kibhojela
JF-Expert Member
- Mar 7, 2018
- 1,004
- 1,097
Mbona nipo hai wewe!Yule Mzee alishafariki mkuu.
Na alifariki baada ya kuachana na hizi mambo.
Mbona nipo hai wewe!Yule Mzee alishafariki mkuu.
Na alifariki baada ya kuachana na hizi mambo.
Inaelekea wewe mgeni na watu wa huku...sisi tushawazoea na tunaona ni kawaida tu,kama ukija huku pawaga/iringa vijijini utakutana na mambo ambayo siku ukiludi kwwnu ukiwasimulia hakuna atakayeamink,watahisi umeangalia movie sasa unawasimulia
NB:kwa kiasi flan usemayo ni kweli na yapo zaidi ya hayo ingawa sio wote wana mambo hayo(asilimia ndogo sana ndio wana hayo mambo)
Kijana gani huyo mtaje yaweza kuwa unanisema humu?Ila mbona pale mlowo kuna kijana nae wanasema ana pesa yake niya hivyo lakini hayupo kwenye masharti ya hivyo
Ukimtazama anapiga pamba safi gari safi and coster za kumwaga mbeya tunduma
Labda hizi mambo zipo za aina tofauti sana
Yule mwembamba mkewe anatembelea harrier!?Ana duka anauza sola ,tv, ( electronics)
Si ndo huyu
Ni bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho.
Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao.
Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usinye choo cha nyumbani n.k
Sasa hayo ni mateso ndugu zangu , Raha Pesa uifurahie na sio ikupe Karaha.
Yule mwembamba mkewe anatembelea harrier!?
Nyinyi watu bana bongo kuna matajiri wapiii? Vijichenji tuu watu washasifiwa matajiri. Yani kuroga kote huko unakuta ana million 50 halafu kujitesa ukubanwa unaenda kukojoa njia panda.
Fanyeni kazi bana
Young D ft Ben pol ft Mwana FA-Fununu
Hapana nilidhani sultan mzee wa electronics mlowo yeye ni mrefu mwembambaNadhani ndo huyo kajamaa kafupi kajanja janja kweli,, kanapenda kupiga simu redion sana.
"Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, "
Kwahiyo hayo ni mateso
Kijana gani huyo mtaje yaweza kuwa unanisema humu?
Hapana nilidhani sultan mzee wa electronics mlowo yeye ni mrefu mwembamba
Kuhangaika
Hapana nilidhani sultan mzee wa electronics mlowo yeye ni mrefu mwembamba
Hapana yule dogo siyo ndagu namfahamu sana ameishi maishs magumu sana alipata mtaji baada ya kupiga udalali wa nyumba alipata around 20 mil ndo kachomoka.Kwa huko songwe king kong wa haya mandagu ni dingi mmoja wa vwawa mkinga anaitw chau.....nini sijui??Anajiita sultani
OkHuyo simjui mimi ,,