Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,105
- 4,635
Habari wana JF.
Kuna Ndoa imevunjika hapa ndoa ya miaka 15.
Mke alizaa kabla ya ndoa, sasa mama huyu alimficha mtoto,
Huyu mtoto alikuwa anaishi na Baba yake.
Mume alijua kwa mawasiliano ya simu Mama alipokuwa anaongea na mwanae.
Na mtoto ana umri wa miaka 20.
Mume wa ndoa kazaa naye watoto 4.
Dawati la suluhisho walijaribu kuweka sawa ili wasiachane ila ilishindika. Hata wachungaji walishauri kuwa asamehe tuu kwani hata mtoto kashakuwa mkubwa hakuna shida yoyote lkn ndo hivyo ndoa imevunjwa jana na mahakama.
Huyu mama alizaa kipindi ana umri wa miaka 21.
Sasa wanajamii hivi vitu vinatokana na nini mpk mmoja anaamua kuficha mtoto?
NI NINI CHA KUFANYA BAADA YA KUJUA HATA KWA MUME KAMA ALIFICHA KUWA ALIKUWA ANAMTOTO.
Kuna Ndoa imevunjika hapa ndoa ya miaka 15.
Mke alizaa kabla ya ndoa, sasa mama huyu alimficha mtoto,
Huyu mtoto alikuwa anaishi na Baba yake.
Mume alijua kwa mawasiliano ya simu Mama alipokuwa anaongea na mwanae.
Na mtoto ana umri wa miaka 20.
Mume wa ndoa kazaa naye watoto 4.
Dawati la suluhisho walijaribu kuweka sawa ili wasiachane ila ilishindika. Hata wachungaji walishauri kuwa asamehe tuu kwani hata mtoto kashakuwa mkubwa hakuna shida yoyote lkn ndo hivyo ndoa imevunjwa jana na mahakama.
Huyu mama alizaa kipindi ana umri wa miaka 21.
Sasa wanajamii hivi vitu vinatokana na nini mpk mmoja anaamua kuficha mtoto?
NI NINI CHA KUFANYA BAADA YA KUJUA HATA KWA MUME KAMA ALIFICHA KUWA ALIKUWA ANAMTOTO.