Utajiri wa masharti ni mateso

Utajiri wa masharti ni mateso

Hahahhaaa unachuki na Wakinga mkuu, nakuona kila mahali, walikufanyia nini hawa.
Ni vichawi mno mkuu navifahamu in and out ukienda Makete utalia kumepauka Hakuna kitu wakinga wameikimbia Makete wote hata wakifa wanazkwa uyole aibu
ViHéla vya kishirikina havidumu ndugu zangu
ViHéla vya kudonoa kuku kwa mwakipande hovyo kbs
 
Hapana yule dogo siyo ndagu namfahamu sana ameishi maishs magumu sana alipata mtaji baada ya kupiga udalali wa nyumba alipata around 20 mil ndo kachomoka.Kwa huko songwe king kong wa haya mandagu ni dingi mmoja wa vwawa mkinga anaitw chau.....nini sijui??
Chaula. Yaani umeshindwa kumalizia la? Kama sio uongo ni nini
 
Back
Top Bottom