MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,049
Umekariri
teh teh mkuu unaumia na huku ni ukweli ! siwaelewag kbs wapare jaman ! nitakuja hapa na ushuhuda wa wapare ngj nichepe kazi
Umekariri
Hahahhahaaaaa Cutewapare sina hamu nao jaman !mmezid ubahili mjue ! kuna mpare namjua uwiiiiii!
Weka picha tuone anavyokula!
hii inaitwa kula kuku kwa mrija,soda kwa uma...!!!Dada la kipare likilumangia lishe bora na soda za draft...
View attachment 592349
Na kushinda kwakwe ni π,Hahahaha hawa watani zetu, wako tayari wauze hata shamba ili mradi ndani kusikosekane mahindi ya kande
Ila mimi nawakubali sana watani zangu kwenye kesi, yuko tayari kuuza ng'ombe kwenye kesi ya kuku
Duh wewe ni yupi ..nahisi utakuwa mgogo njoo ufanye vibarua kichunga huku usukumaniWasu_kuma
waha
wanyakyusa
wapare
wameru
HahahahahahahDuh wewe ni yupi ..nahisi utakuwa mgogo njoo ufanye vibarua kichunga huku usukumani
Sio wote mkuuNaskia wanawake/wake wa kichagga ukishapata tu mali anakupotezea mbali
Wasukuma ni zaidi ya washambaUnakuwa mshamba kama msukuma!!
Nsuriii..... Embu watafsirie kukaba kwa kimeruVipi kuhusu neno "Kinu" kwa wameru ni tusi ila kwingine ni kifaa
Halafu aitwe Babuu....Ukitaka kufa mapema oa machame na utangulize kuzaa mtoto wa kiume
Hicho ni Kiswahili fasaha, mke wa mjomba huitwa MKAZA na huenda limetoholewa toka huko kwa Wabondei.Mke wa mjomba wabondei wanamuita 'mkaza mjomba'.