Ducinaltum
Senior Member
- Oct 9, 2022
- 184
- 144
Mkuu, siyo kweli kabisa. TISS ndo mambo yote kaka. Hiyo ndo roho ya nchiUsalama taifa mnavyowachukulia mnawapaisha sana.
Hao hadi polisi wana hadhi ya juu kimamlaka, hao ni watumwa wa ikulu na rais aliyepo madarakani.
Ila kiutendaji wapo kila kona.
Wenye nchi yao ni hayo majamaa ya bakabaka ndiyo yaliyopewa nguvu ya ulinzi wa nchi.
Madogo wa usalama wanatishia sana raia wema.
Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
Karibu wote ni kichwani weupe, ajira karibu zote ni family & friends related na ukiwa pisi kali. Na wengi walevi tu. Tz tumelogwa the country has no competence kabisa. Wanapelekwa course wanaludi wapo empty kabisa. Disappointing
