Nipe contact zake mkuu!hyo midudu ipo shehe,huku kwetu turiani mvomero kuna kijiji kinaitwa digalama,kuna mzee mmoja mtaaaaalam sana wa mambo hayo ana uwezo wa kukugeuza uwe jinsia tofauti hata ukiwa huko huko,anaweza kukusaidia
yaani wewe kila kitu kuomba tu!!!!! kama vile kipofu,matatizo hayatatuliwi kwa kuomba bana,ninkupambambana nayo.
Nipe contact zake mkuu!
Mkuu Gody Kumuomba mungu ni sawa na kuwaomba wabaya wangu hawa tukae meza moja kupata suruhu wakati mimi sitaki suluhu nao hawa 'mburula'mie nataka kujibu mapigo maana jana wamenifanyia sekeseke jingine.we jamaa hata kama kusoma huji hata picha mkuu?
Na maana hata kama demcrcy hujui lakin huangalii uzito wa ushauri wa watu!
WENGI WAPE! Wengi wamekushaur kuwa mrudie Mungu na uombe sana lkn wewe bado unafir hao waganga
leo nakuhakikishia kuwa ukienda huko unapotaka kwenda utapata matatzo zaid ya hayo ulionayo!
am out!!
vuta bangi na Kula kmoto...
Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi.
Maanda wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.
Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'
Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati.
Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!
Pls msaada,im serious aise!
ukiona hayajakutokea shukur mungu kakuepusha na matatizo mtu akiomba msaada mpe ushauri na si kumuona mjinga mpuuzi jaribu kumuelekeza ili aelewe mungu ametuumba tuna uelewa tofauti tujaribu kutumia lugha nzuri. Ndugu yangu ukimuomba mungu kwa imani yako basi utamuona huyo mchawi kwa sisi waislam tunaambiwa kusema bismillah mara 20 kabla ya kulala ni kinga kubwa sana
Chukua mavi ya mtu makavu,changanya na mkojo wako,weka na kete 2 za kuchezea bao, weka ktk brander saga mchanganyiko huo, pima kijiko kimoja kunywa mara 3 kwa siku,kwa muda wa siku 3 na nyingine paka usoni wakati wa kulala! utawaona tu!
Hapo kwenye red.......Hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa!Wakuu naombeni mwenye kufahamu wapi kuna mtaalamu mwenye kua na dawa ya kuwaona wachawi.
Maanda wameifanya nyumba yangu ndio meeting station yao.
Nataka niwajue ni akina nani kisha nikawape makavu laivu 'nyambafu'
Juzi usiku walikua wanashindana kuburuza viti vya dining,jana wakawa wanachezea funguo za kabati.
Kuna siku waliwahi kumwaga mchanga kitandani!
Pls msaada,im serious aise!
Nakushauri ni bora utafute nao suruhu,vinginevyo utakua kwenye hatari kubwa zaidi mkuu mandietaMkuu Gody Kumuomba mungu ni sawa na kuwaomba wabaya wangu hawa tukae meza moja kupata suruhu wakati mimi sitaki suluhu nao hawa 'mburula'mie nataka kujibu mapigo maana jana wamenifanyia sekeseke jingine.
Nia ya kujibu mapigo ninayo.
Sababu ya kujibu mapigo ninayo.
Isipokua uwezo wa kujibu mapigo ndio sina that's why nipo hapa kuomba msaada huo ili nijibu mapigo.
Haiwezekani wanilaze chini hawa mbulula 'nyambafu'sana!