Usiri ajira TISS

Usiri ajira TISS

Na hapo ccm ndo walipoharibu, kugeuza jambo zito kuwa ukada.
Huoni kama kada unakua unamjua kuliko kuokoteza mtu mtaani. Teknolojia yetu ya kuwamonitor watu iko chini compared to hao CIA. Wakiruhusu watu kuomba kazi na kufanyiwa usaili etc huoni kama usalama wa taifa utaweza kuwa compromised na watu wasio na nia njema. Bora shetani unaemjua kuliko malaika usiemjua. Anaweza akapandikizwa mtu huko akaja kuwa na influence ya ajabu akavuruga.

Hadi leo marekani wanapambana na wasaliti ndani ya system. Kama hufatilii historia basi angalia angalia hata movie zao tu. Acha waweke hao makada na uvccm sijui watu wanaowajua kwasababu wanawajua uwezo wao, vetting inakua imefanyika haswa. Wanajua hadi kijiji ulichotoka. Cha msingi si nchi iko salama? Mi na wewe tuendelee kubanana kwenye kujitafuta kimaendeleo mengine tusitafute lawama.
 
Mimi sielewi nchi inaongozwa na Rais au Rais ni taasisi ambayo watendaji yake wapo tiss.nna maswali ya kuanzia ambayo siyaelewi.
Wakati wa mwisho mwisho wa JPM tuliambiwa kila mfanyakazi awasilishe namba ya NIDA,baadae tukaambiwa tupeleke TIN zetu,nikashangaa kuona waajiri na waajiriwa wakiona ni kama usumbufu.sisi wenye akili kubwa tulijua ilikuwa inaenda kuondoa wafanyakazi hewa sekta binafsi na pia wafanyakazi wa kigeni kuna kitu kingewapata na uhamiaji wanaotoa vibali vya kuishi.
Nikashangaa amekwenda na habari ya TIN imekaa kimya.
Watanzania tuna shida ya ajira lakini taasisi zetu hazina mkakati wa kulinda ajira na fursa zetu.
Waziri bashe anakomaa na wafanyabiashara wanaopeleka mazao ya chakula nje wawe wamelipia vibali na kujaza maelezo ya kinachopelekwa nje na ni tani ngapi,hili lilipaswa liwe ni kazi ya waziri wa viwanda na biashara au waziri wa fedha bashe aishie kwenye mazao na mkulima.
TISS inahitaji wabobevu wa strategic thinking ya TAIFA na sio usalama wa kibabe babe na mikwara.
Wakati TEMESA kigamboni tunatumia NCARD na ufanisi unaonekana,nashangaa mwendo kasi kwa nini wasitumie N CARD,Tunajiuliza wapanda mabasi ya mikoani tunauziwa tiketi zilizokatwa na majina sio yetu. Kwa nini na wao wasiruhusu n card ili unascan taarifa zote zipo.

TISS hawajachelewa kupelekwa watu ambao ni werevu hata watoke taasisi nyengine wakawaweke sawa ili watoe dira ya kila jambo ambalo kuachiwa ndani ya watendaji wajiamlie inakuwa ni kuzunguja zunguka bila ya kutoa matokeo.
 
Tulikuwa na imani na NIDA leo tunaambiwa watu watasajiriwa online baada ya kugongewa mihuri ya wanasheria.hili ni boko tutegemee wageni wengi kufoji na kuwa na namba za NIDA.TISS wapo tu hawana hata thinking ya kufikiria risk zilizopo.
 
-Wenye nchi ni WA Tanzania wote
- TISS ndio engine ya nchi, kasome sheria ya Tiss utaelewa, hao ndio wenye taarifa zote za nchi, na ndio maana Hata CAG huwa hakagui TISS na Ikulu, làkini CAG anakagua hadi Jwtz na kutoa remarks as to whether kuna hati safi,chafu au yenye mashaka.
-
Teh...
 
Ukiona afisa kipenyo yupo humu jukwaani uyo ni boss kajiendeleza kielemu baada ya kutumwa tumwa sana akamua arudie paper waliopo mtaani uko hata kuwasha computer hawajui sijui wanawatoa wapi yani dunia ipo nyuma yao zaidi ni kutumwa tumwa tu
 
Kwanini panakuwa na Usiri katika ajira ndani ya Usalama wa Taifa?

Mbona CIA hutangaza nafasi na watu huomba

Kwanini wasianzishe mchakato wa watu kuomba?View attachment 2471149
Wabongo hawana hulka ya usiri


Ikitangazwa akipat basi ataenda simulia

Ku recruit kisiri ni kusaidia ku spot wenye hulka fulani tu


Nawaza tuu
 
Tulikuwa na imani na NIDA leo tunaambiwa watu watasajiriwa online baada ya kugongewa mihuri ya wanasheria.hili ni boko tutegemee wageni wengi kufoji na kuwa na namba za NIDA.TISS wapo tu hawana hata thinking ya kufikiria risk zilizopo.
Kwa Tanzania watu wengi wasio wakaza wamesajiliwa kama wakazi.
 
Akili za hovyo.
Huoni kama kada unakua unamjua kuliko kuokoteza mtu mtaani. Teknolojia yetu ya kuwamonitor watu iko chini compared to hao CIA. Wakiruhusu watu kuomba kazi na kufanyiwa usaili etc huoni kama usalama wa taifa utaweza kuwa compromised na watu wasio na nia njema. Bora shetani unaemjua kuliko malaika usiemjua. Anaweza akapandikizwa mtu huko akaja kuwa na influence ya ajabu akavuruga.

Hadi leo marekani wanapambana na wasaliti ndani ya system. Kama hufatilii historia basi angalia angalia hata movie zao tu. Acha waweke hao makada na uvccm sijui watu wanaowajua kwasababu wanawajua uwezo wao, vetting inakua imefanyika haswa. Wanajua hadi kijiji ulichotoka. Cha msingi si nchi iko salama? Mi na wewe tuendelee kubanana kwenye kujitafuta kimaendeleo mengine tusitafute lawama.
 
Hao ambao mnawajua huko mitaani zilitangazwa wakapata?
Wabongo hawana hulka ya usiri


Ikitangazwa akipat basi ataenda simulia

Ku recruit kisiri ni kusaidia ku spot wenye hulka fulani tu


Nawaza tuu
 
Back
Top Bottom