Mkuu the big show hawa akina mwita maranya na wenzake ni wahuni kama wahuni wengine make wao ndiyo wanaotumwa kubeba sumu na kwenda kumuwinda zito siku hadi siku.Mwita maranya with all of my due respect,
Sijawahi hata siku moja kuingia kwenye vita vya maneno na wewe,iwe kwa namna yyte ile,
Sikiliza sasa nikufahamishe,
1.Mimi si MWALIMU KWA TAALUMA,na kamwe katu sitokuja na siwez kuidharau taaluma ya ualimu kwani kupitia taaluma hiyo nilijifunza kuondoa ujinga na kunipa msingi nilionao kwa sasa,
2.Mimi sio mchumia tumbo na kikaragosi kama hawa jamaa zako wanaokesha humu 24/7 kulamba buti za viongoz na kutumikia matumbo yao,hilo likae kichwani mwako na ulitambue,
3.Nina taaluma yangu,ninfanya biashara zangu binafsi naganga nazo njaa,na ninafanya kilimo changu MTWARA,kilimo safi kabisa cha korosho na mazao mengine na ufugaji,situmikii tumbo na wala situmwi na jamaa zenu kwa namna yyte ile,
SUALA LA GESI MTWARA HALIKUWA NI LA KISIASA,NA WATU WA KUSINI HATUJASHINDWA KATIKA KILE AMBACHO TULIKUWA TUNAKIPIGANIA,NA TUNAKIPGANIA KILE KWA MASLAHI YA TAIFA,WEWE KAMA UNADHANI HARAKATI HIZI NI ZA KIKANDA KAMA ZINAVOZUNGUKA AKILIN MWENU BASI YAWAPASA KUWAZA TENA,
KAMA CHAMA HAKIMUHITAJI ZITTO KABWE HAKUNA HAJA YA KUMEZA MEZA MANENO,MFUKEZ SASA RASMI TUJUE MOJA NA TUGANGE YAJAYO,KIPI MNAHOFIA??
...Ni kweli mkuu wakati mwingine inatakiwa kutumika DEMOKRASIA ya MABAVU......na kuchukua mamuzi .......mtu hajakaa lupango hata masaa mawili, hajatembea vijijini kujenga chama, anataka kuwa mwenyekiti wa chama....ili akiue....HI ni dharau na ujinga mkubwa....ni dharau kubwa sana....Dawa ya moto wakati mwingine ni moto na si maji.
Umeandika kwa ufasaha sana Big show.
Hata mimi ninakuheshimu sana kwa mtazamo na mawazo yako kadri ninavyokusoma hapa JF.
Tatizo kubwa na la msingi ninaloliona kwako kadri ninavyokusoma ni kukumbatia udini na kuuhusianisha na kila jambo linalotokea.
Hata unaposema kwamba mtaeneza sumu Kanda ya kusini na Kanda ya Kati ni katika Ku advocate udini kwa vile mmekuwa mkisema kwamba Dini yenu ndiyo inapopulation kubwa katika mikoa hiyo.
Ni Mara nyingi sana ninakusoma ukishabikia utengano wa kidini,nimekusoma sana kwenye makala za Mohamed Said,nimekusoma kwenye ule Uzi wa Yericko Nyerere,mimekusoma katika mijadala ya nani mwenye haki ya kuchinja kitoweo pamoja na mijadala Mingi ya kisiasa ambayo kwa bahati mbaya sana Kuna watu wanasiasa wakiguswa tu hata kama wamefanya makosa makinwa kiasi gani basi mmekuwa mkiwatetea kwasababu ya Dini Yao.
Kila mmoja Ana haki ya kuwa na maoni yake na msimamo wake lakini ni muhimu maoni hayo ama msimamo hip usiwe wa kupandikiza chuki na utengano baina yetu watanzania, aidha wa kidini, wa kikanda ama wa kikabila.
.......Hakuna kuuwa chama hapa.......chama hakifii sisi tulioko huku miataani tunajua vizuri.....mimi nina bibi yangu mzee kabisa nikipiga nae story za kisissa anajua zito ni msaliti....sembuse watu wa kawaida.....hii ya kuleana leana ndo inaiua na kuanzisha makambi ccm....wangemtimua lowasa mapema mambo yangekuwa safi ccm lakini walileta huu uoga uoga wa kijinga jinga angalia walipo........hakuna kitu ccm hawakipendi sasa hivi kama kusemwa zito na hakuna kitakachoiua cccm haraka kama zito kufukuzwa chadema belive me....Kuto kumwambia ukweli lema kuwa haya anayo yafanya hayato jenga chama kamwe ni kumdanganya kabisa. sikutegemea kuna mwana chadema ataungana na Lema kwenye haya, huu ni ujinga.
Narudia tena Lema ana bomoa chama kwa njia hii na kumsifu ni kuua chama.
Nasema tena huu ujinga wa lema utatugharimu time will tell.
NI WAKATI SASA WA KUMDHIBITI LEMA MAANA KWA HAYA ANA KIANGAMIZA CHAMA.
HUU NI UJINGA. MH Zitto USIMJIBU.
Ametoa mawazo yake JF.Umekereka na nini mkuu?Mbona Mwenyekiti na katibu mkuu kwa nyakati tofauti wameonya juu ya usaliti na kunukuliwa na media
Aliyesema kuna kirusi ndani ya CHADEMA mbona hukukemea na kukereka kihivi mkuu?
mkuu umeongea kwa uchungu sana, ni vema viongozi waache kutukatisha tamaa... Wananchi wana imani kubwa na chadema......
Lema anaua chama kwa ujinga wake, tatizo watu waliomzunguka hawamwambii ukweli wenyewe wanajua kumpamba tu hata kwenye mambo ya kipuuzi.
Wenyewe kwa akili zao ndogo wanajua wanamkomoa zitto......hapa tunaumia ni sisi wananchi tuliojenga imani kubwa kuwa chadema ndio mkombozi wa ukweli......
Tutaheshimiana tu mwaka huu.she...nz
Hili bandiko pia vijana wa ccm wamengia kichwa kichwa tena.....kumtetea zito....mwingine mpaka anaapa wakimgusa zito watakiona safi sana kamanda lema.....CDM ni wajanja sana......na ni kitu kizuri zito kutetewa na vijana wa Lumumba inatoa picha nzuri......na huu mpambano upo vizuri ni zito agaist lema ....na si viongozi wengine ni mpambano mzuri sana...
Hili bandiko pia vijana wa ccm wamengia kichwa kichwa tena.....kumtetea zito....mwingine mpaka anaapa wakimgusa zito watakiona safi sana kamanda lema.....CDM ni wajanja sana......na ni kitu kizuri zito kutetewa na vijana wa Lumumba inatoa picha nzuri......na huu mpambano upo vizuri ni zito agaist lema ....na si viongozi wengine ni mpambano mzuri sana...
Mpigie simu Lema mkumbushe bado Li saa ifike saa nane tunasuburi tuone huo unafki wa Zitto.
Sikulaumu wewe Lema kwa ukilaza wako na ukosefu wa busara. Nawalaumu wanaArusha kwa kukuchagua. 2015 haurudi bungeni.
Mpigie simu Lema mkumbushe bado Li saa ifike saa nane tunasuburi tuone huo unafki wa Zitto.
Hivi wewe jamaa unakumbuka hata kutenga muda wa kwenda kumuabudu mungu wako?Ametoa mawazo yake JF.Umekereka na nini mkuu?Mbona Mwenyekiti na katibu mkuu kwa nyakati tofauti wameonya juu ya usaliti na kunukuliwa na media
Aliyesema kuna kirusi ndani ya CHADEMA mbona hukukemea na kukereka kihivi mkuu?
Wana - Arusha wanaomba uchaguzi ufanyike hata kesho ili tuondoe hii balaa kwenye mji wetu!