Usiri ajira TISS

Usiri ajira TISS

Ni moja ya ndoto yangu kupata nafasi katika idara ya usalama wa taifa, napenda sana
 
Ni matapeli hao...

Kuna Mzee mmoja anaitwa Mkulo ni tapeli sana,kweli yuko TISS, anajuana na watu wa mahakama ukiingi kichwa kichwa anakutapeli

Atakuonesha bastola, gari kadi Ofisi ya Rais.
Jichanganye sasa.

Utasikia gari imepasuka Tairi naelekea kikosi kazi cha Rais, nikifika nakurudishia pesa, nitumie ninunue tairi. Ukituma ndo kwaheri
Ukajuaje yupo TISS? Tena Kwa proof
 
Kinachonishangaza tu ni kwa nini Taifa linaibiwa mali na fedha za umma wakati mnasema wako kila mahali sasa usalama wao ni wa namna gani? Rasilimali na fedha za umma kila siku zinaibiwa.
Mkuu umesema pia kuwa wao hata CAG hagusi pua kukagua. Inawezekana kutomana na unyeti wake lakini sio kwamna hilo ndio chaka la ulaji wa Rais aliyeko madarakani?
Kazi ya usalama wa taifa kisheria ni kukusanya,kuzichambua na kuzifikisha kunakohusika wenye mamlaka ya kuchukua hatua ni Rais wa inchi na Wala hawana uwezo wa kumshinikiza na hawana mamlaka ya kukamata Wala kushitaki kazi hiyo ni ya polis
 
Zamani bwana, hii taasisi ilikuwa ya heshima na kujiheshimu, siasa ikaanza wakubwa wakaanza peleka watoto wao waliokataa shule, ilikuwa taasisi ya usiri mkubwa ikifanya kazi yake kwa uadilifu, leo kila mmoja anajitahidi umjue yeye ni usalama... yaani kimekuwa ka kigenge cha watafuna mirungi.
Bro vijana wanapiga kazi inchi hii.vilaza hata kwenye familia wapo
 
Wabongo nyokko sana

Kwakuwa Wamarekani wanahalalisha ushoga basi inatulazimu nasi tuige

Mkinitukana Chawa wangu hawatawaacha...
ushoga upo sana kwenye jamii zetu, tangu miaka ya 1980 kuna mashoga kibao hapo kariakoo
unataka kulionyesha kuwa ni jambo jipya
 
Mkuu hiyo kazi imejaa Nepotism, Wanarithishana tu, Ukikaribia kustaafu unachomeka wanao wawili maisha yanaendelea. Ndio mana wana vichwa vibovu vitupu. Hata Chinga muuza magamba ya simu unaweza mkuta yuko bright kuliko wao.
 
Mkuu hiyo kazi imejaa Nepotism, Wanarithishana tu, Ukikaribia kustaafu unachomeka wanao wawili maisha yanaendelea. Ndio mana wana vichwa vibovu vitupu. Hata Chinga muuza magamba ya simu unaweza mkuta yuko bright kuliko wao.
Imeharibika japo bado vifaa vipo.
 
Mkuu hiyo kazi imejaa Nepotism, Wanarithishana tu, Ukikaribia kustaafu unachomeka wanao wawili maisha yanaendelea. Ndio mana wana vichwa vibovu vitupu. Hata Chinga muuza magamba ya simu unaweza mkuta yuko bright kuliko wao.
Ni kweli ila kuna muda mfumo unamuhitaji mtu pasipo nepotism ila kwa manufaa yake huko kitengoni.
 
Watanzania waongo sana. Kila mtu anawajua TISS ki.vyake.


Tanzania hii, huwezi msikia mtu anasema neno "sijui" ni ivo tu, kamwe. We uliza tu utajibiwa, utapewa uhakika na vitjibitisho vyote. Na kila mtu atakupa ki.vyake.
 
Back
Top Bottom