min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,632
- 165,003
Sisi watanzania wote ni watani tu ,kwa desturi zetu hatuna shida tukitaniana.
Hii bato ya wachaga na wasukuma naona kama imelazimishwa mno , hakuna bato hasa ya kiuchumi kati ya hayo makabila mawili.
Bato iliyopo ni kati ya watanzania na wachaga kwa sasa hayo mengine mnafanya unafki tu.
Note:huu uzi upo chitchat na utani , hayo ya kwako ya kukaza fuvu peleka wa wajinga wenzako .
Hii bato ya wachaga na wasukuma naona kama imelazimishwa mno , hakuna bato hasa ya kiuchumi kati ya hayo makabila mawili.
Bato iliyopo ni kati ya watanzania na wachaga kwa sasa hayo mengine mnafanya unafki tu.
Note:huu uzi upo chitchat na utani , hayo ya kwako ya kukaza fuvu peleka wa wajinga wenzako .