Utani wa makabila! Tupia wako

Utani wa makabila! Tupia wako

Mzungu aliingia petrol station maeneo ya boma kuweka mafuta akaona atumie wasaa huo kuingia msalani,akamuuliza mchaga where is washroom? mchaga akajibu hatuoshi magari, wachaga buana.
 
Kuna kabila linaitwa wasonjo wapo huko Loliondo... Majina yao sasa....... Utasikia Kishindo, Mashindano, Msimamo, Tukio, Sambamba...... Kanyumba, Namama,...... Ni nomino ambazo hapohapo ni vivumishi
 
274f871dada80c4e0b737376657df0f2.jpg
 
Eeh iweeee baba Mugaaa...
Gambire pasibota,Gambire stupid eeeh Wagambire tupo urayaa

nawapenda sana watani zangu jamani[emoji23][emoji23][emoji23]
bila kusahau wandengeleko na wangoni
 
Mzungu aliingia petrol station maeneo ya boma kuweka mafuta akaona atumie wasaa huo kuingia msalani,akamuuliza mchaga where is washroom? mchaga akajibu hatuoshi magari, wachaga buana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji116] [emoji115] [emoji116] [emoji115]
Kuna kabila linaitwa wasonjo wapo huko Loliondo... Majina yao sasa....... Utasikia Kishindo, Mashindano, Msimamo, Tukio, Sambamba...... Kanyumba, Namama,...... Ni nomino ambazo hapohapo ni vivumishi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom