Utajiri wa masharti ni mateso

Utajiri wa masharti ni mateso

Ni bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho.

Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao.

Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usinye choo cha nyumbani n.k

Sasa hayo ni mateso ndugu zangu , Raha Pesa uifurahie na sio ikupe Karaha.
'Ndagu' nyingi zinazotangazwa na FM radios za Mbeya ni za feki. Hao waganga wanatafuta pesa kuwa ule utaratibu wa 'wajinga ndio waliwao'
 
Lakini huwezi msikia Mnyaki, safwa ambaye mchawi. Ila wakumbozi ,wakumakete, wanapenda utajiri wa ndagu ni kweli eti

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli aisee,Wakumakete na Wakumbozi ni noma kwa uchawi wa utajiri na hawa nahisi ndio walioambukiza Watanzania.Ila Wasafwa nao mm wachawi,ingawa hawavumi sana kwa uchawi wa kutafuta utajiri.
 
Hivi kwa nn wajinga mmekaririgi kua sisi watu wa Kilimanjaro hela zetu ni za bunduki!?watu Wana hustle usiku na mchana kutafta pesa unakuja sema oooh majambazi,oooh sjui waizi!!!pambana tafta acheni kua na chiki na watu wa kaskazini

Sent using Jamii Forums mobile app
mnauana sana kisa pesa, reference: kesi ya msuya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngalikihinja,
Usipoishi propprtional na hela zako, hasa kama una hela halafu unaishi kama huna hela, lazima uonekane mchawi....


Hii kauli umeiweka too general unless if your target audience is Africa, kama umefika nchini Marekani kuna mji unaitwa Silicon Valley unapatikana kusini mwa eneo la San Francisco ktk jimbo la California. Huku ndiko kiini cha ugunduzi na teknolojia, ni kawaida kabisa kukutana na mtu mwenye ukwasi wenye thamani zaidi ya trilioni 10 za ki-Tanzania na anatembea kavaa flip flops, kaptura na plain t-shirt kwenda ofisini kwake kwa mfano kuna watu wanaitwa Jack Dorsey na mwenzie Biz Stone ukikutana nao mtaani utadhani wahuni wa mtaani kumbe ndo wagunduzi na watendaji wakuu wa mtandao wa Twitter . Pia kuna mtu anaitwa Gabe Newell huyu naye ni mtu mzito sana ni mwanzilishi wa kampuni ya Valve inayotengeneza video games ukikutana nae utadhani ni maskini yeye anaishi mji wa Bellevue, jiji la Waashington.

Hoja yangu hapa ni kwamba watu wenye ukwasi mkubwa wengi wao hawanaga flashy lifestyle unless labda wawe new money yaani umeupata ukwasi huna kipindi kirefu au wewe ni mtu wa sanaa au kipaji kama mpira au mwanasiasa mwizi mwizi ndo utaishi Maisha ya mbwembwe to maintain your status and fame. Matajiri walio wengi wanaishi Maisha ya kawaida as long as unapata mahitaji ya msingi huna haja ya kujionyesha kama shughuli zako hazikuhitaji kujionyesha nunua gari ambalo ni practical kukutoa mahala A kwenda mahala B labda kama wewe ni mtu unayependa magari same applies to house sio lazima uwe na lijumba kubwa kisa una pesa hata kama hulihitaji.

Tafuta kitabu kinaitwa The millionaire Next Door kimeandikwa na Thomas J. Stanley na mwenzake William D. Danko. Utashangazwa sana na watu wanavyoweza kutengeneza ukwasi mkubwa kwa ku-avoid the high life na kuwa more practical Zaidi ili kukwepa expenses zisizo za lazima ambazo zitakufanya uwe ktk endless consumption treadmill.
 
Kuna matajiri nilikuwa na kaa nao jirani ;
1. Peter Lucas Sanga (Mkinga) -RIP- Tajiri wa kwanza kwanza kabisa kwa kuwa na madaladala mengi kama 50 hivi hapa Dsm ( Chata yake Dunia Hadaa Ulimwengu Shujaa).Alikuwa anaishi maisha ya tabu sana na familia yake .Watoto wake walikuwa wanaomba fegi wakati huo inauzwa sh 20/- (mbau).Hakuna cha nguo wala viatu vipya miaka kibao

2.Galilaya -mchaga nafikiri - ni tajiri wa mambo ya ujenzi lakini anatia huruma sana hata soda hanunui..viatu upande , nguo choka mbaya..na yeye anapiga mguu kama hana akili nzuri..ila huyu masharti yake si magumu kwa familia yake ..wanakula raha kiaina.
Hawa ni ambao niliwaona live
 
Mm nimetoka pawaga akuna mambo ayo ww muongo nime kaa zaidi ya miezi akuna kitu kaa icho kuna warabu njaa tuu uko pawaga
Inaelekea wewe mgeni na watu wa huku...sisi tushawazoea na tunaona ni kawaida tu,kama ukija huku pawaga/iringa vijijini utakutana na mambo ambayo siku ukiludi kwwnu ukiwasimulia hakuna atakayeamink,watahisi umeangalia movie sasa unawasimulia
NB:kwa kiasi flan usemayo ni kweli na yapo zaidi ya hayo ingawa sio wote wana mambo hayo(asilimia ndogo sana ndio wana hayo mambo)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naam Mimi nimefanya kazi huko kusini kwa almost 15 years mkuu,vitajiri vingi 90% vina huo utajir feki na vinakufaga Kama kuku
Ukienda Makete kumechakaa mno hawaruhusiw kujenga nyumba nzuri
Utajiri huo wa kichawi unapatkana Njombe sehemu inaitwa nyumba nitu kwa mganga maarufu mwandulami,awali alikuwa mwakipande lakini alifariki
Usiwadanganue watu.N kweli matajiri wengi Tanzania wanatumia uchawi.

Kilimanjaro inaongoza kwa kuwa na machizi wengi Tanzania unajua sababu yake?Sabahu n kuwavuruga akili machizi ili wachaga wapate utajiri
 
Ni vichawi mno mkuu navifahamu in and out ukienda Makete utalia kumepauka Hakuna kitu wakinga wameikimbia Makete wote hata wakifa wanazkwa uyole aibu
ViHéla vya kishirikina havidumu ndugu zangu
ViHéla vya kudonoa kuku kwa mwakipande hovyo kbs
Makete kupo vzr tu hakuna kupauka Kama unavyowaaminisha watu

Kumepauka Same na Mwanga na kupo hovyo Sana .Makete Ina fursa ya miti,viazi na mahindi pamoja na utalii mbuga ya kitulo
 
Mkuu nimekaa Njombe nimejionea matajiri wa huko ni hovyo hovyo
Hata hawawezi kula vizuri,kulala ,kuvaa, vizuri,wao hawakusoma na watoto wao hawasomeshi,wapo wapo kama mazezeta,si mnaona kuna mbunge wa kanda hiyo,shule hakuna na wala huwezi kumuona anatembea hata na msaidizi,lakini anamaroli zaidi ya 100
 
Huko kumejaa watu wenye roho za kihasidi tu..hakuna kama SUKUMA LAND ktk tanzania hii,kwanza wakarimu,waaminifu,watiiifu wanamcha mungu,wakweli,wanapenda wageni na hawababaishwi na cha mtu..

Sent using Jamii Forums mobile app
wadanganye wasiokujua usukumani ndio maan wakiyaotea maisha nje ya usukumani hawataki kurudi kwao.
 
Mm nimetoka pawaga akuna mambo ayo ww muongo nime kaa zaidi ya miezi akuna kitu kaa icho kuna warabu njaa tuu uko pawaga

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha...yaani umekaa pawaga miezi kazaa ila unaifaham kuliko wazawa?

Leo hii mimi nikienda marekani nikakaa sehem flani kwa miezi kadhaa nikaludi Tanganyika unahisi nitakuwa tayar naijua hiyo sehem kuliko wazawa waliokulia eneo husika?!,Kijana nimezaliwa Kiwere(kama ulifika pawaga bhas utajua jinsi kiwere na pawaga palivyo karibu) nikakulia Pale na nimepafaham pawaga zaid ya miaka 20 tokea wakati huo kukutana na tembo ilikuwa ni ajari za kawaida,Geleza kuu la pawaga nishafungwa ingawa nkaachiwa kwa msamaha wa rais,kazi yangu nilianzia pale Pawaga kisha nikahamishiwa Monduli 1989 hivyo elewa nafaham nisemalo.
Siku njema.
 
Back
Top Bottom