Utaalamu kumuona mchawi usiku!

Utaalamu kumuona mchawi usiku!

Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi.
Maanda wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.

Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'

Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati. Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!

Pls msaada,im serious aise!
:biggrin1:
 
Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi.
Maanda wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.

Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'

Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati.
Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!

Pls msaada,im serious aise!

sayansi tunayojadili kwny jukwaa hili ni sayansi ya vitu ambavyo vinashikika, vinaonekana au kunusika, ila sayansi yako ni ya kiimani kidogo. ni vigumu kuprove uchawi kisayamsi. ndo maana serikali haiamini uchawi
 
Nashangaa ata ugali/wali/dinner tunayokula siku hizi eti hautosho.Yani mimi na na familia yangu tuko 7 ambapo kitaalam inatakiwa tule kipimo cha wastani 2kgs,sasa imekua ni tabu imebidi tuongezee 2kgs nyingine ili angalau usikie kauzito tumboni.Kumbe nimekendua tunakula na 'misukule' lol!
 
Hata wachawi nao wana ka mungu kao, kwa hiyo nao wanamuomba mungu, tofauti pekee hawamuombi Mungu wetu wa Abraham na Isaka.
aliyekudanganya wachawi wanamuomba Mungu ni nan?
Ulishawahi kusikia Mungu katenda ubaya? Lkn hayo wachawi wanayokutendea ni mema au huwa wanatenda mema?? Kusema wachaw wanamuomba Mungu au kwenda kanisani ni kukuzugisha na kuficha maovu yao(kuvaa ngozi ya kondoo)
mwenye ufahamu na aelewe mf huu: ulishawah skia polc mpelelezi anakaa kijiweni,bar na anakunywa hata kuvuta anavuta
lkn akishakamata mtuhumiwa wake utasema na yeye ni muhuni/mlevi coz alikaa ktk sehemu hzo 2 hapo juu??
 
Mkuu Kitoabu mie niko serious bhana.

Unafikiri mie nna masihara kama yako ya ile dawa ya kukuza uume?
Acha hizo bhana!
poa mkuu samahani sana.
Ila dawa yake ni ww kulala uchi huku nyandonga imesimama
 
Last edited by a moderator:
Dogo usikonde wala nini tuwasiliane. Hiyo ni kazi ndogo sana. Wala sihitaji hera yako.
 
poa mkuu samahani sana.
Ila dawa yake ni ww kulala uchi huku nyandonga imesimama
Hahahahahaha!
Anyway,kwanza vp utakuwepo taifa j,mosi?mie ntanunua kesho ticket ya kuingia taifa.
Alafu ntakaa pale karibu na Manji wetu.
Kwahiyo yeyote utakayemuona yuko upande wa kulia wa atakapokua amekaa Manji ujue ndio mimi!
 
Hahahaha...hivi ile BAN ya wakati ule ni nani alikusababishia mkuu, ile ya kule Jukwaa letu la Michezo
Dah!
Lazima watakua watu wa Simba ndo walimsababishia.

Mie mwenyewe nilikulaga BAN la namna hiyo,kisa eti Libolo limemuingia balabala! msomari.
 
Dah!
Lazima watakua watu wa Simba ndo walimsababishia.

Mie mwenyewe nilikulaga BAN la namna hiyo,kisa eti Libolo limemuingia balabala! msomari.

Nina wasiwasi uliandika limemuingia barabara Malkia wa Nyuki...hahahahah
 
Hakika ukiwa na Imani utawaona tuu.sasa wewe leo unapolala mwombe Mungu kwa Jina la Yesu mweleze unachohitaji kisha fungua biblia yako zaburi ya 27 isome na kulisimamia neno kisha iache wazi utakuja kutupa jibu.
 
hili huwa linatokea sana kabla kuna maswali kadhaa je? Nyumba yako iko sehemu gani? Iko jiran na nn? Mti, Mto, Mawe etc Before kwenye hicho kiwanja kulikuwa na na nini? Labda makaburi n.k, je kiwanja au nyumba ilikuwa na mgogoro?? Wameshawahi kuwazuru? ukisema hayo tunaweza kukusaidia, coz samtym wewe ndo unaweza ukawa umekaa kwenye eneo ambalo ni njia au meeting point yao... Dawa za kuona wachawi zipo ila usiombe huwez himili utaona vitu vya ajabu hadi hutakuwa ukitoka nje, mfano sokoni hutataka kwenda kabisa.. If ur serious jibu hayo maswali nkwambie cha kufanya
 
hili huwa linatokea sana kabla kuna maswali kadhaa je? Nyumba yako iko sehemu gani? Iko jiran na nn? Mti, Mto, Mawe etc Before kwenye hicho kiwanja kulikuwa na na nini? Labda makaburi n.k, je kiwanja au nyumba ilikuwa na mgogoro?? Wameshawahi kuwazuru? ukisema hayo tunaweza kukusaidia, coz samtym wewe ndo unaweza ukawa umekaa kwenye eneo ambalo ni njia au meeting point yao... Dawa za kuona wachawi zipo ila usiombe huwez himili utaona vitu vya ajabu hadi hutakuwa ukitoka nje, mfano sokoni hutataka kwenda kabisa.. If ur serious jibu hayo maswali nkwambie cha kufanya
Mkuu nyumba yangu ipo jirani na muembe mkubwa sana,na mimi hapa kwangu pia kulikua na muembe mkubwa sana but nimeukata kama miezi 3 iliyopita maana ulikua unaharibu bati la nyumba.......so ukabaki muembe wa jirani yangu ambao ni mkubwa sana pia na upo kama mita5 hivi kutoka kwenye fance ya nyumba ninayoishi.

Nyumba haina mgogoro wowote ingawa mimi ni mpangaji na mwenye nyumba ni kama kaniamini na wala huwa hafiki kwangu,mara ya mwisho mwenye nyumba kuja kwangu ni mwaka 2010 lakini tangu hapo hajaja na pesa ya rent huwa nampelekea kila baada ya miezi6.

Please naomba unisaidie hiyo dawa ya kuwaona wachawi kama una uwezo wa kunisaidia,maana wananitesa sana na wamesababisha mpaka bajeti yangu ya chakula imeongezeka serious.
 
hahahahahaah sina mbavu mie.nenda kwenye maombi ww acha kutapatapa kijana.piga goti saana
 
Hahahaha...hivi ile BAN ya wakati ule ni nani alikusababishia mkuu, ile ya kule Jukwaa letu la Michezo

Nina wasiwasi na hawa wawili Mandieta au Wabhejasana. Au mwenye kiti una husika? mbona swali kama limekaa ndio sio vilee?
 
Nimekumbuka kwa kuwa ile thread nilikaa nayo mbali mno, siku ile kulikuwa na kila dalili mods wanatafuta watu wa kuwatia lupango...

Nina wasiwasi na hawa wawili Mandieta au Wabhejasana. Au mwenye kiti una husika? mbona swali kama limekaa ndio sio vilee?
 
Nina wasiwasi na hawa wawili Mandieta au Wabhejasana. Au mwenye kiti una husika? mbona swali kama limekaa ndio sio vilee?
Mkuu Kitoabu huo wasiwasi wako tuu.
By the way ebu nipe kwa usahihi ile fomla ya kukuza'libolo'
 
Last edited by a moderator:
Ndg hili ni swala la KIROHO unatakiwa KUWA NA UHAKIKA wa Maombi yako kwa Mungu na ukiruhusu kwenda kwa waganga umeruhusu kurogeka maana utaanza mapambano ambayo hutayaweza coz we utakuwa mbichi wao wamekomaa muulize MziziMkavu anajua haya kwa mujibu wa simulizi anazoziwekaga kule MMU hazitofautian na zako walifanya akama uwazavyo lkn end of th day walimkumbuka Mungu!
So far acha kuwa na shaka shaka pale unapomuomba Mungu ktk maisha majaribu yapo tu lkn wewe ndo unatakiwa kusimama imara tu! Yakob1 nimesahau kidogo mstari wa gani lkn 'majarbu hayana budi kutokea lkn chunga sana usiwe chanzo cha hayo majari......' ukisoma sura nzima utaelewa
lkn inaonekana Imani yako kwa Muumba wako imeshuka sana mpaka kufikia kusema kuwa na hao wachaw wanamwomba Mungu
fanya sana Maombi pasipo shaka yoyote na Mungu atakushindia
mm namalizia kwa kusema ''NEEMA YA BWANA WETU YESU KRISTO NA IWE PAMOJA NANYI NYOTE'' WARUMI 16:24
link hizo zote 4 utajifunza na kupa kitu cha kukusaidia na utaleta feedback !
 
Last edited by a moderator:
hahahahs,MAOMBI TU NDO KIBOKO YAO,wataungua kweli jaribu kuomba kwa ROHO na KWELI,uwepo wa damu ya YESU mwana wa MUNGU utawaunguza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom