Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 1,945
- 1,768
Kabisa mkuuUkiona afisa kipenyo yupo humu jukwaani uyo ni boss kajiendeleza kielemu baada ya kutumwa tumwa sana akamua arudie paper waliopo mtaani uko hata kuwasha computer hawajui sijui wanawatoa wapi yani dunia ipo nyuma yao zaidi ni kutumwa tumwa tu
