Utajiri wa masharti ni mateso

Utajiri wa masharti ni mateso

Unakuta mtu anazungusha round bar ila mama mzazi kalalia chai ya rangi, ndio masharti yenyewe. Akibahatika kumpa mzazi pesa anampa na mkono wa kushoto, au zinatupwa mezani akaokote. Ndio maana inasemwa " maisha ni mchezo na siri ya hali ya juu"
 
Ni bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho.

Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao.

Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usinye choo cha nyumbani n.k

Sasa hayo ni mateso ndugu zangu , Raha Pesa uifurahie na sio ikupe Karaha.
Fafanua umetembelea mikoa gani
 
Ni bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho.

Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao.

Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usinye choo cha nyumbani n.k

Sasa hayo ni mateso ndugu zangu , Raha Pesa uifurahie na sio ikupe Karaha.
Acha mambo yakujifariji tafuta pesa eti bora kua mia sasa watoto wangu watasomaje na hivyo vimia vimia
 
Never at any circumstance should a man stay loyal to one woman.

Sent using Jamii Forums mobile app
Real?Mungu alisema,"si vema huyu mtu awe peke yake,nitamfanyia "msaidizi" wa kufanana naye[Kitabu cha Biblia cha Mwanzo,sura ya pili,mstari wa 18(Mwz 2:18)], sio "wasaidizi" wa kufanana naye.Kwa hiyo kuwa na vimada au kuoa wanawake wengi ni kwenda kinyume na maagizo ya Mungu,kwa kuwa hata ndoa ya kwanza ambayo aliifungisha Mungu mwenyewe ilikuwa ya mke mmoja.Put it in another way,kuoa wanawake wengi,uasherati au umalaya/zinaa ya aina yeyote ni kwenda kinyume na maagizo ya Mungu na infact ni kutii maagizo ya Shetani kama nilivyo-tangulia kusema.Niseme hivii,umalaya au zinaa ndiyo dhambi mbaya kuliko dhambi zote,according to the Bible.
 
Hivi kuna masharti ya utajiri wa kutofunga ndoa na mwanamke? Unaweza ishi nae tuu miaka na miaka ila tuu kanisani ndo usiende? Kuna ndugu yangu ameishi na mwanaume mwaka wa 21 huu ila kubariki ndoa ndo shidaa yani kila mwaka mwanaume anasema mwakani ntafanya mwakani ntafanya... wana watt wakubwa wanaingia vyuo. Ila jamaa mpunga anao na biashara zake zinaenda vzr sana.
 
Uliwafuata waganga wa hayo maeneo Sasa wamekupa intro either ukubali uwe Tajiri au ukatae uwe masikini, au mwenye kipato unachokipata Sasa....
Heshima gani ya kishikwa makalio hio..!? Mungu kakupa mfano miaka 93 wewe una ingia kwenye mikataba ya kuoewa mali za kishetani una kuja ku pokwa uhai wako baada ya miaka 7 faida gani sasa hiyo kama sio UTOPOLO
 
Back
Top Bottom