Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,623
Na ninyi muache kutusingizia wakinga eti tuna hela za majiniHivi kwa nn wajinga mmekaririgi kua sisi watu wa Kilimanjaro hela zetu ni za bunduki!?watu Wana hustle usiku na mchana kutafta pesa unakuja sema oooh majambazi,oooh sjui waizi!!!pambana tafta acheni kua na chiki na watu wa kaskazini
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app