Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
hamna shida mkuu , ni katika kuweka mambo sawa ,asipofanya hivi ndiyo mwanzo wa kuachana na kutoelewana lakini hapa kila mmoja anapembua mchele na chuya BIG UP JF
kwa hiyo hapa ni sehemu sahihi? Je mnakitendea haki chama na watanzania kiujumla?
 
Mkuu mimi ni CDM
damu! Hata Dr. W. Slaa na
Zitto wanajua. Mimi ni mpinzani wa mambo mengi
anayofanya Zitto lakini kwa hili Lema hafanyi busara

Very disappointed, halafu Viongozi wa Chama nao wamekaa kimya kana kwamba hii ndio njia sahihi ya kutatua migogoro!

Yaan badala ya kutumia muda kama huu kujenga hoja zenye mashiko kwa wapiga kura wake na Taifa kwa ujumla anatumia rasilimali chache zilizopo kufarakana na mwenzake!

Tuache kupersonalize issues kwan hata hili la kupinga "Sitting Allowance" ni misingi ambayo CDM inaisimamia sasa kwa nini iwe tabu inapotokea mtu akaishi katika misingi hiyo?
 
Last edited by a moderator:
Very disappointed, halafu Viongozi wa Chama nao wamekaa kimya kana kwamba hii ndio njia sahihi ya kutatua migogoro!

Yaan badala ya kutumia muda kama huu kujenga hoja zenye mashiko kwa wapiga kura wake na Taifa kwa ujumla anatumia rasilimali chache zilizopo kufarakana na mwenzake!

Tuache kupersonalize issues kwan hata hili la kupinga "Sitting Allowance" ni misingi ambayo CDM inaisimamia sasa kwa nini iwe tabu inapotokea mtu akaishi katika misingi hiyo?
binafsi sikubaliani na zitto katika mambo mengi, lakini hili la lema lina ukakasi sana. Suala la zitto kususia posho chadema walipaswa kumpongeza na ikiwezekana kumuunga mkono, lakini kwa haya ya Lema kwenye posho tuna safari ndefu kama chama!!
 
honestly, sioni mantiki ama faida ya Zitto kutochukua posho au kupinga tu posho kisha kwenda kulala.
kwamaoni yangu haitoshi tu kuikana posho bali kubadili hali za maisha
ya watanzania kiasi kwamba hiyo posho wanayodai iwe ni ndogo mbele ya
watanzania. kukataa posho na kwenda kulala haileti maana.

Suala la kuchukua au kutochukua "Sitting Allowance" halikuwa suala la mtu mmoja pekee kama unavyotaka tuamini, bali ilikuwa ni mojawapo ya
agenda ambazo wabunge wa CDM waliingia nazo bungeni kama walivyo agizwa
na chama. (rejea vizuri kumbukumbu za bunge)

Wote tunajua uzalendo uliwashinda wengine kwa tamaa zao, na sasa imekuwa nongwa kwa mmoja wao aliyeweza kuiishi misingi hiyo!

Say no to "Sitting Allowance"
 
Suala la posho ya vikao imesababisha m4c ihamie ndani ya chama na kuisimamisha nje ya chama!

Lema badala ya kuwatumikia wananchi wa jimbo lake kwa muda aliosimamishwa ili kufidia, ameanza malumbano na viongozi wenzake ndani ya chame! Hii ni aibu ya mwaka!!
 
binafsi sikubaliani na
zitto katika mambo mengi, lakini hili la lema lina ukakasi sana. Suala la zitto kususia posho chadema walipaswa kumpongeza na ikiwezekana
kumuunga mkono, lakini kwa haya ya Lema kwenye posho tuna safari ndefu
kama chama!!

Na huu ndio uungwana mkuu wangu, tunaweza kumchukia Zitto kwa tabia zake lakini kamwe si misingi anayoisimamia kwan ndio misingi ile ile ya
kuasisiwa kwa CDM

Kuichukia misingi anayoisimamia yeye ni kuichukia misingi ya CDM. Zitto ni mmoja kati ya wale wachache wanaojitahidi kuiishi misingi ya CDM
 
Nimefuatilia
mjadala sana leo ukizingatia ilikuwa ni Jumamosi kwamba hatukuwa na kazi
nyingi sana za Kibunge hasa baada ya kuanzisha mjadala unaosema "
Usaliti na Unafiki unavyoliangamiza Taifa " na nimeona mjadala na
nimejifunza mambo mengi sana sikumtaja Mtu ila Watu wengi wametaja
majina ya Watu , sijui kwanini ? ila naendelea kutafakari , kesho
nitaandika kuhusu mada inasema " UNAFIKI WA ZITTO KUHUSU POSHO " na
mpaka saa nane mchana nitakuwa nimewasilisha na jambo hili halina
mgogoro na kanuni za Chama kwani ni jambo liko wazi kwenye vyombo vya
habari .

Asanteni

Mh. Lema katika andiko lako hilo, naomba utukumbushe na ilani ya CDM (2010-2015) ambayo wewe umetokana nayo inasema nini kuhusu Posho za Vikao (Sitting Allowance)
 
na huu ndio uungwana mkuu wangu, tunaweza kumchukia zitto kwa tabia zake lakini kamwe si misingi anayoisimamia kwan ndipo ilipo misingi ya kuasisiwa kwa cdm

kwan kuichukia misingi anayoisimamia ni kuichukia misingi ya cdm. Yeye ni mmoja kati ya wale wachache wanaojitahidi kuiishi misingi ile
Huyu Lema ameota pembe na kujawa na kiburi maana kama si hivyo angesikiliza tulichomwambia.

Lema amekuwa mtu wa ajabu kiasi hiki? Lema anasahau kuwa Zitto hakuanza kupinga posho leo, Lema anashindwa kujua kuwa Zitto hamzuii kuchukua posho ndio maana yeye amekuwa akichukua Zitto hachukui na hakuwa kuja kumsema humu.

Hii leo Lema amepata kiburi cha kuja kupinga wenzie tena kwenye mitandao wakati kashindwa kujenga hoja kwenye vikao.

Huyu Lema anatakiwa kukemewa kuacha kutumia mitandao vibaya wakati kuna vikao.

Katika hili ndio ntajua busara za Mbowe na Dr Slaa.

Lema anavuruga chama kwa haya na mitafaruku anailazimisha sasa ni wa kuangalia.
 
Mh. Lema katika andiko lako hilo, naomba utukumbushe na ilani ya CDM (2010-2015) ambayo wewe umetokana nayo inasema nini kuhusu Posho za Vikao (Sitting Allowance)

katika hili lema amekuwa mjinga sana.
 
Viongozi wa juu wa CHADEMA kwa sasa ndio naadui wakuu wa chama na ndio wanaoangamiza chama hiki kwa mambo yao binafsi.
 
Itaneni wala gomba wote wa chuga tuktane sa8 hapa. Kama chama kitavunjika kwa kumponda Lema kwa kumponda Zitto basi na kivunjike.

Lema anaquote kina Malcolm X huku akidai posho iongezwe!
 
Chama cha maruhani bana,
mkiambiwa lema mgonjwa hamtaki kuamini basi nayeye apigwe matofari kama alivyopigwa mwigamba make kafanya yaleyale.
 
Viongozi wa juu wa
CHADEMA kwa sasa ndio naadui wakuu wa chama na ndio wanaoangamiza chama
hiki kwa mambo yao binafsi.

Hakika, na kinachoshangaza zaidi ni ukimya wa Mkurugenzi wa Habari na Uenezi kwan mpaka sasa hivi hajaja kufafanua hili! wakati taarifa yake ya tarehe 2/02/2012 akiwa Dodoma ina majibu yote ambayo Mh. Lema na wadau wengine wanapaswa kukumbushwa
 
Suala la posho ya vikao imesababisha m4c ihamie ndani ya chama na kuisimamisha nje ya chama! Lema badala ya kuwatumikia wananchi wa jimbo lake kwa muda aliosimamishwa ili kufidia, ameanza malumbano na viongozi wenzake ndani ya chame! Hii ni aibu ya mwaka!!

lema kabla ya kwenda bungeni amepita kila kata na bungeni tumeona michango yake unataka watu wa arusha atubebe mgongoni..
 
binafsi sikubaliani na zitto katika mambo mengi, lakini hili la lema lina ukakasi sana. Suala la zitto kususia posho chadema walipaswa kumpongeza na ikiwezekana kumuunga mkono, lakini kwa haya ya Lema kwenye posho tuna safari ndefu kama chama!!

Zitto anaungwa mkono na chadema pamoja na Lema kukataa posho. tatizo ni pale Zitto anapokataa posho kinafiki. Hivi inawezekanaje Zitto akatae posho ya sh 80 elfu, huku anafanya matanuzi makubwa ya kifisadi? Zitto hana biashara nyingine zaidi ya ubunge lakini cha ajabu ana ukwasi wa kutisha. Anatakiwa kuchunguzwa.

Zitto mtu wa ajabu... amekataa posho za elfu 80 za wazi, halafu anapokea mabilioni ya kifisadi kificho tena ya hovyo yenye lengo la kuiangamiza chama ambacho watanzania maskini wamekiamini.
 
Hakika, na kinachoshangaza zaidi ni ukimya wa Mkurugenzi wa Habari na Uenezi kwan mpaka sasa hivi hajaja kufafanua hili! wakati taarifa yake ya tarehe 2/02/2012 akiwa Dodoma ina majibu yote ambayo Mh. Lema na wadau wengine wanapaswa kukumbushwa

tuwekee hapa..
 
Zitto anaungwa mkono na chadema pamoja na Lema kukataa posho. tatizo ni pale Zitto anapokataa posho kinafiki. Hivi inawezekanaje Zitto akatae posho ya sh 80 elfu, huku anafanya matanuzi makubwa ya kifisadi? Zitto hana biashara nyingine zaidi ya ubunge lakini cha ajabu ana ukwasi wa kutisha. Anatakiwa kuchunguzwa.

Zitto mtu wa ajabu... amekataa posho za elfu 80 za wazi, halafu anapokea mabilioni ya kifisadi kificho tena ya hovyo yenye lengo la kuiangamiza chama ambacho watanzania maskini wamekiamini.
Hayo mabilioni anapewa na nani, mbona mnaleta stori za vilabuni jamani. Kama ushahidi upo basi uleteni humu. Hivi ndio viwanda vya uongo.
 
Hakika, na kinachoshangaza zaidi ni ukimya wa Mkurugenzi wa Habari na Uenezi kwan mpaka sasa hivi hajaja kufafanua hili! wakati taarifa yake ya tarehe 2/02/2012 akiwa Dodoma ina majibu yote ambayo Mh. Lema na wadau wengine wanapaswa kukumbushwa

wewe ni gamba, ajabu ni kwamba umeumia kuliko hata wanachadema kulikoni?

haya ni mawazo ya Lema, siyo tamko la chama. Lema angemtaja mtu moja kwa moja naamini kurugenzi ingekuja kusawazisha.
 
lema mjinga ktambo. Kina slaa hawatomwajibisha kwa sababu wanataka zitto achafuke.zitto wala hatakiwi kuwajibu hawa wahuni,tunatosha.

hivi umelala kweli nakuonea huruma sana kumtetea msaliti..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom