Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,038
- 13,467
Mwgamba alilalama hapa akapgwa na kusimamishwa. Lema anasema chamani kuna wasaliti na wamepoteza ndoto za wengi ataachwa tu. Najua lema anamaansha zitto kabwe sababu amepinga posho.
Huyo msaliti ni nani? Vp umeshndwa kuongea hayo kwenye vikao vya chama unakuja hapa hadharani.
Kushindwa kumtaja huyo mtu ni dalili tosha ya uwoga wako, licha ya wewe binafsi kutahadhalisha juu ya jamii yenye woga.Mtu huyu wote tunamjua ni matumaini yangu Usaliti wake sasa utafika kikomo kama Chama kitaamua kuwa na busara za kutosha katika kujenga siku njema zinazokuja . Mtu huyu amefanya mambo mengi mabaya katika Chama yanayohusu usaliti na amewaponza Vijana wengi na kuangamiza ndoto zao kwa sababu ya mambo yake binafsi .
jamaa atakua hajiamini.Huyo msaliti ni nani? Vp umeshndwa kuongea hayo kwenye vikao vya chama unakuja hapa hadharani.
Godbless J Lema, na taifa wanaelewa unamlenga nani (ni msaliti yoyote ndani ya chama) najaribu kujiuliza ni msimamo wako binafsi kupambana na wasaliti katika chama ama wewe unakuja tu kuwasilisha ajenda.
However siku za karibuni nimenote ukweli kuwa CHADEMA ina kamati kubwa kabisa ambayo ni makada na watumishi wa CCM.
Je umeshindwa kulijadili hili katika vikao vya chama??? Ikiwezekana mtajane?
Chadema bila kuchora mstari, tutafika 2015 vipande vipande
jamaa atakua hajiamini.
GODBLESS j. lema sioni sababu ya wewe kuendelea kulalama humu. haya mamba kamwe hayawezi kukusaidia kabisa wala kukisaidia chama.
Muda mwingine ni bora kukaa kimya, kuna mambo mengi ungefanya zaidi ya haya kuja kwenye mitandao kulahumu kuhusu msaliti.
Tunataka chadema mmoja hatutaki chadema ya makundi ya kulalama na kulahumiana.
Hivi kama una ushahidi wa wasaliti kama ule wa mwigamba kwanini usiupeleke sehemu husika?kwanini tuishi tuki lalama mkuu?
Me naamimi kukaa kimya ni busara zaidi kuliko kuongea kila wakati.
Kwakweli hizi mambo hazijengi kabisa, ukiulizwa ni nani una mlahumu katika hili pengine hutomtaja kama ulivyofanya.
Kwanini tufanye mambo yakutoa lawama kila leo.
Wewe si Lema ambaye nimekuwa nikimadmire kila leo.
Huu upuuzi wa kulahumiana haujengi chama,hatuutaki.
Godbless J Lema sioni sababu ya wewe kuendelea kulalama humu. haya mamba kamwe hayawezi kukusaidia kabisa wala kukisaidia chama.
Muda mwingine ni bora kukaa kimya, kuna mambo mengi ungefanya zaidi ya haya kuja kwenye mitandao kulahumu kuhusu msaliti.
Tunataka chadema mmoja hatutaki chadema ya makundi ya kulalama na kulahumiana.
Hivi kama una ushahidi wa wasaliti kama ule wa mwigamba kwanini usiupeleke sehemu husika?kwanini tuishi tuki lalama mkuu?
Me naamimi kukaa kimya ni busara zaidi kuliko kuongea kila wakati.
Kwakweli hizi mambo hazijengi kabisa, ukiulizwa ni nani una mlahumu katika hili pengine hutomtaja kama ulivyofanya.
Kwanini tufanye mambo yakutoa lawama kila leo.
Wewe si Lema ambaye nimekuwa nikimadmire kila leo.
Huwa na kuadmire kwa kuwa muwazi na ufichi lakini ninacho jiuliza ni lini umeanza mafumbo?
Huu upuuzi wa kulahumiana haujengi chama,hatuutaki.
MkuuKamanda Lema unalengo zuri ila unafanya kosa ku expose internal issues za chama wakati wewe ni mjumbe wa vikao vya juu.
Hata hivo sote tunamjua nyoka aliyendani ya nyumba au sio Tozi?
Msaliti mwngne ni yericko a.k.a jb ambaye alileta hapa jf taarifa ya 'siri' kuhusu zitto kabwe. Ile taarifa kama ni ya chama ingejadiliwa chamani na kumwajibsha brother zitto kama kweli alitenda hayo. Yeye akaleta humu. Mwngne ni ben sa8 na pm7 yake.
Mie napita tu.
![]()
Your hero is an unguided missile. Linaweza kuharibu kwa adui au hata kwa ndugu na jamaa. Tazama anavyo quote watu na kujaribu kutumia misemo utadhani kiwete anayejaribu kutumia miguu yake kutembea.Ukimsoma vizuri Lema utagundua ndani yake hakuna uchama. kwa maana uchama huficha uchafu mwingi.
Kwa Lema kumejaa uzalendo wa kweli, hana unafiki kwenye maneno yake.
Kimsingi kama kweli CHADEMA wamedhamiria kuleta ukombozi wa fikra, wanatakiwa wakajisafishe kwanza, ili safari ya ukombozi iwe rahisi. Ni heri kushindwa uchaguzi lakini ukombozi wa fikra unafika, kuliko kuwa na wanafiki na wasaliti ndani ya chama.
Tujinyooshee vidole sisi wenyewe kabla hatujawanyooshea wengine.
Mwigamba ametuhumiwa kukichafua chama na viongozi wake kupitia mitandao ya kijamii,sasa na wewe Lema kwa kutumia mtandao huu wa JF kutuhumu wenzako una tofauti gani na Mwigamba?Je, ni kwanini na wewe usiadhibiwe kwa hili?
Hivi huyo kinara wa usaliti chama ni mali yake?
Kwanini tuhuma zake zisiwekwe wazi kwenye vikao halali na akishindwa kujitetea afukuzwe mara moja?
Mkishindwa kumwajibisha ni kwanini tusiamini anayosema ni ya kweli?