Utaalamu kumuona mchawi usiku!

Utaalamu kumuona mchawi usiku!

tetesi: hawapatani na kitu cha Arusha, choma hiyo kitu mkuu
 
Mkuu Gody Kumuomba mungu ni sawa na kuwaomba wabaya wangu hawa tukae meza moja kupata suruhu wakati mimi sitaki suluhu nao hawa 'mburula'mie nataka kujibu mapigo maana jana wamenifanyia sekeseke jingine.

Nia ya kujibu mapigo ninayo.
Sababu ya kujibu mapigo ninayo.
Isipokua uwezo wa kujibu mapigo ndio sina that's why nipo hapa kuomba msaada huo ili nijibu mapigo.
Haiwezekani wanilaze chini hawa mbulula 'nyambafu'sana!

jana nakumbuka utapoanzsha mapambano lzm utakuwa haujakwiva
najua mwisho wake ni mbaya
jana nilikupa Link 4 za kusoma juu ya Maombi,Imani,kuwa na uhakika wa Roho mtakatf na Majaribu,, Ungesoma hayo leo ungeleta feedback!
Pole sana kaka ingawa hujaniambia vizur kuwa wamekufnya nin?

sasa leo mkuu mandieta najua wewe ni kaka yangu nakupa Link hii jifunze kujibu mapigo kwa wachawi *HAPA*
lkn usisahau kuleta feedback
cc,
Mzizi Mkavu
 
Last edited by a moderator:
Yes Sir mandieta....ni maneno tuu ya mtaani, lakin tusahau ule usemi usemao "lisemwalo lipo...huenda waliosema walishafanyia research. Jaribu mkuu
Mkuu Vinci unamaanisha nichome ile kitu inaitwa Bob marley right?
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha....duh. Huu mlimbwata alionipa bibi sasa utanishinda. Manake napendwa na walozi sasa. Hivi lakini, ukienda kurudia kunivunjia nazi si ungemuuliza mganga wako? Meanwhile ungeweka katangazo ukutani TAFADHALI SOGEZA MEZA NA VITI KISTAARABU WENZENU TUMELALA MNATUSUMBUA.

Aseee. Nimepatikana mwaka huu!
Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi.
Maanda wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.

Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'

Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati.
Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!

Pls msaada,im serious aise!
 
Hahahaha....duh. Huu mlimbwata alionipa bibi sasa utanishinda. Manake napendwa na walozi sasa. Hivi lakini, ukienda kurudia kunivunjia nazi si ungemuuliza mganga wako? Meanwhile ungeweka katangazo ukutani TAFADHALI SOGEZA MEZA NA VITI KISTAARABU WENZENU TUMELALA MNATUSUMBUA.

Aseee. Nimepatikana mwaka huu!
Hahahahahahaaaaa!
Cc Paw
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha....duh. Huu mlimbwata alionipa bibi sasa utanishinda. Manake napendwa na walozi sasa. Hivi lakini, ukienda kurudia kunivunjia nazi si ungemuuliza mganga wako? Meanwhile ungeweka katangazo ukutani TAFADHALI SOGEZA MEZA NA VITI KISTAARABU WENZENU TUMELALA MNATUSUMBUA.

Aseee. Nimepatikana mwaka huu!
Hahahahahahaaaaa!
Cc Paw
 
Last edited by a moderator:
Chukua mavi ya mtu makavu,changanya na mkojo wako,weka na kete 2 za kuchezea bao, weka ktk brander saga mchanganyiko huo, pima kijiko kimoja kunywa mara 3 kwa siku,kwa muda wa siku 3 na nyingine paka usoni wakati wa kulala! utawaona tu!
jamani mbavu zangu zinaniuma yaani hii kali kwa kweli uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!
 
Hahahaha....duh. Huu mlimbwata alionipa bibi sasa utanishinda. Manake napendwa na walozi sasa. Hivi lakini, ukienda kurudia kunivunjia nazi si ungemuuliza mganga wako? Meanwhile ungeweka katangazo ukutani TAFADHALI SOGEZA MEZA NA VITI KISTAARABU WENZENU TUMELALA MNATUSUMBUA.

Aseee. Nimepatikana mwaka huu!

Ha! ha! ha! - duh! hii kali, nimekuta nacheka peke yangu!
 
Ngoja Katavi aje kukupa mwongozo kuhusu hayo makitu. Kwani kule kwao wana ujuzi tangu wakiwa wadogo kama wachina au wajapan wajifunzavyo karate tangu wakiwa wadogo.
 
Last edited by a moderator:
Ngoja Katavi aje kukupa mwongozo kuhusu hayo makitu. Kwani kule kwao wana ujuzi tangu wakiwa wadogo kama wachina au wajapan wajifunzavyo karate tangu wakiwa wadogo.
Hahahahaaaah!! Mkuu hiyo elimu haitolewi kirahisirahisi namna hiyo, kuna masharti yake sijui kama mtoa mada atayaweza.
 
Usiombe kuona aisee, mie nimezaliwa hivyo, naona wakati mwingine naamka usingizini nawakamata mkono, inasumbua, mie nasali Mungu aniondolee kama ni kipaji au mizimu inanilinda mie sijui,nasali na kulala na Bible baac nakuwa na amani
 
Nipe contact zake mkuu!

hana simu ila ukitaka kuwasiliana nae hata sasa hv taja KUMBIDUMBIHULUIDGWA mara 100,halafu uwe uchi wa mnyama huku ukiwa umeshika usinga mweusi na umenyoa kipara halafu uchanje chale nne kwenye paji la uso upande wa kushoto. Ukishafanya hivyo tu,mara paa,huyo anakutokea hapo hapo na utamweleza shida yako na atakusaidia mara moja,fanya hivyo mkuu,kila la heri,mwenzio mie hata sasa hv nikitaka kwenda kwa OBama kama nalia vile,nafanya shopping london,bata nalia Chicago,nikiwa club na kina rihanna kama kawa
 
Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi.
Maanda wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.

Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'

Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati.
Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!

Pls msaada,im serious aise!
MKUU mandieta Ukitaka kuwaona wachawi tafuta Matongotongo ya Mbwa mweusi ikifika usiku jipake

kwenye macho yako basi utawaona wachawi mpaka mashetani lakini ni hatari unaweza kumuona hata ndugu yako au bibi mzaa mama yako

au mtu wa karibu na wewe katika familia yenu ndio mchawi wako, shauri yako ukiweza fanya hivyo kisha uje hapa utupe feedback. Na

ukitaka kujikinga na wachawi wasiweze kuja hapo kwako fuga batamzinga wachawi hawataweza kuja tena hapo unapoishi.
 
kama humuamini MUNGU basi unamwamini shetani.....take care but alternatively kula kitimoto na mifupa yake iweke huko unakohisi wanafika au else tafuta maji ya baraka na wewe jitahidi sana kufanya maombi......CC: Aine

Weeewe ndoo humuamini mungu eti mungu amekataza kitimoto ww unakula wewe ndie unamuamini shetani
 
Last edited by a moderator:
mi nakushauri utakase chumba chako kuta zote4 kabla ya kulala I promiss kama unaimani utapata feedback soon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom