Utani wa makabila! Tupia wako

Utani wa makabila! Tupia wako

IMG-20170730-WA0001.jpeg

Pale A.T.M mashine ilipofika huko upareni
 
hehehehehehehhehheh uwii !jaman !hv hata chai mnakunywaga kweli nyie wapare? jaman kuna baba mpare toka nakua anavaa trauza ile ile khaaa !ubahili huo vip jaman

q



wi qwi qwi sina ham na wapare mie jaman jhapana jaman handsup!
Kama wewe sio Mchaga sijui....!? [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Nahisi shetani naye kabila lake itakuwa ni msukuma. Maana makolokolo na uvaaji wao wanampita hata ibilisi. wasukuma pole pole jamani.
 
Wasukuma na wanyanwezi waluziwa bahari usiku wakati maji yanekupwa wakadhania viwanja vya kujenga. Waliporudi asubuhi maji yamejaa. Mwadila wasukuma na wanyanwezi popote mlipo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: ABJ

Similar Discussions

Back
Top Bottom