Ushauri jinsi ya kuishi maisha ya ghetto chuo

Ushauri jinsi ya kuishi maisha ya ghetto chuo

Nimeinote kwenye Diary yangu nitaifanyia kazi Naomba nikushukuru mapema kabisaa Baadae tunaeza tusionane
Faida za kukaa peke ako.
1.Hutakuwa mvivu kutimiza task hapo geto kama usafi na maakuli kwani uko mwnyewe ukichek huku vyombo na choo vinakucheka

2. Ugomvi ni nadra. Kumbuka mahafali hawakai zizi moja.

3. Ukinunua assets hata kama ni kijiko ni kako peke ako.
Hapa ndo pazuri. Kwa mf. Ukiwa umeshare vitu na mtu haviwi vyako peke ako . Ukimaliza chuo lazima mtaviuza na gawio lazima liwe dogo tofauti hata kama ukiwa peke ako utapata hela nzuri tu.
pia kama umeamua kuanza life baada ya chuo utakuwa huna shaka kwani kianzio yaana vyombo,kitanda na etc utakuwa navyo tayari. kama upo karibu na nyumbani ni unaweza safirisha . Nakuambia lazima utajiona ni mkubwa na ni kumbukumbu kuwa a asset ukiwa umetoka tu chuo na family ako itajivunia wewe tofauti na wale matozi anarudi na begi tu.

4. Kujifunza life la kujitegemea. ukifika chuo unakuwa far na wazazi. Unaanza kujua ups and downs of life. Kuna vingine una solve peke ako i mean that kama ungekuwa kwenu wangefanya wazazi . Ila mkiwa wawili sio kwamba hamjitegemei ila "strongest man in the world is the one who stands alone".

5 .Uhuru. me ni introvert sipendagi kero aisee. Ukiwa peke ako una uhuru mwingi sana . Ukiwa na mwenzio lazma mtasumbuana mf. Umetoka club afu jamaa aamke kukufungulia.

6. kupanuka kiakili.
Ukikaa mwnyw utoto unaisha tu mkuu kama matumizi sahihi ya hela lazima yaje hasa ukiwa peke ako.

7. Ulichoamua ndio hicho hicho.
Kwa mf ukiamua kutopika ni wewe .Ila mkiwa wawili lazima utapika tu .tuchukulie jamaa ako yuko mbali afu anakupigia simu kuwa ukorofishe afu we umechoka hatari.

8. NO EXILE. Kama we unapenda watoto wazuri utaenjoy kwani mtoto ataweza kaa kwako mpk utakapotaka (sikishauri uoe) . Kuna mdada alinambia kuwa huwa hawapendi ile anakuja geto kwako afu anakuta mchizi ako nae yupo then nae anaondoka ili akupishe umle. Huwa hawapendi ila hawana jinsi.
Me binafsi kwanz huwa sipendi nijulikane eti nmetoka kumla mdada huwa naona namvunjia heshima hata kama ni chick tu.
 
Faida za kukaa peke ako.
1.Hutakuwa mvivu kutimiza task hapo geto kama usafi na maakuli kwani uko mwnyewe ukichek huku vyombo na choo vinakucheka

2. Ugomvi ni nadra. Kumbuka mahafali hawakai zizi moja.

3. Ukinunua assets hata kama ni kijiko ni kako peke ako.
Hapa ndo pazuri. Kwa mf. Ukiwa umeshare vitu na mtu haviwi vyako peke ako . Ukimaliza chuo lazima mtaviuza na gawio lazima liwe dogo tofauti hata kama ukiwa peke ako utapata hela nzuri tu.
pia kama umeamua kuanza life baada ya chuo utakuwa huna shaka kwani kianzio yaana vyombo,kitanda na etc utakuwa navyo tayari. kama upo karibu na nyumbani ni unaweza safirisha . Nakuambia lazima utajiona ni mkubwa na ni kumbukumbu kuwa a asset ukiwa umetoka tu chuo na family ako itajivunia wewe tofauti na wale matozi anarudi na begi tu.

4. Kujifunza life la kujitegemea. ukifika chuo unakuwa far na wazazi. Unaanza kujua ups and downs of life. Kuna vingine una solve peke ako i mean that kama ungekuwa kwenu wangefanya wazazi . Ila mkiwa wawili sio kwamba hamjitegemei ila "strongest man in the world is the one who stands alone".

5 .Uhuru. me ni introvert sipendagi kero aisee. Ukiwa peke ako una uhuru mwingi sana . Ukiwa na mwenzio lazma mtasumbuana mf. Umetoka club afu jamaa aamke kukufungulia.

6. kupanuka kiakili.
Ukikaa mwnyw utoto unaisha tu mkuu kama matumizi sahihi ya hela lazima yaje hasa ukiwa peke ako.

7. Ulichoamua ndio hicho hicho.
Kwa mf ukiamua kutopika ni wewe .Ila mkiwa wawili lazima utapika tu .tuchukulie jamaa ako yuko mbali afu anakupigia simu kuwa ukorofishe afu we umechoka hatari.

8. NO EXILE. Kama we unapenda watoto wazuri utaenjoy kwani mtoto ataweza kaa kwako mpk utakapotaka (sikishauri uoe) . Kuna mdada alinambia kuwa huwa hawapendi ile anakuja geto kwako afu anakuta mchizi ako nae yupo then nae anaondoka ili akupishe umle. Huwa hawapendi ila hawana jinsi.
Me binafsi kwanz huwa sipendi nijulikane eti nmetoka kumla mdada huwa naona namvunjia heshima hata kama ni chick tu.
Ushauri makini sana mkuu
 
Faida za kukaa peke ako.
1.Hutakuwa mvivu kutimiza task hapo geto kama usafi na maakuli kwani uko mwnyewe ukichek huku vyombo na choo vinakucheka

2. Ugomvi ni nadra. Kumbuka mahafali hawakai zizi moja.

3. Ukinunua assets hata kama ni kijiko ni kako peke ako.
Hapa ndo pazuri. Kwa mf. Ukiwa umeshare vitu na mtu haviwi vyako peke ako . Ukimaliza chuo lazima mtaviuza na gawio lazima liwe dogo tofauti hata kama ukiwa peke ako utapata hela nzuri tu.
pia kama umeamua kuanza life baada ya chuo utakuwa huna shaka kwani kianzio yaana vyombo,kitanda na etc utakuwa navyo tayari. kama upo karibu na nyumbani ni unaweza safirisha . Nakuambia lazima utajiona ni mkubwa na ni kumbukumbu kuwa a asset ukiwa umetoka tu chuo na family ako itajivunia wewe tofauti na wale matozi anarudi na begi tu.

4. Kujifunza life la kujitegemea. ukifika chuo unakuwa far na wazazi. Unaanza kujua ups and downs of life. Kuna vingine una solve peke ako i mean that kama ungekuwa kwenu wangefanya wazazi . Ila mkiwa wawili sio kwamba hamjitegemei ila "strongest man in the world is the one who stands alone".

5 .Uhuru. me ni introvert sipendagi kero aisee. Ukiwa peke ako una uhuru mwingi sana . Ukiwa na mwenzio lazma mtasumbuana mf. Umetoka club afu jamaa aamke kukufungulia.

6. kupanuka kiakili.
Ukikaa mwnyw utoto unaisha tu mkuu kama matumizi sahihi ya hela lazima yaje hasa ukiwa peke ako.

7. Ulichoamua ndio hicho hicho.
Kwa mf ukiamua kutopika ni wewe .Ila mkiwa wawili lazima utapika tu .tuchukulie jamaa ako yuko mbali afu anakupigia simu kuwa ukorofishe afu we umechoka hatari.

8. NO EXILE. Kama we unapenda watoto wazuri utaenjoy kwani mtoto ataweza kaa kwako mpk utakapotaka (sikishauri uoe) . Kuna mdada alinambia kuwa huwa hawapendi ile anakuja geto kwako afu anakuta mchizi ako nae yupo then nae anaondoka ili akupishe umle. Huwa hawapendi ila hawana jinsi.
Me binafsi kwanz huwa sipendi nijulikane eti nmetoka kumla mdada huwa naona namvunjia heshima hata kama ni chick tu.
Huu USHAURI una hadhi ya nyota tano
 
Atakuwa amelenga kushawishi matumizi madogo ila 500 haiwezekani. Mleta mada nakwambia usipokula chuo unafeli wewe. Njaa ina ujinga sana, ukiwa home unaweza piga pasi ndefu usihisi njaa ila ukiwa chuo kuna jua flani linawaka, kuna njaa kutokana na kufundishwa alafu kuna ile ya kujisomea. Ukisoma bila kula inatumika nguvu nyingi mno na huelewi haraka.

Bila kusahau maji ya kunywa, kiuhalisia huwezi kunywa maji ya kuchemsha chuo kila siku. Hata ujifanye utayanywa sasa hivi ila ukikaa siku ngapi unayaacha. Ghetto mimi nilikuwa nakunywa ya bombani nikawa dozi ya (frajili) haikosi na hakuna kitu kibaya kama kutokuwa na uhakika na usalama wa tumbo mbele za watu. Maji tu 500 ishaisha.

Siwezi tumia chini ya 4000 kwa kula kila siku. Hapo kuna chai & chapati, mchana pasi ndefu, jioni msosi, +maji. Ila ukiishi ghetto kutumia 2000 kawaida. Hakuna anasa kwenye kula dagaa, maharage au finyango mbili za nyama. Sasa usipoweza afford kula utaweza nini?

upo sahihi,mimi asubuhi nilikuwa natumia buku mbili,chapati,maini na juice alafu napiga pasi ndefu mpaka usiku wali kuku au chips kuku hapo tayari imeenda buku 4 jero au buku tano siku nikinywa na maji .ila budget ya maji ya kunywa mimi sikuwa nayo mpaka itokee siku nimeshinda chuo na ilikuwa mara chache,kilichonisave nilikuwa na water dispenser hivo natoka getto nishapiga maji ya kutosha sana.ila badae nilipanga ili kupunguza gharama maana kuna jamaa walinambia wao kwa siku tatu wanaweza kutumia buku tu
 
Mimi hapa naingia 2nd year na nilianzia direct ghetto. Fanya yafuatayo:

Tafuta chumba mapema usitafute siku za baada ya usajiri, bora upate hata sasa kuliko kupata chumba kipo mbali baadae. Pata chumba karibu sio uanze kupanda daladala kufika chuo, hizo 300 ni nyingi sana njoo kuna siku utakuwa unaamka na 100 tu. 1st wenzio wanakuja, 2nd na 3rd year wanatafuta kuhamia kutoka hostel ukichelewa ndo unapandishiwa bei, chumba kibaya, kiko mbali.

Uwe na bajeti ya kununua vitu muhimu. Kitanda, godoro na mashuka, feni, pazia, ndoo, kapeti etc. Unaweza nunua vitu used kwa mawakala walio chuoni. Mimi sikununua used kama hela ya kipya sina naacha. Utanunua vitu kulingana na mfuko wako na mahitaji yako.

Pata chumba cha uhakika, chenye hadhi ya kuishi kwani vingine unakuta choo kipo Kivietnam, mwenye nyumba yuko humo, kuna wadangaji. Kwetu sisi tupo wanachuo tu, hakuna taarab, ugomvi wala mtoto kujiliza usiku.

Kuhusu kujitegemea. Nilikuwa na laki kadhaa nikasema ngoja nizoee mazingira nitafanyia kazi, hela zote nikamaliza. Nikaanza issue flani corona ikaingia nikakwama. Sahivi naenda kuanza kitu kingine nikifeli sawa.
Expectations zinakuwa nyingi sana hasa wakikwambia uza hiki na kile unajiona unatoboa as if hela imechuchumaa inasubiri uiokote. Wanaofanya ujasiriamali pekee wanalia, sembuse anayeongeza na kusoma .

Wapo walevi, wahuni, wala bata, wanaokesha church na kila mkesha au mfungo, wanaosoma sana, wapenda mademu, wapenda michezo yeye kila siku ni mazoezi uwanjani, wavuta bangi, wajasiriamali, bila kusahau wanasiasa (wengi wao wababaishaji) hasa UVCCM ambao hujifanya wameyapatia maisha. Kaa upande wako.

Nimejitahidi kufupisha sana hapa. Huwa naandika gazeti

hapo kwenye choo[emoji1787] umenikumbusha getto la jamaa zangu fulani waliniachiaga nikakae wakati wa supp sasa nikawa mimi na rafiki yetu fulani,yule jamaa yale maisha ya pale yalimshinda akaamsha kwa sababu tunaishi na mademu afu vyoo ni viwili na vipo uwani ambapo ukiwa chooni mtu anaskia kabisa na pale mademu walipenda kukaa kila muda wanafua au kuosha vyombo
yule jamaa alienda kulipia Hostel week mbili za supp maana alikuwa hanyi[emoji23] kama siku 5 hivi inabidi avizie usiku sana mademu wamelala
 
Mkuu kwanza ili upate vitu bei rahisi inabidi utafute mtu anaemaliza unaongea nae bei ya kitanda na godoro kama anavitu vingine vizuri vya ndani basi chukua kwa bei ya maelewano yenu,5/6 kitanda ni 90 hadi 100 hiki ni kizuri kweli used godoro ni 100 hadi laki 120 kwa bei hii linakuwa zuri sana na ambalo halibonyei katikati.

vyombo na vitu vingine kama pasi, gesi, feni, mziki hivi vyote unaweza washusha wanaomaliza....mfano gesi wanauzaga 20 hadi 30,na pasi 20 pia.

Ishi kwa kujibana nakumbuka nilikuwa nakula 1000 siku nyingne 500 kwa siku nikasave hadi mil 3 lak 4 bila mkopo, hata ukiwa na hela usiifuje bila sababu.

Mishe ya kufanya inategemea na unasoma chuo gani na course gani, ila kuna mdada Dodoma chuo alikuwa anauza juice vidumu 3 hadi 4 hii alikuwa anaweka kwenye migahawa kama 2 hivi....pia kuna kuuza viatu vya kike na makava ya simu (kabla lecture haijaanza unatangaza pale mbele ya wengine), vilevile unaweza kuwa unaagiza mpunga Shinyanga au Mbeya (inategemea na umbali wa chuo chako) alafu unakoboa then unawatangazia wenzio na vioffer vizuri hauwezi kosa pesa.

Pia unaweza kununua nguo za mtumba magauni, sketi, brouse, suruari hizo kuna connection ya ilalaboma unaoata kea 2000 na elfu 1500 hadi za 500 zipo...ila suluari ni kuanzia 3000 hadi 5000 mara nyingi nzuri ni elfu4 na elfu 5...hizo nguo wanachuo wakike wanapenda pendeza kama ni quality nzuri utapata pesa tu....

Mishe zako zinaweza kuwa viziri endapo ukioata mwanamke anaejitambua, kuna wamaobahatika na wanatoboa mfano kuna mshkaji wangu alikuwa na girl wake wao walikuwa wanauza juice, dagaa, mchele alafu kuna wengine walifungua genge (zamzam kusimamia)
lazima ue imortar usiendekeze,starehe pia amini chuo sio bata
 
Atakuwa amelenga kushawishi matumizi madogo ila 500 haiwezekani. Mleta mada nakwambia usipokula chuo unafeli wewe. Njaa ina ujinga sana, ukiwa home unaweza piga pasi ndefu usihisi njaa ila ukiwa chuo kuna jua flani linawaka, kuna njaa kutokana na kufundishwa alafu kuna ile ya kujisomea. Ukisoma bila kula inatumika nguvu nyingi mno na huelewi haraka.

Bila kusahau maji ya kunywa, kiuhalisia huwezi kunywa maji ya kuchemsha chuo kila siku. Hata ujifanye utayanywa sasa hivi ila ukikaa siku ngapi unayaacha. Ghetto mimi nilikuwa nakunywa ya bombani nikawa dozi ya (frajili) haikosi na hakuna kitu kibaya kama kutokuwa na uhakika na usalama wa tumbo mbele za watu. Maji tu 500 ishaisha.

Siwezi tumia chini ya 4000 kwa kula kila siku. Hapo kuna chai & chapati, mchana pasi ndefu, jioni msosi, +maji. Ila ukiishi ghetto kutumia 2000 kawaida. Hakuna anasa kwenye kula dagaa, maharage au finyango mbili za nyama. Sasa usipoweza afford kula utaweza nini?
Juice cola zile wanakunywa watoto ni shilingi mia maandazi manne mia nne ukila mpakani (katikati ya asubuhi na mchana, mchana na usiku) maandazi wawili mawili na juice cola yako siku imepita inawezekana kushindia mia tano siku nzima
 
Juice cola zile wanakunywa watoto ni shilingi mia maandazi manne mia nne ukila mpakani (katikati ya asubuhi na mchana, mchana na usiku) maandazi wawili mawili na juice cola yako siku imepita inawezekana kushindia mia tano siku nzima
Unakunywa juice cola kisha usome module gani mkuu ubongo unakula sana energy ukiwa unasoma. Maandazi mawili na maji yenye rangi yamshibishe mtu anayesoma modules kadhaa kwa siku, anayezunguka chuoni, anayeenda kuprint stationary, anahudhuria lecture room, anafua na kunyoosha, anafanya assignments na group discussion. Maandazi mawili ya 100/- hayahaya au mengine.

Hiyo ni chai ya asubuhi. Na huwezi kula maandazi throughout the semester. Kwanza mwili wako unatumia calories ngapi kwa siku mpaka ufikie kula ratio ya paka. Juice cola zenyewe ushaziita "wanazokunywa watoto" mbona sijawahi ona wazazi wanawapa watoto hizo rangi na kuwanyima chamchana au usiku.

Sijawahi kuona mtu anayebania kula akafanikiwa. Simply huyo mtu ni maskini wa maarifa ya kumuwezesha kuishi kwa kujipatia basic needs. Food, shelter and clothes. Sasa unashindwa kula, ikifikia kununua gari si ndio utafariki kabisa
 
Juice cola zile wanakunywa watoto ni shilingi mia maandazi manne mia nne ukila mpakani (katikati ya asubuhi na mchana, mchana na usiku) maandazi wawili mawili na juice cola yako siku imepita inawezekana kushindia mia tano siku nzima
Haha, mkuu mbona hiyo ratiba ngumu hivo aisee
 
Unakunywa juice cola kisha usome module gani mkuu ubongo unakula sana energy ukiwa unasoma. Maandazi mawili na maji yenye rangi yamshibishe mtu anayesoma modules kadhaa kwa siku, anayezunguka chuoni, anayeenda kuprint stationary, anahudhuria lecture room, anafua na kunyoosha, anafanya assignments na group discussion. Maandazi mawili ya 100/- hayahaya au mengine.

Hiyo ni chai ya asubuhi. Na huwezi kula maandazi throughout the semester. Kwanza mwili wako unatumia calories ngapi kwa siku mpaka ufikie kula ratio ya paka. Juice cola zenyewe ushaziita "wanazokunywa watoto" mbona sijawahi ona wazazi wanawapa watoto hizo rangi na kuwanyima chamchana au usiku.

Sijawahi kuona mtu anayebania kula akafanikiwa. Simply huyo mtu ni maskini wa maarifa ya kumuwezesha kuishi kwa kujipatia basic needs. Food, shelter and clothes. Sasa unashindwa kula, ikifikia kununua gari si ndio utafariki kabisa
Umeeleweka master
 
Faida za kukaa peke ako.
1.Hutakuwa mvivu kutimiza task hapo geto kama usafi na maakuli kwani uko mwnyewe ukichek huku vyombo na choo vinakucheka

2. Ugomvi ni nadra. Kumbuka mahafali hawakai zizi moja.

3. Ukinunua assets hata kama ni kijiko ni kako peke ako.
Hapa ndo pazuri. Kwa mf. Ukiwa umeshare vitu na mtu haviwi vyako peke ako . Ukimaliza chuo lazima mtaviuza na gawio lazima liwe dogo tofauti hata kama ukiwa peke ako utapata hela nzuri tu.
pia kama umeamua kuanza life baada ya chuo utakuwa huna shaka kwani kianzio yaana vyombo,kitanda na etc utakuwa navyo tayari. kama upo karibu na nyumbani ni unaweza safirisha . Nakuambia lazima utajiona ni mkubwa na ni kumbukumbu kuwa a asset ukiwa umetoka tu chuo na family ako itajivunia wewe tofauti na wale matozi anarudi na begi tu.

4. Kujifunza life la kujitegemea. ukifika chuo unakuwa far na wazazi. Unaanza kujua ups and downs of life. Kuna vingine una solve peke ako i mean that kama ungekuwa kwenu wangefanya wazazi . Ila mkiwa wawili sio kwamba hamjitegemei ila "strongest man in the world is the one who stands alone".

5 .Uhuru. me ni introvert sipendagi kero aisee. Ukiwa peke ako una uhuru mwingi sana . Ukiwa na mwenzio lazma mtasumbuana mf. Umetoka club afu jamaa aamke kukufungulia.

6. kupanuka kiakili.
Ukikaa mwnyw utoto unaisha tu mkuu kama matumizi sahihi ya hela lazima yaje hasa ukiwa peke ako.

7. Ulichoamua ndio hicho hicho.
Kwa mf ukiamua kutopika ni wewe .Ila mkiwa wawili lazima utapika tu .tuchukulie jamaa ako yuko mbali afu anakupigia simu kuwa ukorofishe afu we umechoka hatari.

8. NO EXILE. Kama we unapenda watoto wazuri utaenjoy kwani mtoto ataweza kaa kwako mpk utakapotaka (sikishauri uoe) . Kuna mdada alinambia kuwa huwa hawapendi ile anakuja geto kwako afu anakuta mchizi ako nae yupo then nae anaondoka ili akupishe umle. Huwa hawapendi ila hawana jinsi.
Me binafsi kwanz huwa sipendi nijulikane eti nmetoka kumla mdada huwa naona namvunjia heshima hata kama ni chick tu.
. ....fact mkuu
 
Faida za kukaa peke ako.
1.Hutakuwa mvivu kutimiza task hapo geto kama usafi na maakuli kwani uko mwnyewe ukichek huku vyombo na choo vinakucheka

2. Ugomvi ni nadra. Kumbuka mahafali hawakai zizi moja.

3. Ukinunua assets hata kama ni kijiko ni kako peke ako.
Hapa ndo pazuri. Kwa mf. Ukiwa umeshare vitu na mtu haviwi vyako peke ako . Ukimaliza chuo lazima mtaviuza na gawio lazima liwe dogo tofauti hata kama ukiwa peke ako utapata hela nzuri tu.
pia kama umeamua kuanza life baada ya chuo utakuwa huna shaka kwani kianzio yaana vyombo,kitanda na etc utakuwa navyo tayari. kama upo karibu na nyumbani ni unaweza safirisha . Nakuambia lazima utajiona ni mkubwa na ni kumbukumbu kuwa a asset ukiwa umetoka tu chuo na family ako itajivunia wewe tofauti na wale matozi anarudi na begi tu.

4. Kujifunza life la kujitegemea. ukifika chuo unakuwa far na wazazi. Unaanza kujua ups and downs of life. Kuna vingine una solve peke ako i mean that kama ungekuwa kwenu wangefanya wazazi . Ila mkiwa wawili sio kwamba hamjitegemei ila "strongest man in the world is the one who stands alone".

5 .Uhuru. me ni introvert sipendagi kero aisee. Ukiwa peke ako una uhuru mwingi sana . Ukiwa na mwenzio lazma mtasumbuana mf. Umetoka club afu jamaa aamke kukufungulia.

6. kupanuka kiakili.
Ukikaa mwnyw utoto unaisha tu mkuu kama matumizi sahihi ya hela lazima yaje hasa ukiwa peke ako.

7. Ulichoamua ndio hicho hicho.
Kwa mf ukiamua kutopika ni wewe .Ila mkiwa wawili lazima utapika tu .tuchukulie jamaa ako yuko mbali afu anakupigia simu kuwa ukorofishe afu we umechoka hatari.

8. NO EXILE. Kama we unapenda watoto wazuri utaenjoy kwani mtoto ataweza kaa kwako mpk utakapotaka (sikishauri uoe) . Kuna mdada alinambia kuwa huwa hawapendi ile anakuja geto kwako afu anakuta mchizi ako nae yupo then nae anaondoka ili akupishe umle. Huwa hawapendi ila hawana jinsi.
Me binafsi kwanz huwa sipendi nijulikane eti nmetoka kumla mdada huwa naona namvunjia heshima hata kama ni chick tu.
Daaahh heshima yako mkuu , nimesoma kila kitu
 
Faida za kukaa peke ako.
1.Hutakuwa mvivu kutimiza task hapo geto kama usafi na maakuli kwani uko mwnyewe ukichek huku vyombo na choo vinakucheka

2. Ugomvi ni nadra. Kumbuka mahafali hawakai zizi moja.

3. Ukinunua assets hata kama ni kijiko ni kako peke ako.
Hapa ndo pazuri. Kwa mf. Ukiwa umeshare vitu na mtu haviwi vyako peke ako . Ukimaliza chuo lazima mtaviuza na gawio lazima liwe dogo tofauti hata kama ukiwa peke ako utapata hela nzuri tu.
pia kama umeamua kuanza life baada ya chuo utakuwa huna shaka kwani kianzio yaana vyombo,kitanda na etc utakuwa navyo tayari. kama upo karibu na nyumbani ni unaweza safirisha . Nakuambia lazima utajiona ni mkubwa na ni kumbukumbu kuwa a asset ukiwa umetoka tu chuo na family ako itajivunia wewe tofauti na wale matozi anarudi na begi tu.

4. Kujifunza life la kujitegemea. ukifika chuo unakuwa far na wazazi. Unaanza kujua ups and downs of life. Kuna vingine una solve peke ako i mean that kama ungekuwa kwenu wangefanya wazazi . Ila mkiwa wawili sio kwamba hamjitegemei ila "strongest man in the world is the one who stands alone".

5 .Uhuru. me ni introvert sipendagi kero aisee. Ukiwa peke ako una uhuru mwingi sana . Ukiwa na mwenzio lazma mtasumbuana mf. Umetoka club afu jamaa aamke kukufungulia.

6. kupanuka kiakili.
Ukikaa mwnyw utoto unaisha tu mkuu kama matumizi sahihi ya hela lazima yaje hasa ukiwa peke ako.

7. Ulichoamua ndio hicho hicho.
Kwa mf ukiamua kutopika ni wewe .Ila mkiwa wawili lazima utapika tu .tuchukulie jamaa ako yuko mbali afu anakupigia simu kuwa ukorofishe afu we umechoka hatari.

8. NO EXILE. Kama we unapenda watoto wazuri utaenjoy kwani mtoto ataweza kaa kwako mpk utakapotaka (sikishauri uoe) . Kuna mdada alinambia kuwa huwa hawapendi ile anakuja geto kwako afu anakuta mchizi ako nae yupo then nae anaondoka ili akupishe umle. Huwa hawapendi ila hawana jinsi.
Me binafsi kwanz huwa sipendi nijulikane eti nmetoka kumla mdada huwa naona namvunjia heshima hata kama ni chick tu.
Kama Introvert, nasema umeandika vitu vya msingi sana, kikubwa UHURU.
 
Back
Top Bottom