Usiri ajira TISS

Usiri ajira TISS

Kuna tiss fulani walikua wanamfatilia jamaa fulani wamteke maana naona huwa wanapiga dili chafu pia. Dadeki jamaa akaenda kwa mtaalamu wakapigwa kipeperushi/sambaratishwa hawajawahi onekana tena.
Waganga wapo..!
 
Kwanini panakuwa na Usiri katika ajira ndani ya Usalama wa Taifa?

Mbona CIA hutangaza nafasi na watu huomba

Kwanini wasianzishe mchakato wa watu kuomba?View attachment 2471149
The way CIA wanafanya kazi ni tofauti na TISS, kwa sera ya nchi na mahitaji yana tofautiana, CIA hawatangazi ajira za vitengo vyote, kuna vitengo nyeti ambavyo wanaenda jeshini ku select watu wao, au taasis fulani, so itategemea wanahitaj watu gani kwa wakati huo

Kutokana na muundo wa serikal ya tz, hakuna uwazi huo. even selection yao ni tofauti.
 
Sheria za Tanzania zinasema kuwa mfanyakazi pekee wa TISS anayejulikana ni Mkurugenzi, wengine wote ni siri na hata kuwafunua majina yao ni kosa la jinai.
Ni kweli ulichosema, Ila jina la Sheria hiyo ni Tanzania Intelligence and Security Service Act,
Na Sheria hiyo imesema ukitaka kumtaja jina kwenye Vyombo via habari,magazeti nk(unlock code) unatakiwa Uombe kibali kwa Waziri,
 
Kuna tiss fulani walikua wanamfatilia jamaa fulani wamteke maana naona huwa wanapiga dili chafu pia. Dadeki jamaa akaenda kwa mtaalamu wakapigwa kipeperushi/sambaratishwa hawajawahi onekana tena.
Waganga wapo..!
Tupe more history ni kweli wakiishiwa pesa wanafanya blackmail
 
Tupe more history ni kweli wakiishiwa pesa wanafanya blackmail
Wanafanya sana..si ile title inawabeba kwa kuona watanzania ni waoga.
Sasa wakataka kublakmail jamaa fulani akawaendea kwa kangambile konki mbona walipoteana...🤣
Kangambile wengine wakikuambia kesho huamki kweli huamki..sembuse kuwaonea huruma na kusambaratishwa
 
Wanafanya sana..si ile title inawabeba kwa kuona watanzania ni waoga.
Sasa wakataka kublakmail jamaa fulani akawaendea kwa kangambile konki mbona walipoteana...🤣
Kangambile wengine wakikuambia kesho huamki kweli huamki..sembuse kuwaonea huruma na kusambaratishwa
Huyo sangoma unampata mkoa gan?. Huyo aliyekuwa muhanga alikuwa rafiki yako sana sio. Ila lazima alikuwa na mawe kama sio alitembea na mke wa 1
 
Kuna vitu vinafanywa usiri wakati hajikutakiwa kuwa vya siri, na usiri huu unaofanywa unakuta ni terget tu ya kuweka watu wao
Sijui kwanini na mimi nilikuwa nawaza kama wewe.

Maana usiri uliowekwa na tunaambiwa wako ofisi zote na kila kona bado mafisadi na wezi wa mali za umma wanafanya mipango yao na kufanikisha wizi kila siku bila kudakwa.
 
Kupitia huo usiri ndio mnajazwa hofu na uongo mwingi huku CCM ikiendelea kuwakanyagia mbali.

Waliboresha act yao mwaka jana wanaharakati wakapigia kelele ile bill huku watanganyika wakiwa usingizini na kuwaachia wanaharakati wachache , leo hii ukiuliza wangapi wanajua nguvu kubwa waliyopewa hao watu kwa sasa sio rahisi kuelewa , Gen -Z wa Kenya wawaamshe watanzania umuhimu wa kufuatilia siasa.

Ile act imewapa nguvu kubwa zaidi kwa sasa maofisa hawatotajwa wakiwa katika kutimiza "majukumu" yao sasa hii njia ya 2025 mnaiona iko salama kwa watanganyika walio usingizi wa pono??
 
Back
Top Bottom