Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 476
- 1,244
Mzee wa miaka 50 ameamua kuwaita watoto wake wanne na kujilipua, watoto wake ni vijana wa kiume wenye umri wa miaka 29, 26 na wa kike wenye miaka 23 na 18.
"Wanangu mimi baba yenu nataka kuoa mke mwingine baada ya mama yenu kuninyima tendo la ndoa na hanijali."
"Huyu mama yenu kaninyima tendo la ndoa kwa miaka 3 sasa na nikimuuliza anajibu hajisikii ila nasikia sikia ana mtu huko' Sasa wanangu mi naona bora nioe mama yenu mdogo ili niweze kupata haki yangu kama baba."
Binti mkubwa 23 alipomuuliza mama kwa nini anamfanyia baba yake hivo nje ya kikao mama alikuja juu na kumshambulia mzee kwa kuwaeleza watoto Mambo kama hayo ambapo si maadili.
Je, ni sahihi watoto kujua mgogoro wa kunyimana tendo la ndoa kwenye familia?
"Wanangu mimi baba yenu nataka kuoa mke mwingine baada ya mama yenu kuninyima tendo la ndoa na hanijali."
"Huyu mama yenu kaninyima tendo la ndoa kwa miaka 3 sasa na nikimuuliza anajibu hajisikii ila nasikia sikia ana mtu huko' Sasa wanangu mi naona bora nioe mama yenu mdogo ili niweze kupata haki yangu kama baba."
Binti mkubwa 23 alipomuuliza mama kwa nini anamfanyia baba yake hivo nje ya kikao mama alikuja juu na kumshambulia mzee kwa kuwaeleza watoto Mambo kama hayo ambapo si maadili.
Je, ni sahihi watoto kujua mgogoro wa kunyimana tendo la ndoa kwenye familia?