 'mkaza mjomba'.
Nami nashindwa kushangaa,kiongozi.Labda ndio utani wenyewe.Kukaza ni tusi, I guess! Ni kweli?
ohooooMshana Jr; wapare mnadenga sana mbuji machungani hahaaha
MapereeView attachment 592263hao ulioweka sio samaki
Sio kweli,kiongozi.Kukaza haijawahi kuwa tusi Tanga.Hata Tanga kukaza ni tusi , vile vile mfano mkaza mwana means mke wa mwana??? kitu kama hicho
Kiongozi, unasikia mtu anakwambia kuwa (ashukumu si matusi), nitakukaza, leo nataka kukaza. Nimeishi tanga for 27 yrs hivyo nasema ninachokijua fika. Najua kuna kusema Mkaza mwana-hili siyo tusi ni namna ya kum address mkwe wako, correct kabisa. But upande mwingine wanasema unamtusi mtu hasa mwanamke kuwa "nitakukaza"... kama kuna kutoelewana... ni derogatory word anyway when used in that sense! I stand to be corrected!Sio kweli,kiongozi.Kukaza haijawahi kuwa tusi Tanga.
Vipi kuhusu "nakufili kumoyo ya wanyamwezi?" Sio tusi?[emoji12]Kiongozi, unasikia mtu anakwambia kuwa (ashukumu si matusi), nitakukaza, leo nataka kukaza. Nimeishi tanga for 27 yrs hivyo nasema ninachokijua fika. Najua kuna kusema Mkaza mwana-hili siyo tusi ni namna ya kum address mkwe wako, correct kabisa. But upande mwingine wanasema unamtusi mtu hasa mwanamke kuwa "nitakukaza"... kama kuna kutoelewana... ni derogatory word anyway when used in that sense! I stand to be corrected!
Nyamwezi sijawahi fika, sijui. Ngoja waje. Ila unaweza ukaona ... fili... ukiondoa "i" mwsho ukaweka "a", then mabo yanabadirikaVipi kuhusu "nakufili kumoyo ya wanyamwezi?" Sio tusi?[emoji12]
Hiyo ni ya Wapogoro wa huko Mahenge. 'Kafila mwene' sio tusi, maana yake, 'kapenda mwenyewe'Vipi kuhusu "nakufili kumoyo ya wanyamwezi?" Sio tusi?[emoji12]