Mowwo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 327
- 232
Nawasalimu wote.
Mimi ni kijana mjasiriamali ninaetarajia kufanya biashara ya jumla ya vitu vya dukani(Arusha&Moshi) lakini ningependa kupata mawazo na ushauri namna ya kuagiza vitu hivyo kutokea Dar kuja mkoani.
Uzoefu wa biashara hii ningeupata kutoka kwenu ningeshukuru pia. Vitu ninavyotarajia kuagiza ili niuze kwa jumla ni kama vifuatavyo;
-Vitambaa
-Soksi
-Madaftari
-Rula,Penseli, Kalamu,vichongeo
-Miswaki
-Super glue
-Toothpick
-Pipi na biskuti za aina zote
-Dawa za mbu
-Kufuli
-Rangi za viatu nk
Changamoto ni kwasababu naanza kwahiyo ningependa kufahamu wale wanaoagiza Dsm wanaagiza wapi, changamoto zake? Umuhimu ni kuagiza au kufuata? Na faida zake.
Natanguliza shukrani🙏🙏
Mimi ni kijana mjasiriamali ninaetarajia kufanya biashara ya jumla ya vitu vya dukani(Arusha&Moshi) lakini ningependa kupata mawazo na ushauri namna ya kuagiza vitu hivyo kutokea Dar kuja mkoani.
Uzoefu wa biashara hii ningeupata kutoka kwenu ningeshukuru pia. Vitu ninavyotarajia kuagiza ili niuze kwa jumla ni kama vifuatavyo;
-Vitambaa
-Soksi
-Madaftari
-Rula,Penseli, Kalamu,vichongeo
-Miswaki
-Super glue
-Toothpick
-Pipi na biskuti za aina zote
-Dawa za mbu
-Kufuli
-Rangi za viatu nk
Changamoto ni kwasababu naanza kwahiyo ningependa kufahamu wale wanaoagiza Dsm wanaagiza wapi, changamoto zake? Umuhimu ni kuagiza au kufuata? Na faida zake.
Natanguliza shukrani🙏🙏