Utajiri wa masharti ni mateso

Utajiri wa masharti ni mateso

Sumbawanga ni ushirikina wa kuua watu...radi kwisha.
Njombe babu ni uchawi wa kupata hela ya matesomateso .
Sumbawanga ni jina tu linavumishwa na watu na kutumika kibiashara, lakini ushirikina wa nguvu upo Mbeya na Makete
 
Nimeishi huko miaka 15 ninefanya kazi halmashauri za mbozi,Makete,Njombe,songea na mbeya jiji
Ni kweli mtupu vitajiri uchwara vya huko vinalala nje,vinashindia andaz vimepaukaaa
Utajiri wa huko ni wa kudonoa kwa mwandulami ,mwakipande hovyo kbs
pole sana ndugu yangu
 
Ni bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho.

Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao.

Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usinye choo cha nyumbani n.k

Sasa hayo ni mateso ndugu zangu , Raha Pesa uifurahie na sio ikupe Karaha.
Hakuna uchawi kwenye hayo masharti
Kwa Mfano usitembeee na mwanamke mwingine,hiyo ni kubana matumizi tu.
Kuvaa ndala ni kubana matumizi tu.
Usinye choo cha Nyumbani
Hapo Mzee usikaekae Nyumbani nenda katafute pesa mtaani.
Hamna ushirikina Wala ndagu hapo ni discipline ya kutafuta hela na kutumia pesa vizuri.
 
Nimeishi huko miaka 15 ninefanya kazi halmashauri za mbozi,Makete,Njombe,songea na mbeya jiji
Ni kweli mtupu vitajiri uchwara vya huko vinalala nje,vinashindia andaz vimepaukaaa
Utajiri wa huko ni wa kudonoa kwa mwandulami ,mwakipande hovyo kbs
Bado ni story, umesikia wapi mwandulami anatoa utajiri?
 
Bado ni story, umesikia wapi mwandulami anatoa utajiri?
Mwandulami anatoa utajir wa kishirikina kwa kudonoa na kuku nenda nyumba nitu utaupata hata Léo
Vitajir vingi vya huko vina huo utajir feki vinatia huruma,mtu tajiri alafu anashindia maji,Havaí vizur,analala nje,utajiri gan huo? Si ufala?
Au wengine Wana ule utajiri wa kuoza yaan unakufa unaoza then una ji update Tena
Mkuu mm huko nafahamu A to Z hunidanganyi kitu i
had been lived there for 15 years
 
Hakuna uchawi kwenye hayo masharti
Kwa Mfano usitembeee na mwanamke mwingine,hiyo ni kubana matumizi tu.
Kuvaa ndala ni kubana matumizi tu.
Usinye choo cha Nyumbani
Hapo Mzee usikaekae Nyumbani nenda katafute pesa mtaani.
Hamna ushirikina Wala ndagu hapo ni discipline ya kutafuta hela na kutumia pesa vizuri.
Mbna ukikiuka hayo masharti mambo yako yanaenda mrama?
 
Mwandulami anatoa utajir wa kishirikina kwa kudonoa na kuku nenda nyumba nitu utaupata hata Léo
Vitajir vingi vya huko vina huo utajir feki vinatia huruma,mtu tajiri alafu anashindia maji,Havaí vizur,analala nje,utajiri gan huo? Si ufala?
Au wengine Wana ule utajiri wa kuoza yaan unakufa unaoza then una ji update Tena
Mkuu mm huko nafahamu A to Z hunidanganyi kitu i
had been lived there for 15 years
Aisee
 
Naam Mimi nimefanya kazi huko kusini kwa almost 15 years mkuu,vitajiri vingi 90% vina huo utajir feki na vinakufaga Kama kuku
Ukienda Makete kumechakaa mno hawaruhusiw kujenga nyumba nzuri
Utajiri huo wa kichawi unapatkana Njombe sehemu inaitwa nyumba nitu kwa mganga maarufu mwandulami,awali alikuwa mwakipande lakini alifariki
 
Back
Top Bottom