Utajiri wa masharti ni mateso

Utajiri wa masharti ni mateso

Siyo kwa chuki...naishi Uchagani, vichaa ni wengi Sana tena wale anaoishi majumbani (anayeifhamu vizuri tarafa ya Mkuu-Rombo) naweza kumtajia familia hadi familia, sijui kisa au chanzo ni nini....Mungu tusaidie
Mimi naijua, taja kama kweli
 
Siyo kwa chuki...naishi Uchagani, vichaa ni wengi Sana tena wale anaoishi majumbani (anayeifhamu vizuri tarafa ya Mkuu-Rombo) naweza kumtajia familia hadi familia, sijui kisa au chanzo ni nini....Mungu tusaidie
Ukiwa na mawazo hayo tutakufa masikini
 
zifuatazo ni sehemu zinazo ongoza kwa utajiri wa kifala Tz.


1.Mbeya
2.Makete
3.Njombe
4.songwe
5.Iringa
6.shinyanga
7.Makambako
8.Dar na Mwanza lao ni moja wamefungana, wana matajiri wa ukweli wengi na hao wa Ndagu sijui ulozi me nasema wana utajiri wa mchongo
 
Kaka. Utapata utajiri wa mafuso, mabasi, majumba na mshamba lkn yatakusaidia Nini Kama yatakwisha ndani ya miaka Saba huku ukiwa na mzigo wa dhambi isitoshe utapata tabu sana wakati unakaribia kufa.
Jiulize na waulize ndugu zako kwanza

Sawa nimekubali matokeo najilipua tu
 
Back
Top Bottom