Utaalamu kumuona mchawi usiku!

Utaalamu kumuona mchawi usiku!

Hahahahahaha!
Anyway,kwanza vp utakuwepo taifa j,mosi?mie ntanunua kesho ticket ya kuingia taifa.
Alafu ntakaa pale karibu na Manji wetu.
Kwahiyo yeyote utakayemuona yuko upande wa kulia wa atakapokua amekaa Manji ujue ndio mimi!
Mungu akipenda. Tena huwezi amini siku hiyo nitaandika history ktk maixa yangu, kwani kwamara ya kwanza nitaishangilia simba AKA muhanga wa libolo. Vp ile ahadi yako utaiweka?
 
kama humuamini MUNGU basi unamwamini shetani.....take care but alternatively kula kitimoto na mifupa yake iweke huko unakohisi wanafika au else tafuta maji ya baraka na wewe jitahidi sana kufanya maombi......CC: Aine
 
Last edited by a moderator:
utakua unaishi Maeneo ya Mwananyamala tu sio bure maana duh kule nouma ndio kuliacha nikaihama bongo aiseee, yaani utadhani hapo kwangu ndio Bungeni......it was terrible asikwambie mtu na ni mama mwenye nyumba mwenyewe ndio Pilot but i managed to see them twice. usiku kunakuaga na maombi Praise Power (99.1) na au WAPO Radio (98.1) kwa Dar es Salaam mikoani sijui
 
Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi.
Maanda wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.

Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'

Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati.
Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!

Pls msaada,im serious aise!

Sina uhakika kama mimi ndio nimekosea jukwaa nililo fungua au mwenzangu kakosea sehemu husika ya mada yake au pia huenda yupo sahihi labda kapata tetesi kuna teknology ya kuona wachawi katika jukwaa hili. Simanishi nimedharau shida yako ila uhusiano wa jukwaaa mmmh!
 
Hata wachawi nao wana ka mungu kao, kwa hiyo nao wanamuomba mungu, tofauti pekee hawamuombi Mungu wetu wa Abraham na Isaka.
thnx mkuu kwa kunirekebisha lkn Mungu ninaye Muomba na ananipa na kunishindia vita na wates wangu hausishwi na haya
makafiri yasiyo kuwa na utu hata kidogo narudia kusema hata@MziziMkavu anayajua haya majitu
 
Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi.
Maanda wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.

Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'

Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati.
Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!

Pls msaada,im serious aise!
...unajua unachoomba..? kwakifupi wachawi wanaoperate katika roho (chafu) so wakiwa katika roho kuweza kumuona unahitaji kuwa katika roho,either kama yake,ie roho chafu au ufunuliwe na Mungu, na ni mara chache Mungu huwaonyesha watu wake maana hana interest nao sana. Nakushauri utafute msaada wa kiroho wa kuwatimua hao wachawi kuliko kutaka kujua sura zao,wanaweza kukudanganya na kukupa sura ya rafikiyako wa karibu ukaishia kumpa makavu asiyehusika...
 
If you want to use your faith against devils, you need to change completely. No loose sins, always pray day and night, no videngla, no fidodido. See, just easy. If you seek devil's powers to fight them, you just add problems. Never get caught in that trick.
 
utakua unaishi Maeneo ya Mwananyamala tu sio bure maana duh kule nouma ndio kuliacha nikaihama bongo aiseee, yaani utadhani hapo kwangu ndio Bungeni......it was terrible asikwambie mtu na ni mama mwenye nyumba mwenyewe ndio Pilot but i managed to see them twice. usiku kunakuaga na maombi Praise Power (99.1) na au WAPO Radio (98.1) kwa Dar es Salaam mikoani sijui
Mkuu hapo kwenye red,nahisi ndio zamu yangu sasa!
 
kama humuamini MUNGU basi unamwamini shetani.....take care but alternatively kula kitimoto na mifupa yake iweke huko unakohisi wanafika au else tafuta maji ya baraka na wewe jitahidi sana kufanya maombi......CC: Aine

hapo kwa red me huwa na kataa kama jeshi la mapepo liliingia kwa nguruwe waliokuwa wazima machungoni, Yesu alipo wakeme wamtoke yule mtu alikuwa pwani!
Sasa je ndo ije kuwa kwa pua na mifupa ya nguruwe lbda ndo kusema nguruwe wa sasa wachafu?
 
Last edited by a moderator:
Naona kama majibu yanatoka upande mmoja, upande wapili vipi hakunaga namna ya kupambana na hawa mabazazi?
 
Naona kama majibu yanatoka upande mmoja, upande wapili vipi hakunaga namna ya kupambana na hawa mabazazi?
Unamaanisha kwa waislam right?
Kuna ustadh kaniwekea PM nimtafute na kwamba atanisaidia bure(free of charge)
 
Wanamuombaga mungu bhana!
Yupi??

ndio maana tunasema imani yako haba ingawa hata mimi si mkamirifu
yaani umeshindwa kutofautisha
kati Muumba na miungu yao hiriz na waganga wao n.k
mh! Unanipa shaka mkuu!
 
Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi.
Maanda wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.

Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'

Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati.
Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!

Pls msaada,im serious aise!

mkuu,labda ni panya lol! Mchanga kwa kitanda labda wanachezea ceiling bodi..
 
mkuu,labda ni panya lol! Mchanga kwa kitanda labda wanachezea ceiling bodi..
Mkuu Sajy huyo mdudu hana uwezo ata wa kuinua kijiko,vipi apate nguvu ya kuvuta kiti cha mninga na kupiga ngoma kwa kutumia masufuria?
 
Last edited by a moderator:
Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi.
Maanda wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.

Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'

Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati.
Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!

Pls msaada,im serious aise!

Kula value ya kutosha ulale fofofo,walozi hao hawana madhara kwako,wanafurahi kukuona unavyotetemeka,ukiwa unalala fofofo hautawasikia na hutatetemeka kwa uoga so watakuacha na kuhamia kwa mwingine,mlozi mbaya wala hautamsikia unaumia tu,so just relax
 
Waovu na wasio waovu humwomba mungu ila Mol huwajibu wasio waovu!
Pia izo dawa zipo ila usije thubutu kutumia bse hao wachawi wakishajua unawaona kifuatacho lazima utakufa unajua WHY!
Hofu yao ni kuwa ukiwajua utaenda waambia na watu wengine na kuna uwezekano wakapigwa au kuangamia wao so kujiepusha na ilo lazima watakuua.Izo kesi nyingi sana Lyamba Lya MFipa.
Cha msingi wewe SALI na pia kuwa HIIRIZI ZA KIROHO kama tasbihi,maji ya baraka,scapulari,biblia etc Bila kusahau sala za apa na pale.Kabla ya hayo yotelazima uanze na TOBA kwanza ili uwe safi uendapo mbele za mungu.
 
hapo kwa red me huwa na kataa kama jeshi la mapepo liliingia kwa nguruwe waliokuwa wazima machungoni, Yesu alipo wakeme wamtoke yule mtu alikuwa pwani!
Sasa je ndo ije kuwa kwa pua na mifupa ya nguruwe lbda ndo kusema nguruwe wa sasa wachafu?
Mpwa wangu suikatae kabla hujajaribu bhana, kataa baada ya kujaribu ati, sawa Mpwa nenda kagonge kilo kama tatu hivi upate mifupa uweke halafu utaniambia. Bytheway unajua kwani Bwana Yesu aliwafurumishia kule? Do you know the philosophy behind? Ok hilo ni somo jingine
 
nimecheka mpaka basi..dawa ya wachawi ni maombi tu ..
 
Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi.
Maanda wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.

Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'

Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati.
Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!

Pls msaada,im serious aise!

Aisee pole sana kwa matatizo. Ikiwezekana uwe unavaa chupi ya chuma na kufuli lenye password. Vinginevyo, watakufanyia mchezo mbaya. Hatua waliyofikia sio nzuri hata kidogo.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom