Utaalamu kumuona mchawi usiku!

Utaalamu kumuona mchawi usiku!

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2012
Posts
7,113
Reaction score
946
Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi. Maana wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.

Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'

Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati. Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!

Pls msaada, im serious aise!
 
nimecheka saaana jamani yaani you have made ma day.
Ndg you only need to pray in Jesus name, omba kabla ya kulala na unaweza pia kuamka muda wa saa nane usiku au saa tisa usiku na kuombna. Aidha, funga na kuomba na kukemea hali hiyo. Na ukiomba mwambie Mungu akuonyeshe hao maadui, unaweza ukawaona hata kwa ishara tu, wanaweza kuja kwako na kujisemesha visivyoeleweka hasa kama hawana kawaida ya kuja kwako, huyo ndiye Mungu ajibuye maombi
 
huna hata Mungu

Mkuu Smile nshamuomba mungu lakini ndio kwanza wanazidi.

Lakini just remember kwamba mungu huyo huyo hata wachawi wanamuomba.

Sasa bora mimi nitumie njia nyingine!
 
Last edited by a moderator:
Unaamini dini gani, kama ni Mkrist basi mwalike Yesu Kristo
 
Ungesema una taka mchawi wa kupunguza idadi ya magoli yatakayo fungwa na kazimoto ninge kutajia
 
Hapa kuna opportunity ya madaktari bingwa wa macho wakishirikiana na masangoma kujipatia Phds kwa kutafiti/kutengeneza miwani maalum ya kuonea wachawi.
 
nimecheka saaana jamani yaani you have made ma day.
Ndg you only need to pray in Jesus name, omba kabla ya kulala na unaweza pia kuamka muda wa saa nane usiku au saa tisa usiku na kuombna. Aidha, funga na kuomba na kukemea hali hiyo. Na ukiomba mwambie Mungu akuonyeshe hao maadui, unaweza ukawaona hata kwa ishara tu, wanaweza kuja kwako na kujisemesha visivyoeleweka hasa kama hawana kawaida ya kuja kwako, huyo ndiye Mungu ajibuye maombi

Mkuu Aine huo muda unaotaka niamke itakua ngumu,maana ndio muda wao wa kucheza 'sebene' ndani kwangu!
 
Last edited by a moderator:
nimecheka saaana jamani yaani you have made ma day.
Ndg you only need to pray in Jesus name, omba kabla ya kulala na unaweza pia kuamka muda wa saa nane usiku au saa tisa usiku na kuombna. Aidha, funga na kuomba na kukemea hali hiyo. Na ukiomba mwambie Mungu akuonyeshe hao maadui, unaweza ukawaona hata kwa ishara tu, wanaweza kuja kwako na kujisemesha visivyoeleweka hasa kama hawana kawaida ya kuja kwako, huyo ndiye Mungu ajibuye maombi

Mkuu Aine huo muda unaotaka niamke itakua ngumu,maana ndio muda wao wa kucheza 'sebene' ndani kwangu!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Aine huo muda unaotaka niamke itakua ngumu,maana ndio muda wao wa kucheza 'sebene' ndani kwangu!
ndio muda mzuri wa wewe kuomba, ukiamka kuomba tu wanakimbia mbio za mwizi anayekaribia kukamatwa na hutawaona tena, wakikuta mtu anaomba hawawezi kufanya chochote
 
Mkuu Smile nshamuomba mungu lakini ndio kwanza wanazidi.

Lakini just remember kwamba mungu huyo huyo hata wachawi wanamuomba.

Sasa bora mimi nitumie njia nyingine!

aliyekudanganya wachawi wanamuomba Mungu ni nan?
Ulishawahi kusikia Mungu katenda ubaya? Lkn hayo wachawi wanayokutendea ni mema au huwa wanatenda mema?? Kusema wachaw wanamuomba Mungu au kwenda kanisani ni kukuzugisha na kuficha maovu yao(kuvaa ngozi ya kondoo)
mwenye ufahamu na aelewe mf huu: ulishawah skia polc mpelelezi anakaa kijiweni,bar na anakunywa hata kuvuta anavuta
lkn akishakamata mtuhumiwa wake utasema na yeye ni muhuni/mlevi coz alikaa ktk sehemu hzo 2 hapo juu??
 
Last edited by a moderator:
huna imani na wamegundua imani yako ni haba na ndiyo wanakusumbua....! kama unataka kumwomba mungu anza na toba maana wenda njia zako si safi roho bwana anaogaopa sana uchafu, fanya toba na ukasali kwa imani!
Mkuu Smile nshamuomba mungu lakini ndio kwanza wanazidi.

Lakini just remember kwamba mungu huyo huyo hata wachawi wanamuomba.

Sasa bora mimi nitumie njia nyingine!
 
1.pray kabla yakulala(make sure uwe unamuamini huyo mungu wako saana)..2.nunua biblia..
 
Omba kwa maarifa usiombe ili mradi. Mwombe mungu akupe macho ya rohoni uweze kuwaona hao wachawi. (Tena ipokeeni chepeo ya wokovu na upanga wa roho ambao ni neno la mungu) 🙂
 
Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi.
Maanda wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.

Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'

Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati.
Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!

Pls msaada,im serious aise!
hahahahahahahahaahahahh you have made my day ,aisee ngoja nikupe namba ya jamaa mmja atakusaidia kuwanasa hhhaahahahah mwombeni mungu sana na mwageni maji ya baraka ndani hutaona kitu kamwe
 
aliyekudanganya wachawi wanamuomba Mungu ni nan?
Ulishawahi kusikia Mungu katenda ubaya? Lkn hayo wachawi wanayokutendea ni mema au huwa wanatenda mema?? Kusema wachaw wanamuomba Mungu au kwenda kanisani ni kukuzugisha na kuficha maovu yao(kuvaa ngozi ya kondoo)
mwenye ufahamu na aelewe mf huu: ulishawah skia polc mpelelezi anakaa kijiweni,bar na anakunywa hata kuvuta anavuta
lkn akishakamata mtuhumiwa wake utasema na yeye ni muhuni/mlevi coz alikaa ktk sehemu hzo 2 hapo juu??
Wanamuombaga mungu bhana!
 
hahahahahahahahaahahahh you have made my day ,aisee ngoja nikupe namba ya jamaa mmja atakusaidia kuwanasa hhhaahahahah mwombeni mungu sana na mwageni maji ya baraka ndani hutaona kitu kamwe
Ahsante mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom