Siku hizi hali imekua mbaya wanakula kwa hizia maana ata picha zinauzwa zama hizi
Unapanic hadi utani hahaha...[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji35] [emoji35] [emoji35] shurbermeet
Siku hizi hali imekua mbaya wanakula kwa hizia maana ata picha zinauzwa zama hizi
Hahaha utani tu mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]hapana haitatokea asilani
Hahahaha hawa watani zetu, wako tayari wauze hata shamba ili mradi ndani kusikosekane mahindi ya kande[emoji12]
makande wanayapenda balaaHahahaha hawa watani zetu, wako tayari wauze hata shamba ili mradi ndani kusikosekane mahindi ya kande[emoji12]
Ila mimi nawakubali sana watani zangu kwenye kesi, yuko tayari kuuza ng'ombe kwenye kesi ya kuku[emoji40] [emoji125]
makande wanayapenda balaaHahahaha hawa watani zetu, wako tayari wauze hata shamba ili mradi ndani kusikosekane mahindi ya kande[emoji12]
Ila mimi nawakubali sana watani zangu kwenye kesi, yuko tayari kuuza ng'ombe kwenye kesi ya kuku[emoji40] [emoji125]
Mmh kama nini mkuu?Ndio mama hawa ndugu zangu kuna vitu sio haramu