Nge1
Member
- Nov 5, 2018
- 40
- 43
Kama Uingereza tuAu tuifanye nchi ya kifalme kabisa
Kama Uingereza tuAu tuifanye nchi ya kifalme kabisa
Kuna vitu vinafanywa usiri wakati hajikutakiwa kuwa vya siri, na usiri huu unaofanywa unakuta ni terget tu ya kuweka watu wao wanaowataka, na ndo maana tunapata watu wasio na weledi na wenye IQ ndogo sana kiutendaji yawezekana ni mkakati tu wa mtu. Kinachotakiwa watangaze nafasi za kazi watu waombe lakini mchakato wa kuwachukua waliokidhi vigezo ndo ufanyike kwa siri.
Ni weupe kwakeli hawajui vitu vingi vya dunia ya leo..UKuda tu kaka wala hakuna jipya , achana nao mzee bora tuongelee mfumuko wa bei . Kiufupi hawana inshu wako overrated sana yaani
Rafiki angu mmoja alianza kama Uvccm mpaka leo nae yupo huko. Hua nampima vitu vidogovidogo tu vya uelewa ila ni mweupe. Uchawa na Ccm ni janga la taifa.
Hajafu ili kuchukua lazima wakule kwanza.Ndo maana hata ukiwaamgalia watu wao,macho yanaelekea chini.Hebu nwangalie Mchengerwa na Shaka.Broo nimekuambia achana nao hao kaka hawana inshu tufanye yetu na kila mmoja wao muulize kwenu wapi utasikia 'Dar 'yaan ata kama anakidongo cha kasulu miguuni
Asee!Hajafu ili kuchukua lazima wakule kwanza.Ndo maana hata ukiwaamgalia watu wao,macho yanaelekea chini.Hebu nwangalie Mchengerwa na Shaka.
Km ilivyo kwa Upadre na Usista connection mkuu huna connection hupati hio nafasi kwenye hizo nafasi, connection kuanzia juu mpaka chini hauingii km unaingia kwenye dampo fulani hivi kuna watu wanakusolola tangu ukiwa yanki wanachukua data zako from the very beginning of your life, uonekane kweli kazi utaiweza na kuna familia hua zinalengwa sio kila familia unaweza kutoa hao watu, kibongo bongo Usiri ndio jambo la muhimu km huwezi kutunza Siri huwezi kua Padri huwezi kua Sista huwezi kua Usalama wa Taifa,Kwanini panakuwa na Usiri katika ajira ndani ya Usalama wa Taifa?
Nyerere aliwatafuta mpaka chooni, ukada ni sawa lakini cream bora ipo ndani ndani huko.Mfano januari ni tiss we unaona ni sawa.Mfano tu.Huoni kama kada unakua unamjua kuliko kuokoteza mtu mtaani. Teknolojia yetu ya kuwamonitor watu iko chini compared to hao CIA. Wakiruhusu watu kuomba kazi na kufanyiwa usaili etc huoni kama usalama wa taifa utaweza kuwa compromised na watu wasio na nia njema. Bora shetani unaemjua kuliko malaika usiemjua. Anaweza akapandikizwa mtu huko akaja kuwa na influence ya ajabu akavuruga.
Hadi leo marekani wanapambana na wasaliti ndani ya system. Kama hufatilii historia basi angalia angalia hata movie zao tu. Acha waweke hao makada na uvccm sijui watu wanaowajua kwasababu wanawajua uwezo wao, vetting inakua imefanyika haswa. Wanajua hadi kijiji ulichotoka. Cha msingi si nchi iko salama? Mi na wewe tuendelee kubanana kwenye kujitafuta kimaendeleo mengine tusitafute lawama.
TISS ambao nimebahatika kuwa nao karibu, ni mavi matupu kichwani.. kama kwenye bongo zao kuna mavi badala ya brain.. kwa ufupi vyombo vyetu vya ulinzi vina vichwa maji wengi sana hata Polisi, JWTZ hali ni ilele..Kuna vitu vinafanywa usiri wakati hajikutakiwa kuwa vya siri, na usiri huu unaofanywa unakuta ni terget tu ya kuweka watu wao wanaowataka, na ndo maana tunapata watu wasio na weledi na wenye IQ ndogo sana kiutendaji yawezekana ni mkakati tu wa mtu. Kinachotakiwa watangaze nafasi za kazi watu waombe lakini mchakato wa kuwachukua waliokidhi vigezo ndo ufanyike kwa siri.
Mi January akiwa Tiss ananihusu nini sasa. Wakati kalelewa humo humo kakulia humo humo. Nyerere aliwatafuta chooni kwa kupitia nani? Aliingia mwenyewe kwenye mashimo si kuna watu wanafanya kazi hiyo. Sasa wewe kila wakija kukufanyia vetting unaongozana na wavuta shisha, mara uko na makundi ya vichaa kidimbwi huko. Nani akuchukue? Mi naona acha waweke watu wanaoona wanafaa au kuwajua kwasababu kuingiza mamluki ni hasara kwa taifa tena vibaya sana.Nyerere aliwatafuta mpaka chooni, ukada ni sawa lakini cream bora ipo ndani ndani huko.Mfano januari ni tiss we unaona ni sawa.Mfano tu.
Mkuu kuna ndugu yangu aliwahi fanyiwa vetting akateuliwa, yaliyotokea yananifanya niione tz kama kitobo kilichooza.Hao ambao mnawajua huko mitaani zilitangazwa wakapata?
Visivyotakiwa kuigwa mnaigaKila lifanywalo na wakoloni LAZIMA tuliige...
Hili nalo mkalitazame...
Au nasema uongo ndugu zangu?


ila vyakuiga mnavipiga vita
. Tanzania nchi yangu aisee, hata wananchi wake bado hawajitakii mema

Mkuu hao welediupatikanaji wake hautumiki siku hizi.Kwanini usikubali kwamba kuna taratibu zinapindishwa.Kwani tukisema nyerere unakuwa hujaelewa nyerere alikuwa raisi hili nalo tukufafanulie.Unauliza alienda mwenyewe kweli.Mi January akiwa Tiss ananihusu nini sasa. Wakati kalelewa humo humo kakulia humo humo. Nyerere aliwatafuta chooni kwa kupitia nani? Aliingia mwenyewe kwenye mashimo si kuna watu wanafanya kazi hiyo. Sasa wewe kila wakija kukufanyia vetting unaongozana na wavuta shisha, mara uko na makundi ya vichaa kidimbwi huko. Nani akuchukue? Mi naona acha waweke watu wanaoona wanafaa au kuwajua kwasababu kuingiza mamluki ni hasara kwa taifa tena vibaya sana.
Acha tu tulalamikie taasisi za ajira kuwekana wao kwa wao ila sio usalama. Kwanza wale wenyewe deep mnajua wanakotoka? Mnalalamikia hao uvccm ni ma informer tu. Kazi inafanywa na watu wenye uweledi hata kujitapa huwaskii.
Dirisha la usajili la TISS ni UVCCM na JKT sijui ni kweli? Anyway walitakiwa waTangaze kuondoa kupachikana kuna wakati mkuu wa TISS alikuwa mhehe wakajazana WAHEHE KIBAO IDARANIUKuda tu kaka wala hakuna jipya , achana nao mzee bora tuongelee mfumuko wa bei . Kiufupi hawana inshu wako overrated sana yaani
Tatizo lao wana peana ajira wao kwa wao ajira za Baba kanituma na kamlete, vijana walio bahatika bila kujulikana ni wale walioingia kipindi cha ajira za ukutaKuna jamaa fulani nilishangaa naye yumo, kisa baba yake yumo
Wamekuwa kama mwijaku sio.Ni weupe kwakeli hawajui vitu vingi vya dunia ya leo..
Ila wanajua sana taarifa za wanasiasa hadi za ndani kabisa..
Ndo maana nasema ni ngumu hii nchi kusonga mbele.TISS ambao nimebahatika kuwa nao karibu, ni mavi matupu kichwani.. kama kwenye bongo zao kuna mavi badala ya brain.. kwa ufupi vyombo vyetu vya ulinzi vina vichwa maji wengi sana hata Polisi, JWTZ hali ni ilele..