Siku hizi hali imekua mbaya wanakula kwa hizia maana ata picha zinauzwa zama hizi
Unapanic hadi utani hahaha...shurbermeet
Siku hizi hali imekua mbaya wanakula kwa hizia maana ata picha zinauzwa zama hizi
Hahaha utani tu mkuuhapana haitatokea asilani
Hahahaha hawa watani zetu, wako tayari wauze hata shamba ili mradi ndani kusikosekane mahindi ya kande
makande wanayapenda balaaHahahaha hawa watani zetu, wako tayari wauze hata shamba ili mradi ndani kusikosekane mahindi ya kande
Ila mimi nawakubali sana watani zangu kwenye kesi, yuko tayari kuuza ng'ombe kwenye kesi ya kuku
makande wanayapenda balaaHahahaha hawa watani zetu, wako tayari wauze hata shamba ili mradi ndani kusikosekane mahindi ya kande
Ila mimi nawakubali sana watani zangu kwenye kesi, yuko tayari kuuza ng'ombe kwenye kesi ya kuku
Mmh kama nini mkuu?Ndio mama hawa ndugu zangu kuna vitu sio haramu