Arch Barrel
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 547
- 1,255
Habar za wikiend wanajamvi.
Poleni na pirika za wiki nzima na misukosuko ya kila aina. Haijalishi umeivuka kwa namna gani lkn upaswa kumshukuru alie juu.
Naandika bandiko hili kuomba ushauri wa dhati kabisa.
Ni muda mrefu sasa zaidi ya miaka minne, nimekuwa nikiota ndoto.
Ndoto hii mara zote imekuwa ya kujirudia haijawahi kubadirika.
Nimekuwa nikiota nipo shule na mara nyingi nakuwa kwenye vipindi vya mitihani.
Katika ndoto hii mara nimekuwa nikikutwa sijajiandaa kwa ajili ya kufanya mitihani, muda mwingine hata notice sina, timetable ya mitihani inatoka ndio naanza kupambana kuanza kujiandaa huku nikiwa na masomo mengi ambayo natakiwa kusoma ili nifanye mtihani.
Sijawahi kuota ndoto ya kuonyesha nipo chumba cha mtihani hapana, muda wote nimekuwa nikiota kuwa, ratiba ya paper imetoka hivyo napaswa kusoma na nina vimeo vingi wakati huo muda ukiwa hautoshi.
Hii ndoto nawwza sema imejirudia zaidi ya mara 30 na ndio ndoto inayonisumbua sana.
Naombeni ushauri wenu wakuu.
Poleni na pirika za wiki nzima na misukosuko ya kila aina. Haijalishi umeivuka kwa namna gani lkn upaswa kumshukuru alie juu.
Naandika bandiko hili kuomba ushauri wa dhati kabisa.
Ni muda mrefu sasa zaidi ya miaka minne, nimekuwa nikiota ndoto.
Ndoto hii mara zote imekuwa ya kujirudia haijawahi kubadirika.
Nimekuwa nikiota nipo shule na mara nyingi nakuwa kwenye vipindi vya mitihani.
Katika ndoto hii mara nimekuwa nikikutwa sijajiandaa kwa ajili ya kufanya mitihani, muda mwingine hata notice sina, timetable ya mitihani inatoka ndio naanza kupambana kuanza kujiandaa huku nikiwa na masomo mengi ambayo natakiwa kusoma ili nifanye mtihani.
Sijawahi kuota ndoto ya kuonyesha nipo chumba cha mtihani hapana, muda wote nimekuwa nikiota kuwa, ratiba ya paper imetoka hivyo napaswa kusoma na nina vimeo vingi wakati huo muda ukiwa hautoshi.
Hii ndoto nawwza sema imejirudia zaidi ya mara 30 na ndio ndoto inayonisumbua sana.
Naombeni ushauri wenu wakuu.