Superintendent kimura
JF-Expert Member
- Feb 24, 2023
- 518
- 1,897
wasaalam
tarehe 02/05/2026 pale UDSM yombo 4 kulikuwa na zoezi la kufanya written interview kwenye kada mbalimbali lakini cha ajabu mpaka leo tarehe 06/05/2026 hawajatoa majibu ya usaili huo kama wanafovofanya taasisi zingine ambapo majibu hutoka na kutaganzwa kupitia tovoyi rasimi ya secretariet ya ajira (Public Service Recruitment Secretariat | PSRS ) badala yake wameita watu kimya kimya kupitia akaunti za wasailiwa ajira portal
kuna uwezekano mkubwa sana ajira hizo zilikuwa za connections au rushwa mpaka kushindwa hutangaza matokeo kwa umma kila msailiwa akajua alichopata
tarehe 02/05/2026 pale UDSM yombo 4 kulikuwa na zoezi la kufanya written interview kwenye kada mbalimbali lakini cha ajabu mpaka leo tarehe 06/05/2026 hawajatoa majibu ya usaili huo kama wanafovofanya taasisi zingine ambapo majibu hutoka na kutaganzwa kupitia tovoyi rasimi ya secretariet ya ajira (Public Service Recruitment Secretariat | PSRS ) badala yake wameita watu kimya kimya kupitia akaunti za wasailiwa ajira portal
kuna uwezekano mkubwa sana ajira hizo zilikuwa za connections au rushwa mpaka kushindwa hutangaza matokeo kwa umma kila msailiwa akajua alichopata