DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,496
- 5,099
Kuna kijana mmoja Dsm amekosa amani na furaha moyoni ingawa ana hela ya kufa mtu.
Utajiri wake aliupata kwa mganga
Alipokwenda kuomba dawa aliambiwa atoe kafara mojawapo kati ya mama yake au kizazi chake. Akaamua kutoa kizazi chake(kwamba hataweza kumpatia mimba mwanamke yeyote maishani)
Ni kweli akawa tajiri mkubwa tu, akaoa na maisha yakawa safi kwa kitambo kidogo.
Lakini miaka kadhaa ikapita bila mkewe kupata mimba (hata kupata miscarriage tu)
Ndugu wa kijana wakaanza kumsimanga mkewe na kumtaka jamaa aoe mke mwingine(ingawa ni mkristo)
Mambo yalipomzidia yule kijana ikambidi amwambie mkewe A to Z sababu ya wao kutopata mtoto. Wakakubaliana kuwa mdogo wa mume awasaidie kupata mtoto ili kuilinda ndoa yao. (Ndugu wengine hawakujuzwa jambo hili)
Mdogo mtu akakubali, mke akapata mtoto.
Mtoto wa kwanza alipokuwa, mdogo mtu akapiga game tena. Wakapata mtoto wa pili.
Hapo shida ndipo ilipoanza. Mke akaanza kumpenda zaidi mdogo mtu.
Mdogo mtu naye akaanza kiburi na jeuri kwa kaka yake. Akaanza kudai watoto wake na kutaka jambo hili liwe wazi kwa kila ndugu.
Sijui walimalizana vipi lkn jamaa mali anazo ila hana amani moyoni.
Utajiri wake aliupata kwa mganga
Alipokwenda kuomba dawa aliambiwa atoe kafara mojawapo kati ya mama yake au kizazi chake. Akaamua kutoa kizazi chake(kwamba hataweza kumpatia mimba mwanamke yeyote maishani)
Ni kweli akawa tajiri mkubwa tu, akaoa na maisha yakawa safi kwa kitambo kidogo.
Lakini miaka kadhaa ikapita bila mkewe kupata mimba (hata kupata miscarriage tu)
Ndugu wa kijana wakaanza kumsimanga mkewe na kumtaka jamaa aoe mke mwingine(ingawa ni mkristo)
Mambo yalipomzidia yule kijana ikambidi amwambie mkewe A to Z sababu ya wao kutopata mtoto. Wakakubaliana kuwa mdogo wa mume awasaidie kupata mtoto ili kuilinda ndoa yao. (Ndugu wengine hawakujuzwa jambo hili)
Mdogo mtu akakubali, mke akapata mtoto.
Mtoto wa kwanza alipokuwa, mdogo mtu akapiga game tena. Wakapata mtoto wa pili.
Hapo shida ndipo ilipoanza. Mke akaanza kumpenda zaidi mdogo mtu.
Mdogo mtu naye akaanza kiburi na jeuri kwa kaka yake. Akaanza kudai watoto wake na kutaka jambo hili liwe wazi kwa kila ndugu.
Sijui walimalizana vipi lkn jamaa mali anazo ila hana amani moyoni.