Utaona tu siku akiondoka chamani kama kweli hajakijenga chama ama la!Tatizo tamaa ya madaraka MTU HAJALALA MAHABUSU HATA SIKU MOJA anataka uenyekiti,urais huku umri hauruhusu na hajaenda vijijini sana kukijenga chama
Dhamira!!!!!Naona Slaa amekaa mbali kabisa na huu mpambano.
Dr Slaa hawezi kuja hapa na ndivyo utavyotambua kuwa Chadema wanasiasa za makundi na kubebana.
Kama wanataka kuleta ukaskazin rasmi,waseme tuh
tutangaze vita sasa rasmi,sisi tutaandaa mipango ya kuendeleza kusamba sumu kanda yote hii ya kusini na kanda ya kati kuwaonesha wananchi uhalisia ulivyo na jinsi wanavotumia chama kwa kuwagawa na kuwabagua baadhi ya viongoz ambao wanaonekana wana chuki nao binafsi,
kama kina slaa na wenzake wanafurahia mambo haya na kuhisi wanaweza kuongoza taifa hili kwa nguvu ya kanda fulani hili halitafanikiwa na tunawaambia kabisa bila kumeza meza maneno,vita hii ni kubwa zaid ya hao wanavodhania,
time will tell them...
Mkuu
Mkono wako ukishika kinyesi utaukata au utauosha
Sisi tunasafisha chama hivyo vumilieni vumbi hili
Dr Slaa hawezi kuja hapa na ndivyo utavyotambua kuwa Chadema wanasiasa za makundi na kubebana.
Mkuu Mungi una nisikitisha sana.
HIVI HAYO UNAYO YASEMA KWA NINI USIMPE LEMA AKAYAPELEKA KWENYE CHAMA?
NAKUMBUKA HAPA WOTE WANA CHADEMA TULIUNGANA KUWAKEMEA WAKINA BEN,MTELA,SHONZA NA MWIGAMBA KUTUMIA MITANDAO KULETA MAMBO AMBAYO YANAWEZA KUPELEKWA KWENYE CHAMA NA USHAHIDI ILI YA CHUNGUZWE NA KUJADILIWA.
HATA DR SLAA ALISEMA KIPINDI KILE KUWA MWENYE USHAHIDI APELEKE.
NAKUMBUKA MAJUZI TULIUNGANA KUMKEMEA MWIGAMBA KULETA KWENYE MITANDAO TUHUMA KWA CHAMA NA VIONGOZI WENZIE WAKATI ANA NAFASI YA KUONGEA KWENYE VIKAO VYA CHAMA.
HAIJAPITA MIEZI MIWILI TULIMKEMEA DR SLAA NA JOSEPHINE KUHUSU ID NA NIWAZI ILIWAPASA WATU KUSEMA MAANA DR SLAA SI MALAIKA.
LAKINI NA KUSHANGAA UNAFUMBA MACHO WAKATI LEMA ANAFANYA MAKOSA NA WOTE TUNAJUA SI MALAIKA.
MAKOSA YA LEMA HAYANA UTOFAUTI NA YALE YA BEN,MTELA,HABIB NA MWIGAMBA LAKINI NASHANGAA KWANINI UNAKATAA KUMWAMBIA Godbless J Lema KUWA ANA POTOKA?
MUNGI KAMA UNAFIKIRI HUKU NI JUJENGA CHAMA NA WEWE UMEPOTOKA AND TIME WILL TELL.
MUNGI HAKUNA UBISHI LEMA ANA ANDAA ANGUKO LA CHAMA KWA NJIA HIII.
MUNGI NI HII NJIA NDIO MLIO CHAGUA KUJENGA CHADEMA?
MUNGI LEMA SI MALAIKA KWA HILI AMEKOSEA NA AUTAKI KUSEMA BASI NAWE NI MMOJA WAO WANAO CHIMBA KABURI LA CHAMA.
MUNGI,LEMA NI NANI ASIAMBIWE UKWELI IKIWA KILA LEO DR SLAA ANA AMBIWA?
MUNGI HIVI JF NI HOTEL YA KUFANYIA VIKAO VYA CHAMA?
:::::::::::::;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;//////////
MH MBOWE, DR SLAA TUNA HITAJI KUONA BUSARA ZENU NA HIKI NDIO KIPIMO PEKEE, LEMA LAZIMA AFUNDWE,LEMA LAZIMA AKEMEWE KABISA.
LEMA AFUNDISHWE UVUMILIVU WA KISIASA.
Nadhani humjui Lema wewe ndio unaona milioni thelasini ni pesa , tumeambiwa leo tutaambiwa unafiki wa Zitto kuhusu Posho
Na wewe teacher punguza mkwara unafikiri sisi ni watoto wadogo kama wewe?
Ulikuwa unaimba hapa kila uchao kwamba haitoki, haitoki hata kwa bomba la pen lakini kiko wapi sasa, si mmetulizwa Mara moja tu na wahamasishaji wa kwenye keyboard kama wewe mmebaki kujichimbia tabata mnakula kuku tu wakati akina njomba nchumali wenzako wanachezea kichapo toka kwa Polisi na Jwtz.
Huu udini mnaouendekeza unawaridia ninyi wenyewe bahati mbaya mmefumbwa macho kwa kupigwa upofu hata msione uhalisia.
Tujikite kwenye mada iliyoko mezani na kuachana na hizi flip flop unazojaribu kuziwasilisha hapa JF.
Chadema ukipishana kimawazo au kimtamzamo na wamiliki wa chama au washirika wenza wa kaskazini unaitwa msaliti
Zitto ana matatizo yake ambayo pia yanaweza kukigharimu chama asipoyarekebisha, lakini ni ukweli usiopingika kuwa wafuasi na wanachama wengi vijana wa CDM sasa hivi zaidi ya 45% ni matunda ya kazi ya Zitto. Hata hawa wachawi wanaotafuta namna ya kumwengua kwenye chama wanalifahamu hilo. Ndiyo maana siku zote wamekuwa wanalia kuwa Zitto anakihujumu chama lakini wanashindwa kumchukulia hatua.Utaona tu siku akiondoka chamani kama kweli hajakijenga chama ama la!
Na wewe teacher punguza mkwara unafikiri sisi ni watoto wadogo kama wewe?
Ulikuwa unaimba hapa kila uchao kwamba haitoki, haitoki hata kwa bomba la pen lakini kiko wapi sasa, si mmetulizwa Mara moja tu na wahamasishaji wa kwenye keyboard kama wewe mmebaki kujichimbia tabata mnakula kuku tu wakati akina njomba nchumali wenzako wanachezea kichapo toka kwa Polisi na Jwtz.
Huu udini mnaouendekeza unawaridia ninyi wenyewe bahati mbaya mmefumbwa macho kwa kupigwa upofu hata msione uhalisia.
Tujikite kwenye mada iliyoko mezani na kuachana na hizi flip flop unazojaribu kuziwasilisha hapa JF.