Ukitaka wahamie kwako kabisa anzisha dozi ya kande kila siku, watahamishia hadi mifugo kwako japo unaishi mjini[emoji40]na
makande wanayapenda balaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji144] [emoji144] [emoji144] ndio maana Uchagani hakuna bendi ya mziki... Kila mtu anataka kuwa cashier
Kwani hao wapare ndo wanaongea kikikuyu nini? Maanake ukikuyuni ndo utaskia thamaki, thitima, thwiti! Hehehe!Sio samaki ni Thamaki
Kwani hao wapare ndo wanaongea kikikuyu nini? Maanake ukikuyuni ndo utaskia thamaki, thitima, thwiti! Hehehe!
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umesahau mkuu, tuna bendi inaitwa Mtingo. Au umesahau ndio bendi iliyotumbuiza Upareni kwenye mkutano wa siasa mlivyokua wafupi tukafikiri watoto tukawatuma mkalete wazazi wenu mkajibu "THITHI THITHI NDO BABA DHAO NA NDO MAMA DHAO" [emoji12] [emoji125]
inakujaTunataka picha mkuu
ThamakiSio samaki ni Thamaki
Ukitaka wahamie kwako kabisa anzisha dozi ya kande kila siku, watahamishia hadi mifugo kwako japo unaishi mjini[emoji40]
Kukaza ni tusi, I guess! Ni kweli?Mke wa mjomba wabondei wanamuita mkaza mjomba
Kweli jombaa? Hehe kande ukikuyuni ndo githeri. Kinapendwa sana huko pia.Asili ya wapare ni huko huko ukikuyuni