Ushauri: Ni heri ununue kitu cha gharama ndogo sawa na pesa yako kuliko kununua kitu mikononi mwa mtu. Unaualika umaskini ukutawale zaidi

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,702
36,127
Habari!
Nimejisikia kutoa ushauri katika jambo hili la kiuchumi.

Kutokana na hali za maisha watu hujikuta wakinunua vitu vilivyotumika almaarufu used.

Vitu kama sofa, simu, computer, baiskeli, gari, pikipiki n.k ili tu waendane na wakati au waendane na marafiki zao.

Kwa kufanya hivyo hutatui tatizo bali unaongeza tatizo.

Kivipi unaongeza tatizo?

1. Unaweza kuuziwa bidhaa yenye tatizo bila kujua, au utanunua bidhaa iliyoisha muda wake wa matumizi. Ikumbukwe kuwa kila bidhaa iliyotengenezwa ina life span yake kulingana na matumizi au muda.
Hivyo basi utajikuta kila baada ya muda mfupi utakuwa unahitaji bidhaa nyingine.

2. Unaweza kuingia kwenye matatizo kwa kununua vitu vya wizi . Hapa dar kuna mtandao wa vijana wahuni wa kuuza vitu vya kielektroniki kama simu, tv, laptops na kisha wanakuja kukukamata kama mwizi kwa sura zingine.

3. Unajipandikizia roho au mentality ya kimaskini. Ni heri uanze kumiliki kitu cha bei ndogo kisha unaadvabce mdogomdogo to the top.
 
Ukisema tununue vitu vipya ndani ya makaratasi yake ya kiwandani hiyo haitaishia hapo tu kwenye vitu!

Itabidi tutafute wapenzi mabikira ili kuendana na ushauri wako, kitu ambacho ni ngumu kukipata.

Mimi ushauri wangu, Ishi maisha unayoyamudu.
wote hatuwezi kununua magari mapya, lazima watu fulani wanunue kwa bei za juu, watumie na baadae watuuzie kwa bei ya chini.

Ukinunua V8 used siyo sawa na anayenunua IST mpya.
 
Habari!
Nimejisikia kutoa ushauri katika jambo hili la kiuchumi.

Kutokana na hali za maisha watu hujikuta wakinunua vitu vilivyotumika almaarufu used.

Vitu kama sofa, simu, computer, baiskeli, gari, pikipiki n.k ili tu waendane na wakati au waendane na marafiki zao.

Kwa kufanya hivyo hutatui tatizo bali unaongeza tatizo.

Kivipi unaongeza tatizo?

1. Unaweza kuuziwa bidhaa yenye tatizo bila kujua, au utanunua bidhaa iliyoisha muda wake wa matumizi. Ikumbukwe kuwa kila bidhaa iliyotengenezwa ina life span yake kulingana na matumizi au muda.
Hivyo basi utajikuta kila baada ya muda mfupi utakuwa unahitaji bidhaa nyingine.

2. Unaweza kuingia kwenye matatizo kwa kununua vitu vya wizi . Hapa dar kuna mtandao wa vijana wahuni wa kuuza vitu vya kielektroniki kama simu, tv, laptops na kisha wanakuja kukukamata kama mwizi kwa sura zingine.

3. Unajipandikizia roho au mentality ya kimaskini. Ni heri uanze kumiliki kitu cha bei ndogo kisha unaadvabce mdogomdogo to the top.
Unajua gari mpya ya bei ndogo inauzwa sh ngapi? Mpya sio used ya SBT au beforward
 
Back
Top Bottom