Utaalamu kumuona mchawi usiku!

Utaalamu kumuona mchawi usiku!

iman yako iweke kwa mungu.ukimuomba na ukiamini amekusikia u wil nvr see those stuffs again
 
Akili ikiwa ndogo, hata maarifa ya uongeaji huwa duni. Kama unaamini wachawi wanamuomba Mungu ili wakuwangie, huyo mtaalam unayetaka tukuambie uende kwake ni zaidi ya MUNGU?

Kila la heri anyway, lkn nafikiri kuomba kwako hakufanikiwi kwa the way umemgrade Mungu that low.


watu kama wewe huwa mnaniboa ulikuwa wapi na makavu kama haya mazuri mazuri!
Aisee Mwana Mtoka Pabaya umenifurahisha sana mkuu!!
Well said bg up!!

watu tumefanya waganga,hiriz n.k ndo kinga zetu na ndo msaada
na wakati maandiko yanasema
Isaya17:5 Na amelaaniwa mtu amfanyaye mwanadamu kuwa
kinga yake na moyoni mwake amemwacha Mungu.........
 
Last edited by a moderator:
So funny wanacheza sebene dinning......hahahahaaa
 
M PM bujibuji mi alishawahi kunipa antivirus ya kuona wachawi sema sijai renew tu
 
Ukikwama kabisa nenda viwanja vya bunge kuna jamaa hatariiiii
 
Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi.
Maanda wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.

Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'

Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati.
Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!

Pls msaada,im serious aise!

duh naona moderator kuna haja ya kuihamisha hii thread kwenye mambo ya imani/itikadi. bila shaka hapa si sehemu yake.
 
Na leo umeleta hii mada jiandae,ukistuka unakuta umelala na kitimoto. Chezea hao wajinga wewe? Ha ha haaa
 
Na leo umeleta hii mada jiandae,ukistuka unakuta umelala na kitimoto. Chezea hao wajinga wewe? Ha ha haaa
Mkuu charger nimepewa irizi fulani hivi imewekwa bangi ndani ili niiweke kwenye moja ya kona ya nyumba yangu.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi.
Maanda wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.

Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'



Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati.
Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!

Pls msaada,im serious aise!

Inawezekana ni woga wako tu ... kumbe ni mapanya wanajigaragaza na kufanya watakavyo....

 
Mambo ya Walawi 19 : 31
Msiwaendee wenye
pepo, wala wachawi;
msiwatafute; ili kutiwa unajisi
na wao; Mimi ndimi Bwana,
Mungu wenu.
 
Endelea kuvaa hizo piere cardin na van housen tuuu ila tu kumbuka KUVAA SILAHA ZOTE ZA MUNGU UPATE KUWEZA KUZIPINGA HILA ZA SHETANI. 😎
 
ndio muda mzuri wa wewe kuomba, ukiamka kuomba tu wanakimbia mbio za mwizi anayekaribia kukamatwa na hutawaona tena, wakikuta mtu anaomba hawawezi kufanya chochote

yaani wewe kila kitu kuomba tu!!!!! kama vile kipofu,matatizo hayatatuliwi kwa kuomba bana,ninkupambambana nayo.
 
Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi.
Maanda wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.

Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'

Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati.
Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!

Pls msaada,im serious aise!

nasikia ukiweka mkaa chini ya mto, au ukiwa na mifupa ya K-Moto, unawaona bila chenga.
 
hyo midudu ipo shehe,huku kwetu turiani mvomero kuna kijiji kinaitwa digalama,kuna mzee mmoja mtaaaaalam sana wa mambo hayo ana uwezo wa kukugeuza uwe jinsia tofauti hata ukiwa huko huko,anaweza kukusaidia
 
Huu ndio ushauri wa Ustaadh Elungata mfia dini ya Kiislam ambaye yuko radhi kubondwa BAN akibishana jinsi Allah alivyo na nguvu na utukufu. Katika hali ya mashaka, nguvu za Allah hazimsaidii Ustaadh Elungata, hapa ni SANGOMA ndio anapaswa kuabudiwa.

Sikiliza ndugu yangu, hakuna SANGOMA mwenye mamlaka zaidi ya Mungu. Hata wachawi wajipange kwa wingi zaidi ya vigae vya kuezekea nyumba, watatawanyika kama watawanyikavyo njiwa waliorushiwa jiwe mara litajwapo jina la Yesu kwa imani.
kwa taarifa yako mara ya mwisho kuingia kwenye nyumba yeyote ya ibada ni mwaka1994,na nilishaingia msikitini,kanisani kabla wewe hujajua hata kutambaa.kuhusu uchawi siamini kama upo maana sijawahi ona na sijawahi hata kuwaza kwenda kwa whichdoctor.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom