Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
Sikulaumu wewe Lema kwa ukilaza wako na ukosefu wa busara. Nawalaumu wanaArusha kwa kukuchagua. 2015 haurudi bungeni.
Una kashfa zako hapa kwenye ile thread nyingine.Njoo uzijibu kabla hujaingia personal
 
Mwita Maranya KAMA MTU AKIWA ANAELEZEA UHALISIA WA MAMBO KISA YANAHUSIANA NA DINI YAKE NI MDINI BASI NA WEWE NI MDINI MKUBWA TENA WA KUMPILIZIA HUYO MWENZAKO. KUNA SEHEMU NIMEKUSOMA UKILALAMIKA USABATO WAKO ULIPOSHAMBULIWA NA UKATOLIKI NA KUSEMA WAKATOLIKI WANAUCUKIA USABATO MORE THAN WAISLAMU WANAVYOUCHUKIA UKRISTO.

SASA KWA NYAKATI ZOTE NILIZOMSOMA THE BIG SHOW SIJAWAHI KUMUONA AKIUSHAMBULIA UKRISTO KAMA ULIVYOUSHAMBULIA UISLAMU. NANI MDINI KATI YAKO NA HUYO MWENZAKO? SIKILIZA MWITA KWA TAARIFA YAKO KAMA WEWE USINGEKUWA MKRISTO NA HUO UKULIA WAKO SIJUI UNGEPUMULIA WAPI? MNAWACHUKIA KINA ZITTO KWASABABU YA DINI WALA HAMNA USALITI WALA NINI.HAMNA KUTAFUNA MANENO NA KAMA MTANIITA MDINI KWA KUUSEMA UKWELW POA.

Mgoshi Chamviga salama lakini?
Nadhani unajaribu kuupotosha ukweli kwa maslahi ya wazi kabisa yaliyowazi ya chama chako cha ccm.

Niliwahi kushiriki katika jukwaa la Dini siku nyongi sana na nilipoona kuwa badala ya kufundishana na kuelimishana badala yake jukwaa la dini lilikuwa ni uwanja wa kukashifu dini za wengine nikaacha kulitembelea zaidi ya miaka minne sasa.

Kwahiyo hoja yako kwamba niliushambulia ukatoliki ni hoja dhaifu sana kwakuwa ile thread ya wanafunzi wasabato waliofukuzwa Teku nililazimika kuichangia baada ya kuona watu wamepoteza focus ya mjadala badala ya kujadili hoja ya wanafunzi kufukuzwa Chuo wao wakaamua kuushambulia usabato. Nakwakuwa halimuwa jukwaa la dini nisingeweza kukaa kimya nikiona dini yangu inapotoshwa na kudhalilishwa bila sababu ya msingi. Hatahivyo katika comments zangu hakuna mahali niliushambulia ukatoliki au dhehebu jingine lolote.

Na pia nikufahamishe kuwa mijadala ya kidini na hasa inapohusisha ukristo na uislamu hata Mara moja hutaniona nikishiriki kudebate,sana sana nakuwa msomaji. Kwahiyo basi Nina uhakika kuwa sijawahi kuushambulia Uislamu katika hoja yoyote, si katika jukwaa la siasa ama la dini. Nakupa challenge CHAMVIGA ulithibitishie hili jukwaa kwamba nimekuwa nauchukia uislamu na kuushambulia. PIA ninakupa changamoto ulipneshe hili jukwaa ni wapi niliushambulia ukatoliki. Failure to do so nitakuona mtu wa hovyo sana na sitakutilia maanani kabisa katika mijadala ya hapa JF. Na kama utashindwa kuthibitisha hayo Mashambulizi kwakuwa naamini umeandika tu kwa bahati mbaya lakini intentionally ili kujenga hoja yako ya uongo, basi kwa uungwana kabisa uniombe radhi yaishe na tusonge mbele na hoja Nyengine za msingi.
 
Last edited by a moderator:
Lema hajui siasa za kwenye mitandao, ndio anajifunza, yeye kazoea zile za majukwaani na maandamano, ambapo alikuwa akiwapa vijana VIROBA ili wafanye fujo ionekane ni NGUVU YA UMMA. asante mungu tuna jeshi la polisi linalojua vizuri ku-deal na watu kama hawa!

Mkuu MSALANI mimi ninahisi hata huu uzi ameandikiwa na mzee wa sumu.Huyu jamaa atapata shida sana kutaka kujilinganisha na ZZK
 
Post haina mshiko zaidi ya majungu. Damu za watu uliowaua na wanaoendelea kuuwawa kwenye mtandao wako wa kijambazi hadi ukaibukia kwenye siasa,wewe ni nyoka mkubwa ulio chumbani una hatari kuliko huyo mdogo. ukabila umeota mizizi ndani ya damu yako,na juhudi zako ni kuhakikisha kuwa chadema haiondoki ndani ya himaya ya wachaga na ndio maana unawaita wengine wasaliti.mmeishamuua Chacha Wengwe kwa kuhoji pesa,na sasa mnawaandama wengine kwa hilohilo. hamtafanikiwa,mmewaamsha watanzania kwa sasa hadangaywi mtu hapa.mtabaki wenyewe tu huko:A S-rap::frusty::frusty::msela::israel:
 
Mgoshi Chamviga salama lakini?
Nadhani unajaribu kuupotosha ukweli kwa maslahi ya wazi kabisa yaliyowazi ya chama chako cha ccm.

Niliwahi kushiriki katika jukwaa la Dini siku nyongi sana na nilipoona kuwa badala ya kufundishana na kuelimishana badala yake jukwaa la dini lilikuwa ni uwanja wa kukashifu dini za wengine nikaacha kulitembelea zaidi ya miaka minne sasa.

Kwahiyo hoja yako kwamba niliushambulia ukatoliki ni hoja dhaifu sana kwakuwa ile thread ya wanafunzi wasabato waliofukuzwa Teku nililazimika kuichangia baada ya kuona watu wamepoteza focus ya mjadala badala ya kujadili hoja ya wanafunzi kufukuzwa Chuo wao wakaamua kuushambulia usabato. Nakwakuwa halimuwa jukwaa la dini nisingeweza kukaa kimya nikiona dini yangu inapotoshwa na kudhalilishwa bila sababu ya msingi. Hatahivyo katika comments zangu hakuna mahali niliushambulia ukatoliki au dhehebu jingine lolote.

Na pia nikufahamishe kuwa mijadala ya kidini na hasa inapohusisha ukristo na uislamu hata Mara moja hutaniona nikishiriki kudebate,sana sana nakuwa msomaji. Kwahiyo basi Nina uhakika kuwa sijawahi kuushambulia Uislamu katika hoja yoyote, si katika jukwaa la siasa ama la dini. Nakupa challenge CHAMVIGA ulithibitishie hili jukwaa kwamba nimekuwa nauchukia uislamu na kuushambulia. PIA ninakupa changamoto ulipneshe hili jukwaa ni wapi niliushambulia ukatoliki. Failure to do so nitakuona mtu wa hovyo sana na sitakutilia maanani kabisa katika mijadala ya hapa JF. Na kama utashindwa kuthibitisha hayo Mashambulizi kwakuwa naamini umeandika tu kwa bahati mbaya lakini intentionally ili kujenga hoja yako ya uongo, basi kwa uungwana kabisa uniombe radhi yaishe na tusonge mbele na hoja Nyengine za msingi.

Mkuu Mwita Maranya baada ya Zitto kumbuka ni wewe na wengine waliokosa sifa ya ukaskazini ndio mtakaofuata.Kwani hata Zitto yalipomfika Chacha Wangwe alikuwa upande wa wahafidhina wa Chadema sasa hivi wamemgeuka.
 
mgoshi chamviga salama lakini?
Nadhani unajaribu kuupotosha ukweli kwa maslahi ya wazi kabisa yaliyowazi ya chama chako cha ccm.

Niliwahi kushiriki katika jukwaa la dini siku nyongi sana na nilipoona kuwa badala ya kufundishana na kuelimishana badala yake jukwaa la dini lilikuwa ni uwanja wa kukashifu dini za wengine nikaacha kulitembelea zaidi ya miaka minne sasa.

Kwahiyo hoja yako kwamba niliushambulia ukatoliki ni hoja dhaifu sana kwakuwa ile thread ya wanafunzi wasabato waliofukuzwa teku nililazimika kuichangia baada ya kuona watu wamepoteza focus ya mjadala badala ya kujadili hoja ya wanafunzi kufukuzwa chuo wao wakaamua kuushambulia usabato. Nakwakuwa halimuwa jukwaa la dini nisingeweza kukaa kimya nikiona dini yangu inapotoshwa na kudhalilishwa bila sababu ya msingi. Hatahivyo katika comments zangu hakuna mahali niliushambulia ukatoliki au dhehebu jingine lolote.

Na pia nikufahamishe kuwa mijadala ya kidini na hasa inapohusisha ukristo na uislamu hata mara moja hutaniona nikishiriki kudebate,sana sana nakuwa msomaji. Kwahiyo basi nina uhakika kuwa sijawahi kuushambulia uislamu katika hoja yoyote, si katika jukwaa la siasa ama la dini. Nakupa challenge chamviga ulithibitishie hili jukwaa kwamba nimekuwa nauchukia uislamu na kuushambulia. Pia ninakupa changamoto ulipneshe hili jukwaa ni wapi niliushambulia ukatoliki. Failure to do so nitakuona mtu wa hovyo sana na sitakutilia maanani kabisa katika mijadala ya hapa jf. Na kama utashindwa kuthibitisha hayo mashambulizi kwakuwa naamini umeandika tu kwa bahati mbaya lakini intentionally ili kujenga hoja yako ya uongo, basi kwa uungwana kabisa uniombe radhi yaishe na tusonge mbele na hoja nyengine za msingi.



nitakuthibitishia hilo kuwa wewe ni nyoka kama nyoka wengine. Nikiwa nafanya hivyo nakuomba pia ulithibitishie jukwaa udini wa the big show.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwita Maranya baada ya Zitto kumbuka ni wewe na wengine waliokosa sifa ya ukaskazini ndio mtakaofuata.Kwani hata Zitto yalipomfika Chacha Wangwe alikuwa upande wa wahafidhina wa Chadema sasa hivi wamemgeuka.

Mkuu Mingoi, umenena haki, ni suala la muda tu!
 
Last edited by a moderator:
Wasaliti kamwe hamuwezi kuupinga mpango wa Mungu.Tambueni kuwa CDM ina baraka za Mungu na kukiua kamwe hamtoweza.
 
ona huyu mpiga ramri nae anavyoweweseka huku. Kweli joyce kaingia choo cha kiume.vpushaweka thread yako?

Dada hujambo? Joyce kaingiaje tena hapa? Mwaka huu mtasema yote. Ngoja makamanda washuke na vitu humu tunasubiri kwa hamu hamtaweza kuzuia ukweli wa usaliti wa huyo zzk wenu,leo mtatafutana Lumumba kwa waume na wake.
 
Nimetafakari kwa kina kwa haya yanayoendelea ndani ya chadema na somo la usaliti lilotolewa na mh. Godbless Lema nikaja na picha kuwa kuna uwezekano kuna siri kubwa ndani ya kompyuta mpakato ya bwn. Samson Mwigamba hivyo nikaona ni busara kusubiri kusikia yaliyomo kisha kuchangia natumaini yakisha kamilika afisa habari wa chama Tumaini Makene atatuletea hapa jamvini
 
Naona kama kawaida watu wakibanwa wankimbilia UDINI.

Hivi kwa nini Sisi WAISLAM tuwe Cheap kiasi hiki? Kwanini kila kitu kisipo enda sawa basi UDINI, Tunamatatizo gani?

Je ni kweli sisi ni wanyonge kiasi hiki?
Au baadhi yenu mnatufanya siis kichaka cha kujificha na kufanya mambo yenu?
 
Nilipoandika humu kuwa Chadema ilikuwa ni 2010, leo tunaelekea 2014, bado haijajipanga!, unategemea nini kwa 2015?!.

Kuhusu baadhi ya wabunge wa Chadema, nilisema hivi

Wanabodi,

Nikiwa hapa Dom, nimebahatika kukutana baadhi ya wabunge wapya wa CCM na wa kambi ya upinzani, kujaribu kufahamiana, sio siri, baadhi yao hawana hata substance ya ni nini kilichowafanya washinde,

Nilipoongea na baadhi ya wale makamanda waliokata magogo kanda ya ziwa, nimewaona ni wa kawaida tuu, hivyo nimefikia jibu moja la uhakika, kuwa CCM katika baadhi ya maeneo, imechokwa mpaka basi!, upinzani hata ungesimamisha jiwe, lingechaguliwa!

Hakuna ubishi, Chadema imenyanyuka, toka wabunge 5 mpaka 22 wa kuchaguliwa tena majimbo ya haja, huku sio kukua bali ni kupaa, tatizo kubwa la Chadema, bado hawajipanga.

Kichama, wanachadema mkubali msikubali, chama chenu japo kipo juu, lakini bado hamjajipanga.
Hawa ndio baadhi ya hao wabunge niliosema humu!, substance ni zero!.
Pasco.
 
TAWALA wanaelekea kufanikiwa...kuwasahaulisha wanaukombozi na watanzania wote masuala nyeti yanayogusa uhai wa taifa la Tanzania...ambayo ni Kutokomeza biashara ya Madawa ya kulevya;ujangili; ufisadi katika taasisi za umma, serikali za mitaa, halmashauri, serikali kuu, Bunge, na Mahaka; kupatikana kwa katiba mpya inyokidhi matarajio ya watanzania wote.

Haya mabishano baina ya viongozi wa vyama vya siasa kwa masuala ambayo yako wazi...na yamezungumzwa ndani ya vyama vyao na wakakubaliana kuyatekeleza...hayana tija. Hapa tunataka utekelezaji wa yale waliyohaidi kwa wananchi na yale waliyokubaliana kutekeleza kwa pamoja.
 
Hivi wewe jamaa unakumbuka hata kutenga muda wa kwenda kumuabudu mungu wako?

Huyo mungu anayeandikwa kwa herufi ndogo sio wangu,siwezi kumuabudu

Naona mmeelemewa hadi mnaomba nitoke humu angalao kidogo mpumue.loh!
 
Either zitto anatetewa na ccm au na cuf. Hamwezi kumgusa zzk huo ndo ukweli kama mna ushahd mnaogopa nini? Waoga wakubwa nyieeee mnajifanya mnaquote kina malcom x na biko kumbe wanafiki tu. Chadema hatuhami na mabadliko yatapatkana tu.
 
ukiwa jia lako ni massawe, john, au ukikubali kuwa mfagizi wa ofisi watakukubali. Ila kama hutoki kaskazini, jina lako ni mohamed mtoi, halafu wewe ni mhaya basi unayokazi.

Toa udini wako shetani wewe!Kila kitu mnakichukulia kwa misingi ile ile ya udini
tumeshawachoka na liwalo na liwe
Taifa hili si la kwenu mujahidin peke yenu
Taifa ni la kwetu sote
Pumba..vu wewe
 
nitakuthibitishia hilo kuwa wewe ni nyoka kama nyoka wengine. Nikiwa nafanya hivyo nakuomba pia ulithibitishie jukwaa udini wa the big show.

Sawasawa kabisa mgoshi CHAMVIGA ninasubiri uthibitisho.

BY the way wewe na THE BIG SHOW mna uhusiano gani hadi ununue kesi yake? Ni mambo ya multiple IDs kwakuwa naona kitu cha capital letter wote mmekizingatia au wewe ndiye msemaji wake?
 
Last edited by a moderator:
Na watakaoibomoa CDM si wengine bali hawa ambao wamekuwa wakipima upepo tangu mwanzo. Leo nccr, kesho tlp, keshokutwa cdm...
Kila siku unatuhubiria ujasiri, unashindwa nini kumtaja huyo msaliti? Mwigamba alichukuliwa hatua kwa uzushi kwa viongozi wake. Lema is doing the same, CDM chukueni hatua before it's too late.
Huyu sio Mwingine bali ni ZITTO Kabwe mbona mnahanya BUMPS? Mtazunguka weeee ila usaliti wenu kwa zitto uko pale pale! Haya?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom