Utaalamu kumuona mchawi usiku!

Utaalamu kumuona mchawi usiku!

Vaa kibuyu kiunoni halafu ulalie mwiko-kwishney......!!lakin wakikugundua kama umewaona...watakupofua macho

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
nimecheka mpaka nikatema chai nilokuwa nakunywa. lo!!
 
Maombi ya mwenye dhambi ni chukizo mbele za mungu!! uko safi kiroho na kimwili?
 
Wewe usiwajali kwanza fanya majaribio ya kucheleza kulala,lala saa nane za usiku,amka saa kumi na moja.na mda wote uwe unafanya mambo yako,kama kuchat .fungulia Tv sauti kubwa ili kufunika kelele za vitimbwi vyao.maana lengo lao usikie vituko vyao.
Jifanye hujui kinachoendelea wala usionyeshe hofu kwani ndo raha yao wanavyokuenjoy.
Ukiona wamekuzimia Tv au wamekuzaba kibao ujue kumbe wako serious kimbia kwa sangoma haraka sana.
 
Mwaga damu ya Yesu hapo wakija wanaona giza wanarudi
 
Maombi ya mwenye dhambi ni chukizo mbele za mungu!! uko safi kiroho na kimwili?
Yes mkuu niko safi,tena kimwili niko safi zaidi,tena zaidi maana mavazi yangu ni suit na mashati ya italia!!
 
Wewe usiwajali kwanza fanya majaribio ya kucheleza kulala,lala saa nane za usiku,amka saa kumi na moja.na mda wote uwe unafanya mambo yako,kama kuchat .fungulia Tv sauti kubwa ili kufunika kelele za vitimbwi vyao.maana lengo lao usikie vituko vyao.
Jifanye hujui kinachoendelea wala usionyeshe hofu kwani ndo raha yao wanavyokuenjoy.
Ukiona wamekuzimia Tv auwamekuzaba kibao ujue kumbe wako serious kimbia kwa sangoma haraka sana.

Mkuu hapo kwenye red baada ya tendo hilo patakalika kweli?
 
Mpwa wangu suikatae kabla hujajaribu bhana, kataa baada ya kujaribu ati, sawa Mpwa nenda kagonge kilo kama tatu hivi upate mifupa uweke halafu utaniambia. Bytheway unajua kwani Bwana Yesu aliwafurumishia kule? Do you know the philosophy behind? Ok hilo ni somo jingine

Duh Mpwa kitimoto a.k.a Noah old model kilo 3 hilo tumbo ni chumba na sebule nini?
Af tumbo likigoma kumeng'enya na kutapika likagoma unalud Jf dr
sjaenda toilet wiki au ukitoa shuziment je??

anyway hapo kwenye red sio mbaya ukiweka falsafa yako!
 
huna hata Mungu

Mkuu Smile nshamuomba mungu lakini ndio kwanza wanazidi.

Lakini just remember kwamba mungu huyo huyo hata wachawi wanamuomba.

Sasa bora mimi nitumie njia nyingine!

nimecheka saaana jamani yaani you have made ma day.
Ndg you only need to pray in Jesus name, omba kabla ya kulala na unaweza pia kuamka muda wa saa nane usiku au saa tisa usiku na kuombna. Aidha, funga na kuomba na kukemea hali hiyo. Na ukiomba mwambie Mungu akuonyeshe hao maadui, unaweza ukawaona hata kwa ishara tu, wanaweza kuja kwako na kujisemesha visivyoeleweka hasa kama hawana kawaida ya kuja kwako, huyo ndiye Mungu ajibuye maombi

Unaamini dini gani, kama ni Mkrist basi mwalike Yesu Kristo

Mkuu Aine huo muda unaotaka niamke itakua ngumu,maana ndio muda wao wa kucheza 'sebene' ndani kwangu!

Hapo hakuna sayansi ya kawaida itatia maguu, ni anga nyingine kabisa hiyo.
BTW solution pekee ambayo haitakuwa na madhara kwako na ya uhakika ni kuliita Jina la Yesu kama walivyosema hapo juu. problem ni kuwa si kila mtu ana mamlaka ya kulitumia hili jina legally. Hiyo ndiyo sababu sio kila mtu ataona matokeo yake kwa sababu atakuwa analitumia illegally. Nitakupa mifano ya verses hapo chini.

Ila tu nikikumbuka siku nimepambana na mganga wa kienyeji akatoka nduki hajarudia vibuyu vyake mpaka leo huwa nacheka sana. Hili Jina lisikie tu!


Angalia legalities za kutumia Jina hili:


Yesu said:
Ndipo wale sabini waliporudi kwa furaha, wakisema, Bwana, hata pepo wanatutii kwa jina lako. Akawaambia, Nilimwona Shetani, akianguka kutoka mbinguni kama umeme. Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru. Lakini, msifurahi kwa vile pepo wanavyowatii; bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.
- Luke 10:17-20


Ulichojaribu kufanya ni kama hawa wandugu hapa chini

Bible said:
Baadhi ya Wayahudi wenye kutanga-tanga, nao ni wapunga pepo, wakajaribu kutaja jina la Bwana Yesu juu yao waliopagawa na pepo wachafu, wakisema, Nawaapisha kwa Yesu, yule anayehubiriwa na Paulo. Walikuwako wana saba wa mtu mmoja Skewa, Myahudi, kuhani mkuu, waliofanya hivyo. Yule pepo mchafu akawajibu, akawaambia, Yesu namjua na Paulo namfahamu, lakini ninyi ni nani? Na yule mtu aliyepagawa na pepo mchafu akawarukia wawili, akawaweza, akawashinda, hata wakatoka mbio katika nyumba ile hali wa uchi na kujeruhiwa. Habari hii ikajulikana na Wayahudi wote na Wayunani waliokaa Efeso, hofu ikawaingia wote, na jina la Bwana Yesu likatukuzwa.

Kwa hiyo bila kuwa mwanafunzi wa Yesu hiyo mamlaka siyo yako ni kama usimame barabarani utumie mamlaka ya traffic police kusimamisha magari ilhali wanajua wewe sio trafiki wala polisi. Sikushauri kwenda kwa waganga, kuna mawili, au uibiwe kitapeli au uongezewe madudu zaidi ambayo siku za usoni yatakuumiza zaidi.

Aidha uende kwa Yesu au ubakie mpole tu uvumilie siku wakichoka watakuacha! Ila kwenda kwa shetani ili umwone shetani mh! Usijedanganywa ni mkeo au mama yako "anakuchezea" halafu wakati ndoa au udugu unakufa shetani amekaa pembeni anachekelea.

Its beyond the realm of Technology! Kama utahitaji ya ziada unitafute chemba!
 
Yes mkuu niko safi,tena kimwili niko safi zaidi,tena zaidi maana mavazi yangu ni suit na mashati ya italia!!

kwa majibu yako unaonekena hauko sriaz na wanao kushauri.
Mwalm anapojitutumua kumfundsha mtoto aelewe kwa faida na maisha yake af analeta
mchezo kuwa akifel atapewa kaz
na rafk wa baba yake
mwalmu huishia kumwangalia tu!
 
Hapo hakuna sayansi ya kawaida itatia maguu, ni anga nyingine kabisa hiyo.
BTW solution pekee ambayo haitakuwa na madhara kwako na ya uhakika ni kuliita Jina la Yesu kama walivyosema hapo juu. problem ni kuwa si kila mtu ana mamlaka ya kulitumia hili jina legally. Hiyo ndiyo sababu sio kila mtu ataona matokeo yake kwa sababu atakuwa analitumia illegally. Nitakupa mifano ya verses hapo chini.

Ila tu nikikumbuka siku nimepambana na mganga wa kienyeji akatoka nduki hajarudia vibuyu vyake mpaka leo huwa nacheka sana. Hili Jina lisikie tu!


Angalia legalities za kutumia Jina hili:


- Luke 10:17-20


Ulichojaribu kufanya ni kama hawa wandugu hapa chini



Kwa hiyo bila kuwa mwanafunzi wa Yesu hiyo mamlaka siyo yako ni kama usimame barabarani utumie mamlaka ya traffic police kusimamisha magari ilhali wanajua wewe sio trafiki wala polisi. Sikushauri kwenda kwa waganga, kuna mawili, au uibiwe kitapeli au uongezewe madudu zaidi ambayo siku za usoni yatakuumiza zaidi.

Aidha uende kwa Yesu au ubakie mpole tu uvumilie siku wakichoka watakuacha! Ila kwenda kwa shetani ili umwone shetani mh! Usijedanganywa ni mkeo au mama yako "anakuchezea" halafu wakati ndoa au udugu unakufa shetani amekaa pembeni anachekelea.

Its beyond the realm of Technology! Kama utahitaji ya ziada unitafute chemba!
Ahsante mkuu!
 
Basi yule mama akasema kumwambia yesu,bwana!!sema neno tuu mgonjwa wangu huko nyumbani atapona.Na Yesu aliposema ewe mgonjwa pona na kweli mama yule aliporudi nyumbani alimkuta mgonjwa wake kapona.

Ahsante mkuu kwa ujumbe huu ulionielekeza na kuniomba niuweke hapa juu.
 
Mkuu Smile nshamuomba mungu lakini ndio kwanza wanazidi.

Lakini just remember kwamba mungu huyo huyo hata wachawi wanamuomba.

Sasa bora mimi nitumie njia nyingine!

Akili ikiwa ndogo, hata maarifa ya uongeaji huwa duni. Kama unaamini wachawi wanamuomba Mungu ili wakuwangie, huyo mtaalam unayetaka tukuambie uende kwake ni zaidi ya MUNGU?

Kila la heri anyway, lkn nafikiri kuomba kwako hakufanikiwi kwa the way umemgrade Mungu that low.
 
Hapana ndugu anahitaji msaada kaona abishe hodi kwa nguli wa Teknolojia!
Una cha kusema?

au kama anayo ile miwani ya HD ya kuangalilia muv sio mbaya!!
 
Wewe usiwajali kwanza fanya majaribio ya kucheleza kulala,lala saa nane za usiku,amka saa kumi na moja.na mda wote uwe unafanya mambo yako,kama kuchat .fungulia Tv sauti kubwa ili kufunika kelele za vitimbwi vyao.maana lengo lao usikie vituko vyao.
Jifanye hujui kinachoendelea wala usionyeshe hofu kwani ndo raha yao wanavyokuenjoy.
Ukiona wamekuzimia Tv au wamekuzaba kibao ujue kumbe wako serious kimbia kwa sangoma haraka sana.

Huu ndio ushauri wa Ustaadh Elungata mfia dini ya Kiislam ambaye yuko radhi kubondwa BAN akibishana jinsi Allah alivyo na nguvu na utukufu. Katika hali ya mashaka, nguvu za Allah hazimsaidii Ustaadh Elungata, hapa ni SANGOMA ndio anapaswa kuabudiwa.

Sikiliza ndugu yangu, hakuna SANGOMA mwenye mamlaka zaidi ya Mungu. Hata wachawi wajipange kwa wingi zaidi ya vigae vya kuezekea nyumba, watatawanyika kama watawanyikavyo njiwa waliorushiwa jiwe mara litajwapo jina la Yesu kwa imani.
 
Last edited by a moderator:
Akili ikiwa ndogo, hata maarifa ya uongeaji huwa duni. Kama unaamini wachawi wanamuomba Mungu ili wakuwangie, huyo mtaalam unayetaka tukuambie uende kwake ni zaidi ya MUNGU?

Kila la heri anyway, lkn nafikiri kuomba kwako hakufanikiwi kwa the way umemgrade Mungu that low.


watu kama wewe huwa mnaniboa ulikuwa wapi na makavu kama haya mazuri mazuri!
Aisee Mwana Mtoka Pabaya umenifurahisha sana mkuu!!
Well said bg up!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom