Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Usaliti na Unafiki unavyoangamiza Taifa - Lema

Status
Not open for further replies.
Ingawa Lema uliamua kuepuka kumtaja moja kwa moja uliyemlenga, lakini mazingira na kumu-attack ZZK kwenye suala la posho nikijumulisha na kumbukumbu ya hivi karibuni kuhusu migogoro ndani ya CDM, ni wazi ulimlenga bw ZZK. Ingawa kwako ZZK anaweza akaonekana "mwepesi", nadhani namna tuu mjadala unavyoenda hapa, ni wazi umegudua bw ZZK ni ngoma nzito kwako. Umemu-attack kwa kutumia ngao ya CDM, lakini siamini kwenye hili, mi naichukulia hii ni personal attack.
Nyie wote (Lema na ZZK) ninawakubali sana hasa kwa sababu mpo kambi ninayoiamini sana ya CDM, ila lazima niseme kabisa kuwa mnatofautiana sana kiupeo wa kuelewa na kushughulikia mambo. Upeo wako lema ni mdogo ukilinganisha na ZZK.
Nikirejea athari zenu kwenye siasa za Tanzania, inaonyesha ZZK, ana athari nyingi chanya na nzuri kwa mustakabali wa nchi hii, rejea hoja kama za BUZWAGI, KUMNG'OA WAZIRI MKUU, MABILIONI YA USWISI, KODI KWENYE MADINI na zingine chache ambazo sizikumbuki haraka, kwa hiyo ni wazi bw ZZK ana uzani wa kutosha kisiasa kuliko wewe na hoja zake nyingi huwa ni za kitaalamu na zenye uchambuzi zaidi ukilinganisha na zako zinazotumia maguvu zaidi.
Ama nikireje kwako Lema, athari zako ninazozikumbuka sanasana ni ile ya kumkomalia waziri mkuu kuwa kasema uongo bungeni, ama nyingine labda ni kauli zako zilizojaa ujasiri ambazo umekuwa ukizitoa hapa na pale.
Lakini nikiwaweka kwenye mzani, inaonekana ZZK ana uwezo mkubwa wa kuitumia akili yake katika kuyaendea mambo hali ya kuwa Lema unaonekana unatumia zaidi nguvu kuliko akili, na hii huwa sio nzuri hasa kwenye masuala ya kijamii.
Mfano mzuri ni hiki kioja ulichokuja nacho hapa, nachelea kuita utumbo kwa sababu kwenye uwanja wa watu wenye kuchambua mambo, watu tunapigwa na butwaa. Katika hali ya kawaida, hii ishu ni nyeti, kwa sababu inatishia maslahi ya tawi ulilolikalia ambalo ni CDM, ingawa ukikurupuka unaweza usione hivyo. Hili suala linaharibu taswira ya CDM kabisa kwa kuionyesha CDM haina adabu na nidhamu ya ndani. Kumbuka unayemtengenezea mazingira ya tuhuma ni kiongozi wa ngazi ya juu na ni bosi wako. Kwenye masuala ya kinidhamu unaonekana huna nidhamu, hili suala ulitakiwa uliwasilishe kwenye vikao vya chama vilitolee maamuzi, na ikitokea chama kikashindwa ni bora wewe ukakihama chama kwa sababu kitakuwa hakiendani na mtazamo wako na yale unayoyaamini katika maisha yako. Kumbuka huna ujasili wa kudai una uchungu na umetumia nguvu nyingi kuijenga CDM kumzidi bw ZZK. Mimi binafsi naamini kama ni uchungu wa CDM bw ZZK ana uchungu zaidi kuliko Lema kwa sababu bw ZZK yupo siku nyingi na anafahamika ni moja ya mihimili iliyokijenga chama Bungeni na nje ya bunge.
Bw Lema huna hadhi ya kumu-attack personally Bw ZZK kihunihuni kama ulivyofanya. Kimaslahi ya Taifa mchango wake mpaka sasa ni mkubwa kuliko wako, kimaslahi ya chama bado mchango wake ni mkubwa kuliko wako. Kwa kifupi Lema, bw ZZK sio saizi yako, umeparamia mwamba unaokuzidi uwezo. Tuhuma zako zenyewe zimejaa hisia tuu na hazina mashiko, nakushauri uwe unaihusisha zaidi akili kwenye mambo yako kuliko misuli/nguvu.
 
Chadema you better be careful with what you wish for.Don't try to do anything s.t.u.p.i.d against Zitto or else you will regret it.Nimesoma baadhi ya comments za Wachangiaji humu jamvini kwakweli nimeshtushwa na misimamo ya wengi wao wanaounga mkono hoja ya Lema kwamba huyo msaliti anayetajwa afukuzwe na haihitaji kuwa na akili nyingi sana kujua huyo msaliti Lema aliyekuwa akimzungumzia kuwa ni Zitto.Nimeshangazwa na uelewa mdogo sana wa hawa watu katika medani ya siasa.Kama kuna kosa ambalo Chadema hawatakaa walisahau basi ni hili la kumfukuza Zitto.It will be uncontrollable damage ambayo Chadema mtakaa mkijiuliza nini kimewatokea na hamtakaa muamini.Lema haitakii mema Chadema na nina hisia kuwa huenda jamaa ameshaahidiwa pepo na yule Gamba kuu la Monduli aje kuivuruga Chadema.Kifupi Zitto akifukuzwa Chadema mambo mawili yatatokea (a)Ataondoka na kundi kubwa la Wafuasi wake (b)WanaChadema ambao hawakuwa wafuasi wake kabla watahamia upande wake wakiamini kuwa Zitto ni mhanga wa siasa za kibaguzi.Watch out!!??

Hayo ni mawazo yako na matamanio yako sawa na WASIRA ila kaa ukijua CDM haitakufa kamwe.
 
Ingawa Lema uliamua kuepuka kumtaja moja kwa moja uliyemlenga, lakini mazingira na kumu-attack ZZK kwenye suala la posho nikijumulisha na kumbukumbu ya hivi karibuni kuhusu migogoro ndani ya CDM, ni wazi ulimlenga bw ZZK. Ingawa kwako ZZK anaweza akaonekana "mwepesi", nadhani namna tuu mjadala unavyoenda hapa, ni wazi umegudua bw ZZK ni ngoma nzito kwako. Umemu-attack kwa kutumia ngao ya CDM, lakini siamini kwenye hili, mi naichukulia hii ni personal attack.
Nyie wote (Lema na ZZK) ninawakubali sana hasa kwa sababu mpo kambi ninayoiamini sana ya CDM, ila lazima niseme kabisa kuwa mnatofautiana sana kiupeo wa kuelewa na kushughulikia mambo. Upeo wako lema ni mdogo ukilinganisha na ZZK.
Nikirejea athari zenu kwenye siasa za Tanzania, inaonyesha ZZK, ana athari nyingi chanya na nzuri kwa mustakabali wa nchi hii, rejea hoja kama za BUZWAGI, KUMNG'OA WAZIRI MKUU, MABILIONI YA USWISI, KODI KWENYE MADINI na zingine chache ambazo sizikumbuki haraka, kwa hiyo ni wazi bw ZZK ana uzani wa kutosha kisiasa kuliko wewe na hoja zake nyingi huwa ni za kitaalamu na zenye uchambuzi zaidi ukilinganisha na zako zinazotumia maguvu zaidi.
Ama nikireje kwako Lema, athari zako ninazozikumbuka sanasana ni ile ya kumkomalia waziri mkuu kuwa kasema uongo bungeni, ama nyingine labda ni kauli zako zilizojaa ujasiri ambazo umekuwa ukizitoa hapa na pale.
Lakini nikiwaweka kwenye mzani, inaonekana ZZK ana uwezo mkubwa wa kuitumia akili yake katika kuyaendea mambo hali ya kuwa Lema unaonekana unatumia zaidi nguvu kuliko akili, na hii huwa sio nzuri hasa kwenye masuala ya kijamii.
Mfano mzuri ni hiki kioja ulichokuja nacho hapa, nachelea kuita utumbo kwa sababu kwenye uwanja wa watu wenye kuchambua mambo, watu tunapigwa na butwaa. Katika hali ya kawaida, hii ishu ni nyeti, kwa sababu inatishia maslahi ya tawi ulilolikalia ambalo ni CDM, ingawa ukikurupuka unaweza usione hivyo. Hili suala linaharibu taswira ya CDM kabisa kwa kuionyesha CDM haina adabu na nidhamu ya ndani. Kumbuka unayemtengenezea mazingira ya tuhuma ni kiongozi wa ngazi ya juu na ni bosi wako. Kwenye masuala ya kinidhamu unaonekana huna nidhamu, hili suala ulitakiwa uliwasilishe kwenye vikao vya chama vilitolee maamuzi, na ikitokea chama kikashindwa ni bora wewe ukakihama chama kwa sababu kitakuwa hakiendani na mtazamo wako na yale unayoyaamini katika maisha yako. Kumbuka huna ujasili wa kudai una uchungu na umetumia nguvu nyingi kuijenga CDM kumzidi bw ZZK. Mimi binafsi naamini kama ni uchungu wa CDM bw ZZK ana uchungu zaidi kuliko Lema kwa sababu bw ZZK yupo siku nyingi na anafahamika ni moja ya mihimili iliyokijenga chama Bungeni na nje ya bunge.
Bw Lema huna hadhi ya kumu-attack personally Bw ZZK kihunihuni kama ulivyofanya. Kimaslahi ya Taifa mchango wake mpaka sasa ni mkubwa kuliko wako, kimaslahi ya chama bado mchango wake ni mkubwa kuliko wako. Kwa kifupi Lema, bw ZZK sio saizi yako, umeparamia mwamba unaokuzidi uwezo. Tuhuma zako zenyewe zimejaa hisia tuu na hazina mashiko, nakushauri uwe unaihusisha zaidi akili kwenye mambo yako kuliko misuli/nguvu.

nakala kwa : Godbless J Lema
 
Last edited by a moderator:
Na hii muifunge.....maana maudhui na mantiki ni ile ile/ yale yale
 
Ingawa Lema uliamua kuepuka kumtaja moja kwa moja uliyemlenga, lakini mazingira na kumu-attack ZZK kwenye suala la posho nikijumulisha na kumbukumbu ya hivi karibuni kuhusu migogoro ndani ya CDM, ni wazi ulimlenga bw ZZK. Ingawa kwako ZZK anaweza akaonekana "mwepesi", nadhani namna tuu mjadala unavyoenda hapa, ni wazi umegudua bw ZZK ni ngoma nzito kwako. Umemu-attack kwa kutumia ngao ya CDM, lakini siamini kwenye hili, mi naichukulia hii ni personal attack.
Nyie wote (Lema na ZZK) ninawakubali sana hasa kwa sababu mpo kambi ninayoiamini sana ya CDM, ila lazima niseme kabisa kuwa mnatofautiana sana kiupeo wa kuelewa na kushughulikia mambo. Upeo wako lema ni mdogo ukilinganisha na ZZK.
Nikirejea athari zenu kwenye siasa za Tanzania, inaonyesha ZZK, ana athari nyingi chanya na nzuri kwa mustakabali wa nchi hii, rejea hoja kama za BUZWAGI, KUMNG'OA WAZIRI MKUU, MABILIONI YA USWISI, KODI KWENYE MADINI na zingine chache ambazo sizikumbuki haraka, kwa hiyo ni wazi bw ZZK ana uzani wa kutosha kisiasa kuliko wewe na hoja zake nyingi huwa ni za kitaalamu na zenye uchambuzi zaidi ukilinganisha na zako zinazotumia maguvu zaidi.
Ama nikireje kwako Lema, athari zako ninazozikumbuka sanasana ni ile ya kumkomalia waziri mkuu kuwa kasema uongo bungeni, ama nyingine labda ni kauli zako zilizojaa ujasiri ambazo umekuwa ukizitoa hapa na pale.
Lakini nikiwaweka kwenye mzani, inaonekana ZZK ana uwezo mkubwa wa kuitumia akili yake katika kuyaendea mambo hali ya kuwa Lema unaonekana unatumia zaidi nguvu kuliko akili, na hii huwa sio nzuri hasa kwenye masuala ya kijamii.
Mfano mzuri ni hiki kioja ulichokuja nacho hapa, nachelea kuita utumbo kwa sababu kwenye uwanja wa watu wenye kuchambua mambo, watu tunapigwa na butwaa. Katika hali ya kawaida, hii ishu ni nyeti, kwa sababu inatishia maslahi ya tawi ulilolikalia ambalo ni CDM, ingawa ukikurupuka unaweza usione hivyo. Hili suala linaharibu taswira ya CDM kabisa kwa kuionyesha CDM haina adabu na nidhamu ya ndani. Kumbuka unayemtengenezea mazingira ya tuhuma ni kiongozi wa ngazi ya juu na ni bosi wako. Kwenye masuala ya kinidhamu unaonekana huna nidhamu, hili suala ulitakiwa uliwasilishe kwenye vikao vya chama vilitolee maamuzi, na ikitokea chama kikashindwa ni bora wewe ukakihama chama kwa sababu kitakuwa hakiendani na mtazamo wako na yale unayoyaamini katika maisha yako. Kumbuka huna ujasili wa kudai una uchungu na umetumia nguvu nyingi kuijenga CDM kumzidi bw ZZK. Mimi binafsi naamini kama ni uchungu wa CDM bw ZZK ana uchungu zaidi kuliko Lema kwa sababu bw ZZK yupo siku nyingi na anafahamika ni moja ya mihimili iliyokijenga chama Bungeni na nje ya bunge.
Bw Lema huna hadhi ya kumu-attack personally Bw ZZK kihunihuni kama ulivyofanya. Kimaslahi ya Taifa mchango wake mpaka sasa ni mkubwa kuliko wako, kimaslahi ya chama bado mchango wake ni mkubwa kuliko wako. Kwa kifupi Lema, bw ZZK sio saizi yako, umeparamia mwamba unaokuzidi uwezo. Tuhuma zako zenyewe zimejaa hisia tuu na hazina mashiko, nakushauri uwe unaihusisha zaidi akili kwenye mambo yako kuliko misuli/nguvu.
hii comment ina akili mno. namuomba lema na vibaraka wake waione na kuifanyia kazi

cc
lema
ben sa8
slaa
kundi lote linalosapot hii thred
 
Nasiliza kwanza mbishane ujinga halafu niwape jibu la mwisho mana chadema ni watu wa Tz sio zitto, Lema, Mbowe pumbavuuu:tinfoil3:
 
Mosi:
Sikuchangia mapema huu kwaxlengo la kusoma michango ya watu huku nikiutafakri ujumbe wa Mh.Lema. Kwakweli nimejifunza mengi na nimegundua mengi. Siombei CHADEMA ife au isambaratike, ila kama ikifa basi watu wenye fikra kama za Lema ndio watakao iua na si CCM kama tunavyodhani.

Pili: Huku nikizingatia ile ripoti inayodaiwa ya siri ilinyofolewa CHADEMA, kulike kwa Dr.Slaa kwenye comment iliyomshambulia Zitto Kabwe, michango ya wanaCHADEMA wengi wanaoshambulia Zitto bila kujenga hoja badala yake wanaongozwa na ushabiki na chuki binafsi na huu UZI ulionzishwa na LEMA, naamini sasa kuwa ndani ya CHADEMA kuna tatizo na tena si dogo. Viongozi wana wajibu kuhakikisha tatizo hilo linaondoka kinyume chake hatutafika salama 2015.

Tatu:
Ni ajabu sana, wewe Lema ulimpiga Mwigamba kisa kaongea mambo ya chama kwenye mitandao. sasa na wewe unafanya nini? nilishawahi kusema kuwa Mwigamba anaonekana msaliti kisa kawagusa Mbowe na Slaa,,,lakini kama angemgusa Zitto angeonekana SHUJAA. Watu kama Rema ambao huona mikia ya wenzao lakini yao hawaioni ni watu wa kuogopwa kama ukoma.

Nne,,nafikiri Rema ameshajipima na anajua kuwa amekosea kwa hili na kwa hivyo ni suala dogo tu, la kuomba radhi, kujirekebisha na kisha tuendelee kujenga chama. Lazima aombe radhi kwa kufanya kosa kama alilolifanya Mwigamba. Suala si kwamba ametumia ID yake hivyo hajakosea bali suala ni kusema mambo ambayo hakustahili kuyasema nje ya vikao na yeye alishiriki katika kumuadhibu mtu aliyefanya kitendo kama hicho.

MUNGU IBARIKI CHADEMA,,,HUU NI UPEPO UTAPITA TUU.
 
I have never held this Lema guy in high regard, rather than considering him a great crowd please and mobilizer,which in itself is an important political asset.
But moving past that he surely has a lot to learn,and being on the unfortunate end of education makes this even harder.and now am not surprised how this came to being.

Zitto on the other hand sometimes tend to push his fellow CDM leaders a bit too hard/too fast for their own comfort. As a personal character/trait, kigoma Natives are just that way,it will take eternal efforts to rectify this about him,it's his DNA. in the same line as asking chagas to become become lazy.

While is till think a lot of Zitto Efforts are still amateurish, and nothing on par with what world class politicians do, he is clearly head and shoulders above many of his peers in CDM and other political parties as well. Unfortunately he knows this, and being of his character he won't humble himself and take himself a level down.at the end he will always be controversial. That's just the way it is.

LEMA, there is nothing but empty air baloney in your allegations, at least i would have given you a pass for frankness if you had the guts to mention him by name, instead of the stunt you just pull.
 
Katika mtu mwenye akili CDM wee nafikiri ni wa pili! Umeweka comments zako vizuri na za kisomi bila ya kuwa biased! This is what a gentlemen should always do, umetafakari, umejenga hoja kisa ukapost!

Yaani hawa CDM bwana hawa kila siku Lema na ZZK we are tired with these two guys! Kama Chama chenu hakuna forum ya kuyazungumza haya basi nachelea kusema kuna tatizo kubwa la kiungozi ndani ya CDM! Na kwa trend hii hamfiki mbali tuombe uhai! Jamani katika dunia hii HAKUNA aliye MSAFI hata Jaydee aliimba!
QUOTE=Njano5;7764562]Mosi:
Sikuchangia mapema huu kwaxlengo la kusoma michango ya watu huku nikiutafakri ujumbe wa Mh.Lema. Kwakweli nimejifunza mengi na nimegundua mengi. Siombei CHADEMA ife au isambaratike, ila kama ikifa basi watu wenye fikra kama za Lema ndio watakao iua na si CCM kama tunavyodhani.

Pili: Huku nikizingatia ile ripoti inayodaiwa ya siri ilinyofolewa CHADEMA, kulike kwa Dr.Slaa kwenye comment iliyomshambulia Zitto Kabwe, michango ya wanaCHADEMA wengi wanaoshambulia Zitto bila kujenga hoja badala yake wanaongozwa na ushabiki na chuki binafsi na huu UZI ulionzishwa na LEMA, naamini sasa kuwa ndani ya CHADEMA kuna tatizo na tena si dogo. Viongozi wana wajibu kuhakikisha tatizo hilo linaondoka kinyume chake hatutafika salama 2015.

Tatu:
Ni ajabu sana, wewe Lema ulimpiga Mwigamba kisa kaongea mambo ya chama kwenye mitandao. sasa na wewe unafanya nini? nilishawahi kusema kuwa Mwigamba anaonekana msaliti kisa kawagusa Mbowe na Slaa,,,lakini kama angemgusa Zitto angeonekana SHUJAA. Watu kama Rema ambao huona mikia ya wenzao lakini yao hawaioni ni watu wa kuogopwa kama ukoma.

Nne,,nafikiri Rema ameshajipima na anajua kuwa amekosea kwa hili na kwa hivyo ni suala dogo tu, la kuomba radhi, kujirekebisha na kisha tuendelee kujenga chama. Lazima aombe radhi kwa kufanya kosa kama alilolifanya Mwigamba. Suala si kwamba ametumia ID yake hivyo hajakosea bali suala ni kusema mambo ambayo hakustahili kuyasema nje ya vikao na yeye alishiriki katika kumuadhibu mtu aliyefanya kitendo kama hicho.

MUNGU IBARIKI CHADEMA,,,HUU NI UPEPO UTAPITA TUU.
[/QUOTE]
 
huyo msaliti ni nani? Vp umeshndwa kuongea hayo kwenye vikao vya chama unakuja hapa hadharani.

huyo msaliti ni kiboko.mbona anajulikana na kila mwanachadema???aliibuliwa mahali akaletwa cdm.akatengenezewa political capital(mtaji wa kisiasa) safi.akahisi sasa amefika.akawageuka wenzake.political capital yake inaporomoka fasta.hakuna mtu asiyemjua.wanazungumzia sana kila mahali kuhusu uamuzi wake wa usaliti.kinachonisiktisha sana ni kuwaharibia vijana future yao katika siasa.inasemekana anawarubuni wawe wasaliti.wanapogundulika wanafukuzwa.wanabaki kukichafua chama.hawaelewi kuwa hakuna anaewaamini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom