Mwita maranya with all of my due respect,
Sijawahi hata siku moja kuingia kwenye vita vya maneno na wewe,iwe kwa namna yyte ile,
Sikiliza sasa nikufahamishe,
1.Mimi si MWALIMU KWA TAALUMA,na kamwe katu sitokuja na siwez kuidharau taaluma ya ualimu kwani kupitia taaluma hiyo nilijifunza kuondoa ujinga na kunipa msingi nilionao kwa sasa,
2.Mimi sio mchumia tumbo na kikaragosi kama hawa jamaa zako wanaokesha humu 24/7 kulamba buti za viongoz na kutumikia matumbo yao,hilo likae kichwani mwako na ulitambue,
3.Nina taaluma yangu,ninfanya biashara zangu binafsi naganga nazo njaa,na ninafanya kilimo changu MTWARA,kilimo safi kabisa cha korosho na mazao mengine na ufugaji,situmikii tumbo na wala situmwi na jamaa zenu kwa namna yyte ile,
SUALA LA GESI MTWARA HALIKUWA NI LA KISIASA,NA WATU WA KUSINI HATUJASHINDWA KATIKA KILE AMBACHO TULIKUWA TUNAKIPIGANIA,NA TUNAKIPGANIA KILE KWA MASLAHI YA TAIFA,WEWE KAMA UNADHANI HARAKATI HIZI NI ZA KIKANDA KAMA ZINAVOZUNGUKA AKILIN MWENU BASI YAWAPASA KUWAZA TENA,
KAMA CHAMA HAKIMUHITAJI ZITTO KABWE HAKUNA HAJA YA KUMEZA MEZA MANENO,MFUKEZ SASA RASMI TUJUE MOJA NA TUGANGE YAJAYO,KIPI MNAHOFIA??