Bato ya wachaga vs wasukuma

Bato ya wachaga vs wasukuma

min -me

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
57,632
Reaction score
165,003
Sisi watanzania wote ni watani tu ,kwa desturi zetu hatuna shida tukitaniana.

Hii bato ya wachaga na wasukuma naona kama imelazimishwa mno , hakuna bato hasa ya kiuchumi kati ya hayo makabila mawili.

Bato iliyopo ni kati ya watanzania na wachaga kwa sasa hayo mengine mnafanya unafki tu.

Note:huu uzi upo chitchat na utani , hayo ya kwako ya kukaza fuvu peleka wa wajinga wenzako .
 
downloadfile-64.jpg
 
Back
Top Bottom