Utafiti: Kiongozi mwenye akili hawezi kuiba wala kula rushwa wala kufanya ufisadi

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,333
8,252
Hii ni ngumu kumeza lakini ndivyo ilivyo;
Wanasema kiongozi mwenye akili hawezi kuiba wala kula rushwa wala kufanya ufisadi.

Utafiti unasema kwamba kinachomfanya mtu aibe ni tamaa ambazo huongozwa na hisia. Mtu asiye na akili huongozwa na hisia kwasababu ya kukosa maarifa. Hicho ndicho humfanya ashindwe kuwaza na kuchakata mambo kwa kina kabla hajaiba. Matokeo yake hujikuta anafanya maamuzi ya haraka ya kuiba, kufisadi au kula rushwa.
 
Unamaanisha angle ile hawajawah kua na akili?
Hii ni ngumu kumeza lakini ndivyo ilivyo;
Wanasema kiongozi mwenye akili hawezi kuiba wala kula rushwa wala kufanya ufisadi.

Utafiti unasema kwamba kinachomfanya mtu aibe ni tamaa ambazo huongozwa na hisia. Mtu asiye na akili huongozwa na hisia kwasababu ya kukosa maarifa. Hicho ndicho humfanya ashindwe kuwaza na kuchakata mambo kwa kina kabla hajaiba. Matokeo yake hujikuta anafanya maamuzi ya haraka ya kuiba, kufisadi au kula rushwa.
 
Hii ni ngumu kumeza lakini ndivyo ilivyo;
Wanasema kiongozi mwenye akili hawezi kuiba wala kula rushwa wala kufanya ufisadi.

Utafiti unasema kwamba kinachomfanya mtu aibe ni tamaa ambazo huongozwa na hisia. Mtu asiye na akili huongozwa na hisia kwasababu ya kukosa maarifa. Hicho ndicho humfanya ashindwe kuwaza na kuchakata mambo kwa kina kabla hajaiba. Matokeo yake hujikuta anafanya maamuzi ya haraka ya kuiba, kufisadi au kula rushwa.
"The problem of Africans, those with ideas have no power, and those with power have no ideas"
 
Utafiti umeonyesha Waafrika ni wachache wenye IQ levels zinazokubalika kimataifa lakini wanaangushwa na Dumb majority ambao wengi walidumaa kiakili kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo lishe hafifu kwashakor nk.

Sijui nini kifanyike wadau?
 
Hii ni ngumu kumeza lakini ndivyo ilivyo;
Wanasema kiongozi mwenye akili hawezi kuiba wala kula rushwa wala kufanya ufisadi.

Utafiti unasema kwamba kinachomfanya mtu aibe ni tamaa ambazo huongozwa na hisia. Mtu asiye na akili huongozwa na hisia kwasababu ya kukosa maarifa. Hicho ndicho humfanya ashindwe kuwaza na kuchakata mambo kwa kina kabla hajaiba. Matokeo yake hujikuta anafanya maamuzi ya haraka ya kuiba, kufisadi au kula rushwa.

Hii haiwahusu watu wenye madaraka/viongozi pekee.

Mtu yeyote mwenye akili na maarifa atafahamu kwamba mali zikiwa nyingi kupindukia, hasa zile zilizopatikana kiharamu huwa hazileti ustawi wa mhusika (in the long run).

Mara nyingi mafanikio/mali hizo watanufaika wengine bali kwako itageuka kuwa ni msalaba na chanzo cha migogoro na mateso ya kila aina. Japo wahusika wengi hupiga kimya na kuonesha kufaidi machoni pa walimwengu lakini habari wanakuwa nayo huko nyuma ya pazia.

Kama umejaliwa utajiri kihalali kama ule wa Nabii Ibrahim na mfalme Suleiman, hapo ni sawa.
Kanuni ya ulimwengu ni kuhakikisha nyuma ya ukwasi na umaarufu wako pasiwe na sauti zinalia kutotendewa haki. Hata kama una maguvu ya kuzinyamazisha, ulimwengu unarekodi na utakupa kikustahilicho kwa wakati usiotamani na kwa namna usiyoweza kujitetea.

Hivyo, ni mjinga pekee atadhani yeye hayatamkuta, bali mwanadamu yeyote 'anayejitambua' ataepuka kwa nguvu zote kupita njia za dhuluma ili kujipatia manufaa binafsi na starehe za kipindi kifupi.
 
Hii haiwahusu watu wenye madaraka/viongozi pekee.

Mtu yeyote mwenye akili na maarifa atafahamu kwamba mali zikiwa nyingi kupindukia, hasa zile zilizopatikana kiharamu huwa hazileti ustawi wa mhusika (in the long run).

Mara nyingi mafanikio/mali hizo watanufaika wengine bali kwako itageuka kuwa ni msalaba na chanzo cha migogoro na mateso ya kila aina. Japo wahusika wengi hupiga kimya na kuonesha kufaidi machoni pa walimwengu lakini habari wanakuwa nayo huko nyuma ya pazia.

Kama umejaliwa utajiri kihalali kama ule wa Nabii Ibrahim na mfalme Suleiman, hapo ni sawa.
Kanuni ya ulimwengu ni kuhakikisha nyuma ya ukwasi na umaarufu wako pasiwe na sauti zinalia kutotendewa haki. Hata kama una maguvu ya kuzinyamazisha, ulimwengu unarekodi na utakupa kikustahilicho kwa wakati usiotamani na kwa namna usiyoweza kujitetea.

Hivyo, ni mjinga pekee atadhani yeye hayatamkuta, bali mwanadamu yeyote 'anayejitambua' ataepuka kwa nguvu zote kupita njia za dhuluma ili kujipatia manufaa binafsi na starehe za kipindi kifupi.
Ahsante sana kwa kudadavua zaidi
 
Hii haiwahusu watu wenye madaraka/viongozi pekee.

Mtu yeyote mwenye akili na maarifa atafahamu kwamba mali zikiwa nyingi kupindukia, hasa zile zilizopatikana kiharamu huwa hazileti ustawi wa mhusika (in the long run).

Mara nyingi mafanikio/mali hizo watanufaika wengine bali kwako itageuka kuwa ni msalaba na chanzo cha migogoro na mateso ya kila aina. Japo wahusika wengi hupiga kimya na kuonesha kufaidi machoni pa walimwengu lakini habari wanakuwa nayo huko nyuma ya pazia.

Kama umejaliwa utajiri kihalali kama ule wa Nabii Ibrahim na mfalme Suleiman, hapo ni sawa.
Kanuni ya ulimwengu ni kuhakikisha nyuma ya ukwasi na umaarufu wako pasiwe na sauti zinalia kutotendewa haki. Hata kama una maguvu ya kuzinyamazisha, ulimwengu unarekodi na utakupa kikustahilicho kwa wakati usiotamani na kwa namna usiyoweza kujitetea.

Hivyo, ni mjinga pekee atadhani yeye hayatamkuta, bali mwanadamu yeyote 'anayejitambua' ataepuka kwa nguvu zote kupita njia za dhuluma ili kujipatia manufaa binafsi na starehe za kipindi kifupi.
Utakufa masikini mkuu
 
Hii ni ngumu kumeza lakini ndivyo ilivyo;
Wanasema kiongozi mwenye akili hawezi kuiba wala kula rushwa wala kufanya ufisadi.

Utafiti unasema kwamba kinachomfanya mtu aibe ni tamaa ambazo huongozwa na hisia. Mtu asiye na akili huongozwa na hisia kwasababu ya kukosa maarifa. Hicho ndicho humfanya ashindwe kuwaza na kuchakata mambo kwa kina kabla hajaiba. Matokeo yake hujikuta anafanya maamuzi ya haraka ya kuiba, kufisadi au kula rushwa.
Kwaiyo wale waliotuletea jinamizi linaloitwa IGA chini ya udhamini wa DPW wanaangukia kundi gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom