Kibantu ni ma2C
hapana, ni tafsiri zetu tu. Wanyamwezi kwa mfano sentensi hii,'Nfilagi omgeni akalale', kwa aliyetoka Pwani anaweza liamsha kama sio mjuzi wa lugha hiyo, maana yake ni ' mpelekeni mgeni akalale'. PWANI BWANA.

Kibantu ni ma2C
hapana, ni tafsiri zetu tu.

Nukta yangu kiongozi, ni kuwa Kukaza haijawahi kuwa tusi Tanga.Hizi lugha kama,nitakukaza,nitakutia,nitakugonga,waliwa nk. si lugha rasmi za Tanga.Haya ni maneno ya Kiswahili yenye maana yake ambayo si hiyo mnayoyapachika kwayo.Kumbuka mkaza mjomba,mkaza hau,mkaza baba yalianza kutumika muda mrefu kabla ya hii tafsiri ya kihuni.Siku hizi kila neno linapewa tafsiri isiyo rasmi.Ila kama mada ilivyo ni utani tu.Huko nyuma mtanipaaa?Kazaneni kwenye mikorosho.Kiongozi, unasikia mtu anakwambia kuwa (ashukumu si matusi), nitakukaza, leo nataka kukaza. Nimeishi tanga for 27 yrs hivyo nasema ninachokijua fika. Najua kuna kusema Mkaza mwana-hili siyo tusi ni namna ya kum address mkwe wako, correct kabisa. But upande mwingine wanasema unamtusi mtu hasa mwanamke kuwa "nitakukaza"... kama kuna kutoelewana... ni derogatory word anyway when used in that sense! I stand to be corrected!
Ukitaka kufa mapema oa machame na utangulize kuzaa mtoto wa kiume
Shininga kinu![]()
kinu chafo..!
![]()
![]()
![]()

Nakubaliana na wewe , nadhani kukaza lilitokana na mkaza mwana etc kama ulivyosema hapo juu. Lakini si ndiyo tunaunda lugha hivyo, vocabrary inapanda/inaongezeka!Nukta yangu kiongozi, ni kuwa Kukaza haijawahi kuwa tusi Tanga.Hizi lugha kama,nitakukaza,nitakutia,nitakugonga,waliwa nk. si lugha rasmi za Tanga.Haya ni maneno ya Kiswahili yenye maana yake ambayo si hiyo mnayoyapachika kwayo.Kumbuka mkaza mjomba,mkaza hau,mkaza baba yalianza kutumika muda mrefu kabla ya hii tafsiri ya kihuni.Siku hizi kila neno linapewa tafsiri isiyo rasmi.Ila kama mada ilivyo ni utani tu.Huko nyuma mtanipaaa?Kazaneni kwenye mikorosho.
Chakula very common tokea upareni mpaka Singida... Makande na makukuru au kidheri kwa wakikuyu

Hahahaha hawa watani zetu, wako tayari wauze hata shamba ili mradi ndani kusikosekane mahindi ya kande
Ila mimi nawakubali sana watani zangu kwenye kesi, yuko tayari kuuza ng'ombe kwenye kesi ya kuku![]()
![]()
Afya 2pu


(((utani)))
Naam naam
Daah kwa hiyo na ile ya white house ipo matatani mkuu?Msukuma anaweza kuwa kiumbe anayeongoza kwa ukataji miti duniani, mahali walipo wasukuma basi miti ipo mashakani.
hehehe ka kwangu hakaendi mbeleHeaven Sent, brenda18, tununu!! Mdomo wangu umeenda kwa mbele kama alivyosema mshana jr, haiwezekani!!
Tununu! Tununu!!
Kheee kheeeee kheeeeeeee!!
Ni githeri jombaa linatamkwa getheri. Kwetu ukikuyuni kwenye makande hutakosa viazi! Tunapenda viazi kishenzi utapata hadi viazi vimekaangwa pamoja na spinach afu unaletewa na Ugali pia. Hehe. Hadi kuna Ugali unasongwa na humo humo ndani kuna viazi vilivokaangwa. Unaitwa 'ngunja gutu'. Yaani nichune sikio! Taamu kweli kweli!Chakula very common tokea upareni mpaka Singida... Makande na makukuru au kidheri kwa wakikuyu![]()
![]()